KINGAZI BLOG: 10/01/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday 1 October 2016

TAARIFA MUHIMU KUTOKA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU


Bodi ya mikopo ya elimu ya juu(HESLB)
Imetoa majina ya wanafunziwaliokosea kujaza fomu kwa kutoweka sain zao ama za wadhamin wao na vitu vngine.
Bodi imewataka wafike katika ofisi zao zilzopo jijini Dar es salaam kuanzia tar.03/10/2016  mwisho tar. 07/10/2016
HESLB
 wametoa majina 2649 ya watu waliokosea mambo mbalimbali katika kujaza fomu haya ni:
  1. -kukosekana picha ya mdhamini
  2. -kukosekana sahihi ya mwanafunzi
  3. -kukosekana sahihi ya wakili au mahakama
  4. -kukosekana kwa sahihi ya serikali ya kijiji

Tafadhari tembelea LINK HII HAPA CHINI

BONYEZA HAPA KUONA MAJINA NA MAELEZO

HII HAPA LIST YA MAJINA AWAMU YA KWA KWANZA KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU CHA SOKOINE MOROGORO (SUA).


First Batch of Students Selected to Join Undegraduate and Non Degree Programmes for Academic Year 2016/2017

Created on 01 October 2016

CONGRATULATIONS AND WELCOME TO SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE.
The following applicants have been selected to join variousundergraduate and Non degree programmes for the 2016/2017 academic year which starts on the 17th October, 2016. Candidates are advised to observe all instructions.

<<Click this link for more information >>

Serikali Yasogeza Mbele Field Kwa Wanafunzi Wa Afya 2016


Wizara ya afya, maendeleo ya jamii, jinsia ,wazee na watoto inawatangazia wahitimu wote wa vyuo vikuu vya kada mbalimbali za afya wanaopaswa kufanywa mafunzo ya utarajali yani ‘internship’ ambao ni madaktari wa meno, wafamasia, wauguzi, wataalamu wa Radiolojia, wataalamu wa maabara na wataalamu wa afya ya mazingira kwamba pamoja na kuwa walipaswa kuanza mafunzo yao leo Oktoba 1, 2016  ambayo ilikuwa ni tarehe rasmi ya kuanza mafunzo hayo itatangazwa hapo baadae.

Wizara ya Afya imesema kuwa kuchelewa huko ni kutokana na juhudi zinazoendelea kufanywa na Wizara ili kuhakikisha kuwa mafunzo hayo yanaanza katika namna na mfumo uliobora zaidi.

Aidha Mganga Mkuu wa Serikali Profesa Muhammad bakari kambi  (Pichani juu) amesema kuwa mara baada ya juhudi hizo kukamilika wataalamu tajwa watafahamishwa rasmi na hivyo kuwaomba wataalamu hawa na wadau wengine kuwa na subira.

“Tunapenda kuwafahamisha wahitimu ambao walikuwa hawajapangiwa vituo vya kufanyia mafunzo kwa vitendo, kuwa utaratibu unafanywa kuhakikisha kwamba wanapangiwa vituo hivi karibuni ambapo mtandao utafunguliwa na wahusika watapewa taarifa”. Amesema Prof. Muhammad Bakari



Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Chuo Kikuu Iringa(University Of Iringa) 2016/2017





Bachelor of Arts in JournalismS/NSurnameFirstNameSecondNameSex1AWESOAMINAAF2MSUYASTEPHANOPM3HAYUMAEMMANUELATANASM4ABDALLAHKHATAMISM5MASANJAJOHNM6CHRISANTVENANCEM7SAMKNICOLAUSNICOMEDM8AMANIMASOUDM9PASTORYMARCOBUNDALAM10NYONIGODFREYEMBachelor of Laws1BAKARIMTANARASHIDM2KAYOMBOMICHAELM3MBWIGAPIUSM4MNAKUWILSONM5MOLLELMATHEWJM6MUTAKIFELIXWM7NYALUSIHEKIMAM8TUNZOGRACEFBachelor of Arts in Cultural Anthropology & Tourism1CHIUNAMAGANGEJM2EDWARDOLARIVKM3JUMAJUMASELEMANIM4KIMAMBOANGELAANDREWF5KITALEANTHONYM6MAKONGOELLYMAJURAM7MASSAMBEATRICEISARIAF8MKANGAFERDINANDYJOHNM9MTAKYAWARUBENIPAULOMBachelor of Counselling1AYOELINAMINMBachelor of Education (Mathematics)1DJUMAMARIAMUBUSHIRIF2JACKSONONESMOM3JOHNFORTUNATUSM4MASELEJUMAM5MOSHAFRANCISPM6SAJISIASASM7TAMILWAIHILDAJEREMIAFBachelor of Arts in Community Development1BYABATOWINFRIDADF2GAJIJIMEHANSIJM3GAMBAFRANKBISEKOM4JUSTINEELIFRIDAEUSTADF5KASSIMNUSURAAF6KATITIGIVENOSWARDM7KIWANGOGLORYOLVARISF8LEONARDRICHARDREGINALDM9LICHEULAMARYJOHNF10LUCASHEZRONKALAMUM11MAHAGULACATHERINECAMARAF12MASANAGULILOGLADNESSSAMWELF13MASATIPETERJOFREYAM14MIRAJIABUBAKARSAIDM15MLAYGLADNESSDF16MSANGWACECILIAF17MWAMLENGAJEREMIAHJAMESM18MWINUKADAINESYONAF19MZIRAYHABIBANUHUF20NAMAZUNGOMARYFF21REUBENISAYAM22SANGAJERRYSM23URASSAGODFREYJACOBMBachelor of Business Administration1MASILUGEAZEMBachelor in Divinity1YAROJACKLINEJFBachelor of Science in Information Technology1ATHUMANIBAKARIM2FELLICIANBENJAMINM3GERALDROBERTM4KABIKAMASOUDSALUMM5KADAMAEMMANUELM6KALAGHEPIERREGETTYSPM7KAONDOYUSUPHM8KIMWERIMAGRETHTF9LUGAZOSAUMUHAMISIF10MBALAJOSEPHRICHARDM11MERINOFABIANOM12MGUGUHAMISIMNYAMPINDAM13MSANGIAMINAF14MWANITEGALEAHDANIELF15MWASIGODFREYPM16PAULFRANKM17PETROTHERESIAKF18SILAYOIRENENF19SUBURYAJAMESMBachelor of Accounting and Finance1TEMUCATHERINEMICHAELFBachelor of Science in Economics & Finance1MEKLAUDGLORYMAKUNDIF2MHONGOLEABEIDBM3NSHUSHIALEXRESPICHM4PETERMARGARETAAF5RWEYEMAMUJESCALAWRENCEFBachelor of Education (Arts)1ABRAHAMMATILDAF2AGGREYABRAHAMM3ALLYSAIDIM4ANNEYMARIAGF5ANNEYSAMSONPETERM6ASSAHISAYAM7BARNABANATALIAF8BAYYOPAULODEEMAYM9BULONGOFURAHADF10BUNG'ERAROBERTBM11BUZUKABADEHEBF12CHAVALAFABIANOM13CHRISANTWINCHESLAUSRM14DANIELDEVOTHAF15DANIELMUSAM16DEUSMAIGEM17DONARDNDEBILEFM18ELIAHLILIANF19ELIAKIMUNAOMIDF20EMMANUELEDWARDSHABANIM21EMMANUELALFREDM22EMMANUELMICHAELM23EZEKIELRAFAELM24FUMBOLUPAKISYOGF25FUNJIKERAYMONDOSMONDM26GANGALAPETROM27GAUDENCEAUGUSTINEM28HALAMBASAYM29HAMADICHARLESHAMISIM30HAMZAZUBEDAOMARYF31HASSANIHAMISIM32HUBERTAUGUSTINOM33JEREMIAOMITOM34JIMSONJONATHANM35JOHNKULWAGM36JOSHUAJENIFERALEXF37JUMAFURAHAMIRAJIF38JUMAJUMAMM39JUSTINEEMMANUELM40KADUMARUBENADRIANM41KAJEMBEJAMILLAHSAIDF42KAMBONAMAUDIASF43KANDONGAJOSHUAAM44KASEKWAABELSM45KAVAYAAGNETALINUSF46KETUTATEYANOISF47KIDASIYOBULUTENGAMASOM48KIIZAVENITHAF49KIJANGALIGHTNESSPETERF50KILANGAIGNASKM51KIMAMBOGEOFREYM52KIMWELAGEROGASIANAF53KIRUATWAKYONDOAM54KISANGAJOSEPHINEG.F55KITASHUKURULAUDENM56KOMANYAJERRYM57KOMBALUCYLUTGELF58KOMBABAHATIJOHNM59LEOCHRISTINAHENRICKF60LUGUMBAERICKMESAUSM61LUHANGABETHMESIAF62LUKINISHAFLORAYUSTOF63LUXUMEDAREBECADF64LYOGELAROZAREVOCATUSYF65MABUTULETICIADF66MAHENGEGODFREYNICKSONM67MANENTOATHUMANIZAKARIAM68MANONIFARAJIODILOM69MAPUNDAAGNESADAMF70MARCOEUNICEF71MARCODEOGRATHIASM72MARTINEEDWARDM73MARWAZACHARIAMM74MASABOLEONARDLENATUSM75MASHIMBAZAKAYOM76MASUDIHABIBAHUSSEINF77MATONDONSULWAM78MBAGOJULIUSJASTICEM79MBEGALOBARAKARM80MBWILOKELVINFM81MDENDEMIUFUNUOPETERM82MGALEENITHAF83MGANGAREHEMASAIDF84MGATASAMWELDONATUSM85MGAZASHABANIOM86MGONJAMONICAMOSESF87MHAGAMAHILARYATHANASM88MICHAELTHOMASM89MKILIMAMUMINIHAMISIM90MKINIMILTONMM91MLIGOEMILEERNESTF92MMBAGAAMINANUHUF93MMBANDOTUMAINISTEVENM94MNGOMAELIZABETHYONAF95MNYANYAJENIFERGF96MOHAMEDIBAKARIBURUHANIM97MOTTOHAPPYAF98MPINDAEDSONM99MSAFIRINURUMF100MTEMIDAUDIEMMANUELM101MTUMBELAYOHANAMICHAELM102MUHSINIADAMISSAM103MUSTAFASALUMUM104MUYEMBATHOMASM105MWAGENICATHERINEF106MWAMBIPILEORDENKM107MWAMSOJOATUPAKISYEALLYF108MWANANSASEYUSTINOMELKIORM109MWANDAGOAGGREYJULIUSM110MWAPINGAHONGERADAMIANF111MWASHALULAJOSHUAUM112MWIKOLAGETRUDAGAUDENSIF113NDALIHAZESARAHF114NDOGAATHUMANMASUDM115NDULUTEPALYUSIGILBERTM116NDUNGURUREMIGIUSHYAZINTM117NGUKUEVERERNESTIF118NJILESIDAM119NKULIYEVIOLETHSYLVANUSF120NKYAELIFASINELSONM121OBADIAFRANKM122OMARIAMIRIALLYM123PENDAELMAWAZOZEPHANIAM124PETERMARIAF125PHILEMONBERTHAF126PHILIDOLINEALICEF127RAJABURAJABUSAIDIM128RASHIDASHANTIAF129RASHIDEMMANUELM130RENATUSREUBENPHABIANM131SABBIVENERANDAF132SAIDIFADHILIM133SAIDIABEDIM134SAMSONMARIAMF135SAMWELLAMECKGABRIELM136SAMWELKULWAM137SANGAFRIDAALEXF138SANJOLILIANF139SIJAONASUNDAYM140SIMKOKOSALOMESIMONF141TAWAHHEMEDHAJJM142TETEIMANIAM143TOIMALEKENIM144TUNGALAZALEONARDMM145VEDASTOAVETHF146WATSONINNOMM147WAZIRISWAUMUAF148WAZOELFADHILIABRAHAMUM149WILSONELIWAZAF150YOHANAMECKTRIDAWANKILOFBachelor of Business in Marketing Management1KIOLOGWEANGELEZEKIELF2KITOMARYLIGHTNESSIF3NCHIMBIJOYCESFBachelor of Human Resource Management1MAKUNGAVALENTINEEM2MAULIDABDULKADRIRM3WILLIAMSTEPHANOM

Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Chuo Kikuu Bugando(Cuhas) 2016/2017

Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Chuo Kikuu Ruaha University- RUCU 2016/2017

Selected Candidates to join various Degree Programmes at RUCU

1. Bachelor of Arts with Education

 

2. Bachelor of Accounting and Finance with Information Technology

 

3. Bachelor of Laws

 

4. Bachelor of Business Administration

 

5. Bachelor of Science in Computer Software Engineering and Information System

 

6. Bachelor of Environmental Health Sciences with Information Technology

 

7. Bachelor of Science with Education (IT & Mathematics)

Haya hapa Majina Ya Wanafunzi Waliokosea Kujaza Form Za Mikopo 2016/2017.


During the exercise of processing 2016/2017 loan application forms, the Board has come across loan applications which are missing some vital information such as applicant’s and guarantor’s signatures. For that reason, the Board would like to inform loan applicants with such incompleteness to visit HESLB offices in Dar es Salaam.

Loan applicants and/or their guarantors who have not signed their documents are required to physically visit HESLB offices on Plot No. 8, Block No. 46 Sam Nujoma Road, Mwenge, Dar es Salaam to append signatures to their loan applications fromMonday 3rd September 2016

Loan applicants who did not attach applicant’s photo, guarantor’s photo (to their application forms) or who attached uncertified photocopies of birth certificates, academic certificates, guarantor’s particulars such as photocopy of Passport or voter’s registration cards; should send the missing particulars with covering letters indicating their full names and form four index numbers with year of completion e.g. S0143.0012.2013 via EMS through the following address:

The Executive Director,
Higher Education Students’ Loans Board,
P. O. Box 76068,
DAR ES SALAAM.

The deadline for correction of the shortcomings is Friday 7th October 2016.

All attachments must be certified by a Commissioner of Oaths. 

NB:    The Board is: 
•  cautioning loan applicants to be careful with some unscrupulous individuals who might take advantage of this opportunity to make financial demands.
•Reminding loan applicants that correction of missing items is not a guarantee to be awarded loans.
• Incomplete application forms will not be considered for further processing until the missing information is provided within specified time. 

*The list of loan applicants with missing signatures and other attachments can be viewed through: http://olas.heslb.go.tz

Dawa za kupunguza maumivu 'husababisha maradhi ya moyo

ImageSCIENCE PHOTO LIBRARYImageDawa za kupunguza maumivu

Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu na uvimbe huchangia ongezeko la hatari ya kupata maradhi ya moyo, utafiti umebaini.

Dawa kama vile Ibruprofen, Naproxen na Diclofenac ndizo dawa hutumiwa sana kupunguza maumivu na kuvimba.

Jarida la Uingereza la madaktari, linasema watafiti waliwachunguza watu milioni 10 , wenye umri wa miaka 77 ambao walitumia dawa hizo.

Wataalam wa Uingereza wamesema utafiti huo haukuwa na umuhimu sana kwa wagonjwa wenye umri wa chini ya miaka 65 lakini muhimu zaidi ilikuwa kwa wagonjwa wenye umri wa makamo.

Utafiti huo ulifanyiwa watu milioni 10 wanatumia dawa hizo kutoka Uingereza, Uholanzi, Italia na Ujerumani na kulinganishwa na watu wasiotumia dawa hizo.

ImageSPLImageDawa ya kupunguza maumivu ya Ibuprofen

Watafiti kutoka chuo kikuu cha Milano- Bicocca nchini Italia, walibaini kwamba kati ya wale wanaotumia dawa hizo za kupunguza maumivu, asilimia 19 hupelekwa hospitali kwa matatizo ya moyo.

'Tahadhari'

Shirika la Uingereza la masuala ya moyo (BHF) limesema wagonjwa wanaougua maradhi ya shinikizo la damu, kisukari na shida za figo wanastahili kutumia dawa hizo kwa kiwago kidogo na kwa muda mfupi.

ImageSCIENCE PHOTO LIBRARYImageMtu mwenye umri wa makamo

Mkurugenzi wa shirika la BHF, Profesa Peter Weissberg amesema utafiti huo umesisitiza uchambuzi wa hapo awali kwamba wagonjwa ambao wenye shida za maungio, wamo katika hali ya hatari ya kupata shida za moyo.

'Haswa kwa wale ambao hutumia dawa hizo za kupunguza mauamivu kila mara.'

Rwanda yanunua ndege ya kisasa ya Airbus

Rwanda yanunua ndege ya kisasa ya Airbus

ImageNdege hiyo ina uwezo wa kubeba abiria 244

Shirika la ndege la Rwanda, Rwandair, limezidisha ushindani katika uchukuzi wa ndege Afrika Mashariki na Kati kwa kununua ndege aina ya Airbus A300-200.

Ndege hiyo itawezesha shirika hilo kufika masoko ya Ulaya na bara Asia.

Ndege hiyo ilizinduliwa kwa mara ya kwanza kwenye uwanja wa kimataifa wa Kanombe, Kigali.

Tanzania yanunua ndege zake mbiliNdege ndefu zaidi duniani yapata ajali

Mkuu wa shirika la Rwandair John Mirenge amewaambia waandishi wa habari kuwa ndege hiyo yenye nafasi ya abiria 244 ndiyo ya kwanza katika ukanda huu na ina teknolojia ya kisasa na ya hali ya juu.

"Ukiwa angani ndani ya ndege hii unaweza kupiga simu, kupata ujumbe wako wa simu, ujumbe wa barua pepe, ujumbe wa WhatsApp na mawasiliano mengine. Haya hayakuwepo katika ndege nyingine tulizo nazo," amesema.

"Hata katika ukanda huu na kwingineko barani afrika hakuna shirika lenye ndege iliyo na uwezo huo."

Ni ndege iliyotengenezwa nchini Ufaransa na kununuliwa kwa kitita cha dolla milioni 200 za marekani.

ImageSafari ya kwanza ya ndege hiyo itakuwa kwenda Dubai

Bw Mirenge, anasema safari za shirika la ndege la Rwandair zilikuwa zinajikita sana Afrika magharibi na kati na kwamba ndege hii sasa inakuja kuongeza uwezo wa kuvamia masoko ya Ulaya, Asia na kusini mwa Afrika.

Safari ya kwanza ya ndege hiyo inatarajiwa kufanyika wikendi ijayo tarehe 8 kuelekea mjini Dubai.

Shirika hilo sasa linalenga kusafirisha abiria laki 750 ifikapo mwishoni mwa mwaka 2017.



 

Gallery

Popular Posts

About Us