KINGAZI BLOG: 10/18/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday 18 October 2016

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU MZUMBE SECOND ROUND 2016/2017

KUONA MAJINA



KWA WANAOTAKA KUHAMIAMZUMBE
>>SOMA HAPA<< 

KWA MNAOTAKA HOSTELS OFF CAMPUS

Wanasayansi Kuanzisha Nchi Mpya Angani...Watu 50,000 Watuma Maombi Kuhamia Huko

Wanasayansi hao wanataka kuunda taifa anga za juu ambalo litaitwa Asgardia

Kundi la wanasayansi mjini Vienna, Austria wameanzisha mpango wa kuunda taifa la amani la aina yake ambalo litakuwa na jina Asgardia.

Taifa hilo litaundwa katika anga za juu, eneo.

Maelezo kwenye tovuti ya wanasayansi hao yanasema taifa hilo litakuwa nje ya udhibiti wa mataifa yoyote ya sasa na litakuwa katika mzingo wa dunia, eneo ambalo vyombo vya anga za juu huzunguka dunia.

Wanasayansi hao wanapanga kurusha satelaiti ya kwanza, ya kuanzisha taifa hilo, mwishoni mwa mwaka ujao.

Matumaini ya wataalamu hao ni kwamba siku moja hivi karibuni watatambuliwa na Umoja wa Mataifa.

Lakini baadhi ya wataalamu wanatilia shaka uwezekano wa mpango huo kufanikiwa ikizingatiwa kwamba sheria za kimataifa huzuia mataifa kudai umiliki wa maeneo anga za juu.

"Raia" wa Asgardia, ambao watachunguzwa kwa makini kabla ya kukubaliwa, mwishowe watapewa hata pasipoti, anasema Lena de Winne, mmoja wa maafisa wakuu wa mradi huo ambaye alifanya kazi kwa miaka 15 katika Shirika la Anga za Juu la Ulaya (EPA).

Maelfu ya watu tayari wameonyesha nia ya kutaka kujiunga na taifa hilo

Mradi huo unaongozwa na shirika la Aerospace International Research Center, ambalo lilianzishwa na mwanasayansi Mrusi, ambaye pia ni mfanyabiashara, Dkt Igor Ashurbeiyli.

Mashindano yanaandaliwa kuamua bendera na wimbo wa taifa wa nchi hiyo mpya.

Profesa Sa'id Mosteshar, mkurugenzi wa Taasisi ya Sera na Sheria za Anga za Juu ya London, amesema itakuwa vigumu kwa Asgardia kutambuliwa kama taifa ikizingatiwa kwamba haitahusiana na taifa lolote linalojitawala duniani, na pia 'raia wake' wengi watakuwa ardhini.

Tayari zaidi ya watu 50,000 wamewasilisha maombi mtandaoni kutaka kuwa raia wa taifa hilo

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU MBEYA UNIVERSITY-MUST 2016/2017 1ST,2ND AND 3RD ROUND

               

KUONA MAJINA

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU NIT 2016/2017-1ST,2ND AND 3RD BATCH

Image result for nit TANZANIA

KUONA MAJINA

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU ST.JOHN DODOMA 2016/2017 BATCH 3


Image result for st john's university of tanzania
KUONA MAJINA HAYO 

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU ATC ARUSHA 2016/2017


 
List Of Students Selected By TCU To Join ATC Degree Programmes In 2016-17 Academic Year

JK, Lowassa ana kwa ana msibani Dar

Dar es Salaam. Jakaya Kikwete na Edward Lowassa walikuwa marafiki na sasa ni maadui wakubwa wa kisiasa, lakini jana walilazimika kushikana mikono wakati wa ibada ya kuaga mwili wa kada wa CCM, Didas Masaburi.

Mbali na tukio hilo, Rais John Magufuli alituliza wafiwa alipoeleza kuwa Masaburi, ambaye alizikwa jana chuoni kwake Chanika Dar es Salaam, ameacha wake wapatao watano na watoto zaidi ya 20 baada ya minong’ono kuibuka kutokana na aliyesoma wasifu kusema kada huyo ameacha mke mmoja wa ndoa na wajane wawili.

Wasouth wamkumbuka Lucky Dube leo

Aliyekuwa mwanamuziki mashuhuri duniani, Lucky Dube wakati wa uhai wake 

Siku kama ya leo, Oktoba 18 mwaka 2007, mwanamuziki mashuhuri duniani, Lucky Dube alifariki dunia. Katika kumbukizi ya kifo hicho, Waziri wa Sanaa na Utamaduni, Natji Mthethwa amewataka raia wa Afrika Kusini kumkumbuka mwanamuziki huyo kwa kumuombea.

“Leo tunatoa heshima zetu kwa mwanamuziki huyu, muziki wake uliwaguza mamilioni ya watu duniani,” amesema

Mthethewa aliendelea na kumpongeza Dube akisema kuwa muziki wake ulianza tangu kipindi cha Apartheid.

Dube aliuawa kwa kupigwa risasi eneo la Rosettenville, Johannesburg.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Octoba 18



 

Gallery

Popular Posts

About Us