KINGAZI BLOG: 10/20/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday 20 October 2016

TCU yaongeza muda wa udahili vyuo vikuu

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania TCU imetoa muda wa siku 3 kwaajili ya wanafunzi zaidi ya 4000 ambao wamekosa fursa ya kudahiliwa katika hawamu tatu za udahili zilizofanywa na tume hiyo
Kaimu mkurugenzi wa udahili na nyaraka wa TCU Dkt. Kokuberwa Mollel amesema udahili huo utaanza tarehe 24 hadi tarehe 26 mwezi huu kwaajili ya kozi mbalimbali ambazo bado hazijajazwa kwani tayari udahili umekamilika kwa wanafunzi wanaosomea masomo ya udaktari ambapo Jumla ya wanafunzi zaidi ya 2000 wamechaguliwa kati ya wanafunzi zaidi ya 10,000 waliotuma maombi yao
Dkt. Kokuberwa amesema wanafunzi wengi walioachwa kwenye usajili wameshindwa kutofautisha viwango vya ufaulu wao na vigezo vya vyuo husika hivyo wameaswa kuchagua kozi watakazo zikuta katika tume hiyo na kuacha kung'ang'ania kozi ambazo hawajakidhi vigezo vyake.

MPYA : HAYA HAPA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU JOSIA KIBIRA (JOKUCO)

NILAMBE HUMOHUMO== SEHEMU YA 4

.
CHOMBEZO: NILAMBE HUMOHUMO
MTUNZI: HUSSEIN WAMAYWA
SEHEMU YA NNE
Ukutani kulikuwa na picha kubwa za wanawake wa kizungu walio uchi ambao walikuwa wamelala kitandani katika namna ya kutamanisha kulikovuka mipaka, yule mheshimiwa akaanza fujo tena.
Jimama likaingia na kufunga mlango,
Likaondoa kanga kifuani na kile kijisketi kilichokuwa kimemsitiri kwa chini na kubaki kama lilivyozaliwa. Mwanga hafifu uliotoka katika balbu ukimpiga vilivyo katika mwili wake mtepe na kuufanya uwe mwekundu na kuvutia vitamu, jimama likapiga hatua za maringo na kuketi kitandani.
Mkono wake ukazama uvunguni na kuibuka na boksi la kondomu!
‘’Changamka! Hesabu haijatimia, nataka niendelee kula vichwa na kijua ndio hiki nisipouanika nitautwanga mbichi!’’ Nikaelewa nikavua shati, wakati najiandaa kuvua suruali akaniuliza
“Unataka kulala hapa hapa?”
‘’Hapana!’’
‘’Sasa unatoa nguo za nini?’’
‘Nikamshangaa ‘’si tunataka ku…ku…!’’
“Najua’’ akaniwahi kwa karaha ‘’Haina haja ya kuvua nguo shusha tu suruali kidogo kama huwezi kuipitisha hapo katika zipu! Halafu nipe hela yangu kabisa!”.
Nikatoa hela na kumpa nikimwambia “Lakini hapa hatuwezi…”
‘’Ukitaka starehe kamili kaoe! Mimi niko kazini na nilishakwambia hesabu haijatimia hivyo sitaki mizungu!’’


Nikamtumbulia macho
Alipoona simuelewi akanisogelea pale akaivuta chini sarawili yangu na kumkamata jamaa aliyekuwa nusu akilia na nusu akitetemeka akamvisha koti la mvua na kumkaribisha uwanjani akague gwaride.
Hakukuwa na busu, sijui romance wala kunyonyana ndimi. Nikaanza kazi mara moja. Alikuwa fundi wa kuzungusha viuno na kunung’unika. unadhani nilichukua round basi!? dakika zangu mbili unusu tu, ikawa kitu na boksi! Akanitoa kunisukumia pembeni. Kazi ikawa imekwisha.
‘’Ukitaka kurudia je?” Nikamuuliza nikimwangalia kwa matamanio. Kusema kweli nilikuwa sijaridhika hata kidogo.
‘’Haturuhusu! Hapa goli moja, unatambaa!“
Nikamuelewa.
Dakika iliyofuata nikawa nje katika upande mwingine.
Elfu kumi niliyoichukua kwa kazi hii ilibaki elfu saba! Kwa bei ya elfu tatu ningeweza kupata wanawake wengine wawili na kubaki salio la elfu moja ambayo ningelitumia kama nauli na kurudi bwenini chuoni Chang’ombe.
Katika chumba hiki cha pili nikiwa na mwanamke mwingine tena nilikuwa nimeshakaa kifuani kwa zaidi ya dakika tano pasipo jibu kuonekana, ndipo mambo yalipoanza kwenda mrama.
‘’Changamka bwana muda wako umeisha!’’ Alinihimiza nikazidisha spidi. Dakika zingine tatu yule mama akanisukumia pembeni na kuliangalia koti la baridi alilonivika akidhani namuongopea.
‘’Alipokuta halijaloa akaniangalia vizuri na kunitwanga swali
“Umeshatoka kupata sehemu nyingine siyo?”
‘’Ndiyo!” Nikamjibu.
Akaachia mfyonzo mrefu uliotoka vizuri haswaa. Halafu akainuka kwa ghadhabu na kuvaa nguo zake, alipomaliza akaniambia “Haya toka!’’
‘’Lakini hatujamaliza bado!’’
‘’Tumemaliza umeniongopea kuwa hujapata kumbe umeshapata toka nakwambia!’’ Sasa alinifuata na kuniinua pale kitandani.
‘’Hatukuongea hivyo!’’
‘’Toka nitakupigia kelele za mwizi!’’ Sauti yake haikuwa ndogo, alikuwa akipayuka.
“Basi nipe chenji yangu nakudai elfu mbili, nimekupa elfu tano!’’
“Elfu tatu ni dakika tatu wewe umetumia kumi! Nikingali nakudai elfu tano!” Akabweka.
Nikachoka. “Haiwezekani!” Nami nikapandisha na kukomaa. “Lazima unipe chenji yangu’’
Akaufuata mlango na kuufungua nje kulikuwa na shehena ya kutosha ya watu, Baadhi wakitaka kujua kulikoni wengine wakipaza sauti nikomeshwe! “Betty mtoe fasta tumjeruhi!” Sauti kutoka nje ikaomba.
Akanivuta na kunisukumia nje akawageukia wale wanawake na kuwaambia “Alitaka kunitumia dabo dabo bila malipo!”
kufikia hapo moyo ulikuwa ukinipiga vibaya nikijua sasa ndio naadhirika. Kwa ajili ya ngono! Nikawaza kwa uchungu. Maana sikupewa hata nafasi ya kujieleza.
Pale nje nilipokelewa kama mpira wa kona, nikatukanwa matusi ya kila aina waloweza kunitia singi walinitia, walioweza kunipiga na viatu na makopo ya mkojo pia walifanya hivyo.
Mara wakatokea watoto kadhaa machokoraa wakanikwapua kama kipanga na kunipeleka mahala walipopaita Chakabovu! Kule wakanisachi na kunipokonya kila nilichokuwa nacho.
Simu, fedha kidogo, viatu, kofia! Halafu halafu wakaniambia nipotee!
Niliondoka roho ikiniuma na nikiwa nimewachukia wanawake wote wa Uwanja wa fisi. Niliwachukia isivyo kawaida. Kutoka pale Manzese Bahresa hadi magomeni makonda waliweza kunielewa na kunipa lifti.
Lakini kutoka Magomeni hadi Chang’ombe hawakunielewa ikanilazimu nitembee kwa mguu kutoka Magomeni baada ya kuona masaa yakiyoyoma bila kupata lifti. Nilifika chuoni usiku nikiwa hoi bin taaban.
Siku ya pili sikuingia darasani nikabaki bwenini nikijisomea na kuuguza majeraha madogo toka kwa wale machangu pamoja na machokoraa wao.
Jioni Akimu na Shamsa walikuja kunitazama na kunipa pole. Nikajisingizia ugonjwa. Shamsa akanisisitiza kwenda hospitali kuangalia afya pengine nina malaria
‘’Nitakwenda!’’ nikawaambia kuwapa moyo.
* * *
Miezi kadhaa baadae nilishaweza kuyasoma mazingira na kwenda nayo sawasawa. Niligundua kuwa uwanja wa fisi sio mahala pa’ kwenda na fedha nyingi, simu ya kifahari, mavazi mazuri sana na kadhalika.
Sio mahala pa’ kusema utapata bao mbili kwa mwanamke mmoja. Na muda wa kuwa na mwanamke kitandani usizidi dakika kumi,
Niligundua pia kuwa yako mamia kwa mamia ya wanaume wanaofuata ngono za bei raisi katika maeneo hayo kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa wa Dar es Salaam ambapo hapo hakuna haja ya kutongoza.
Hakuna pia kuombwa hela ya vocha, Saloon, hela ya mtindo mpya n.k pale ni mahala pa’ kulipa, kupata huduma utakayo na kutoweka! Mahala pa nipe nikupe.
Niligundua pia kwa siku moja pale mwanamke ambae mapato yake sio mazuri hulala na angalau wanaume kumi kwa siku na kupata elfu thelathini! Wale wenye mapato mazuri hupata wanaume kati ya ishirini na ishirini na tano kwa siku.
Hawa pato lao kwa mwezi lilifukuzia pato la mafisadi kwa karibu tu kwa vile ni kati ya milioni 1.2 na milioni 5, ambapo pia nao hulazimika kulala na wanaume 600 hadi 750!
Unashangaa nini? Wewe endelea tu kuhudhuria huko uwanja wa sifa kama ibada ujue hauko peke yako.
Niligundua mbali ya walevi, wanywa pombe na wabwia unga; wapo baadhi ya wanawake ambao wamelitumia pato hilo kwa kujenga makwao kusomesha watoto na n.k.
Niligundua tena kuwa wengi walikuwa ni waathirika wa ukatili wa kijinsia ambao uliwakumba katika familia zao na mikondo ya maisha waliokuwa wakiishi.
Wengine ndugu zao wa kiume walikuwa wamewadhulumu mali za urithi walioachiwa na wazazi wao, wengine walikuwa yatima walioondokewa na wazazi wao na kukosa mtu wa kuwaangalia! Wengine walikuwa wametupwa na wazazi wao baada ya kuzaliwa wengine… wengine!
Basi ilimradi kulikuwa na mlolongo wa matatizo ambayo kwa hakika yalichusha na kuudhi.
Hofu ya ukimwi je?
Walikuwa nayo lakini wangefanyaje? Waliona bora waishi kwa furaha leo kwa kuwa hata kesho wasipokufa kwa ukimwi kama watajitunza, basi watakufa kwa njaa, umasikini na adha zingine kadha wa kadha.
Ugunduzi huu ukanifanya nisiwatizame kwa jicho baya tena, bali nikawaona kama wahanga fulani hivi!
Nikajitengenezea utaratibu mzuri wa kwenda pale na kuhudumiwa mara nne kwa wiki! ulikuwa utaratibu nilioupenda na kuufuatisha kama ibada, utaratibu mtamu kweli, mtamu haswaa. itaendelea

18+ WAKUBWA TU. BONYEZA HAPA


Zaid ya Wanavyuo 66,000 wakosa mikopo mwaka huu

 Image result for heslb.go,.tz
Dar es Salaam. Ahadi iliyotolewa na Rais John Magufuli wakati wa kampeni mwaka jana kwamba katika Serikali yake hakuna mwanafunzi atakayekosa mkopo wa masomo ya elimu ya juu imekuwa ngumu kutekelezeka.
Uchunguzi wa Mwananchi umebaini kwamba kati ya wanafunzi 88,000 walioomba mikopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), wengi hawatapata.
Uwezo wa bodi hiyo ni kutoa mikopo kwa wanafunzi 21,500 pekee sawa na asilimia 24 na waliopatiwa hadi sasa ni wanafunzi 11,000 sawa na asilimia 12.
Takwimu hizi zinaonyesha kwamba zaidi ya robo tatu ya wanafunzi wanaohitaji mikopo watakosa kutokana na uwezo mdogo wa kifedha.

Rais Magufuli ampigia simu RC Mrisho Gambo.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha amesema kuwa Rais Dkt John Pombe Magufuli amempigia simu  na kumwambia kuwa ana imani naye na kuwa hajafikiria kutengua uteuzi wake labda kumpandisha cheo.

Hayo yamesemwa jana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari  baada ya taarifa kuhusu Rais kutengua uteuzi wake kusambaa kwenye mitandao ya kijamii.

Mkuu wa mkoa alisema kuwa alipigiwa simu nyingi na watu wengi lakini kabla hajawajibu Rais Magufuli akampigia simu na kumueleza kuwa ana imani naye na kuwa ahakikishe anawatumikia wananchi wa Arusha kwani yeye sio bosi wao bali ni mtumishi wao.

Pia mkuu wa mkoa alieleza kuwa Rais amempa maagizo ya kuhakikisha anasimamia wananchi wa mkoa wa Arusha walipe kodi kwa ajili ya maendeleo ya mkoa huo na nchi kwa ujumla.

Aidha, ili kuthibitisha kuwa ni Rais Magufuli ndiye aliyempigia simu, Rais aliomba kuongea na yeyote aliyekuwa karibu ndipo mkuu wa mkoa akampa mmoja wa waliokuwa katika mkutano huo kuthibitisha kuwa ni Rais Magufuli.

Habari ya kutenguliwa kwa mkuu wa mkoa wa Arusha imekuja ikiwa ni siku moja baada ya kuibuka mvutano mkali kati ya mkuu huyo wa mkoa na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kuhusu mradi wa ujenzi wa hospitali itakayotoa huduma kwa mama na mtoto mkoani humo.

MPYA:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA THIRD ROUND VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017

                          Image result for TCU TANZANIA
Habari yako,

TCU tayari wametoa third batch (awamu ya tatu) ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo mbalimbali hapa nchini, kama kawaida yetu lazima tuwe sambamba kukuletea kila linalojiri tanzania katika secta ya elimu na vyuo kwa ujumla, yafuatayo ni majina ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo mbalimbali tanzania, Angalia jina lako kwa kubonyeza link hizi apo chini

WASILIANA NASI KUPITIA 0716528779 KAMA UNATAKA TUKUTAFUTIE JINA LAKO KWA HARAKANA KWA URAHISI KWA SH 1000/= TU NDANI YA DAKIKA MBILI TU

CHUO KIKUU NIT                                       (3RD ROUND)  >>BONYEZA HAPA<<

CHUO KIKUU ATC ARUSHA                    (3RD ROUND)  >>BONYEZA HAPA<<

CHUO KIKUU MUST-MBEYA                   (3RD ROUND)  >>BONYEZA HAPA<<

CHUO KIKUU AMUCTA                           (3RD ROUND)  >>BONYEZA HAPA<<

CHUO KIKUU MARIAN                           (3RD ROUND)  >>BONYEZA HAPA<<

CHUO KIKUU ST.JOHN DODOMA        (3RD ROUND)  >>BONYEZA HAPA<<

CHUO KIKUU MOUNT MERU               (3RD ROUND)  >>BONYEZA HAPA<<

Hizi Hapa Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Octoba 20





Jinsi ya Kupunguza Uzito Kwa Njia za Asili: Njia 3 Rahisi

Uzito mkubwa wa kupindukia ni tatizo kubwa la kiafya katika maisha yetu ya kisasa. Uzito unapozidi kiwango ambacho kinahitajika kwa mtu husika kunachangia matatizo mengi ya kiafya. Watu wenye uzito mkubwa wamekuwa wakijaribu njia nyingi tofauti za kupunguza uzito bila ya mafanikio aidha kwasababu ya kukata tamaa mapema kabla ya matokeo au kwa kufuata njia zisizo sahihi na namna zisizo sahihi.

Baadhi ya matatizo yanayosababishwa na uzito mkubwa ni Kisukari ,Shinikizo la Juu la Damu na magonjwa mengine ya moyo.

Sababu Za Kuongezeka Uzito Wa Mwili:
Uzito mkubwa wa kupita kiasi unatokana na kuongezeka kwa mafuta mwilini ambayo hutunzwa sehemu mbalimbali mwilini kama juu ya ngozi,tumboni na juu ya viungo vya nadni vya miwili kama moyo,utumbo nk. Pia hujenga utando pembeni mwa mishipa ya damu.

Mafuta hutunzwa kama akiba pale mtu anapokula chakula kingi kuliko kiasi cha nguvu anazohitaji na hivyo mwili unabadilisha chakula hicho kuwa mafuta na kuweka katika akiba.

Watu wa mijini wananenepa zaidi kuliko wa vijijini kwasababu ya mitindo yetu ya maisha ambayo tunakula chakula kingi na chenye mafuta lakini hatuifanyishi miili yetu kazi za kutosha kutumia nguvu tulizoingiza.

Chukua mfano, mtu anakula kJ 5, mchana anakula kJ 20, jioni kJ 15 jumla ni Kj 40. Anaenda kazini kwa gari,anakaa masaa 8 kwenye kiti kazini kisha jioni anarudi na gari hadi nyumbani kwake. Umabali aliotembea ni mita 10-20 jumla ya nguvu ulizotumia jouli 30, nguvu zilizobaki bila matumizi ni kJ 10.

Sasa mwili unafanya nini na kJ 10 zilizobaki? Zinahifadhi kwa matumizi ya baadae kama mafuta ambayo hatakuja kuhitaji.

Fikiria inakuwaje katika siku 30 za mwezi na hifadhi hii. Hivi ndivyo uzito na unene unavyopatikana.

* kJ=Kilo Jouli (Kipimo cha nguvu mwilini)

Jinsi Ya Kupunguza Uzito Wa Mwili

1. Kupunguza Kiasi Cha Chakula Kwa Siku

 Hii ni njia moja kubwa ya kufanya usipate uzito mkubwa na pia kupunguza uzito.

Kama unahitaji kJ 30 kwa siku basi kama una uzito uliozidi utatakiwa kula kJ chache mfano kJ25 ili kJ 5 zinazohitajika zitoke katika akiba ya mafuta mwilini.

Uzito mkubwa unachangiwa kwa asilimia nyingi na kiasi kikubwa cha chakula mtu anachokula.

Naomba ifahamike kuwa suluhisho sio kuruka mlo,unatakiwa kula kila mlo ila kwa kiasi kidogo.

2. Kufanya Mazoezi Ya Mwili

 Mazoezi ya mwili iwe kwa kufanya kazi au kwa kukimbia au katika vituo vya mazoezi au nyumbani yanasaidia kupunguza uzito kwa kuunguza mafuta ya akiba katika mwili. Mfano kama unakula kiasi unachohitaji tu kwa kazi za kawaida na kisha ukafanya mazoezi,mwili utahitaji kuchukua nguvu toka katika mafuta ili kujazia upungufu. Mfano unaweza ukatumia kj 10 kwa mazoezi ya dk 30 mpaka dk 60. Hivyo ukifanya mara kwa mara kama si kila siku utapungua tu uzito.

Mazoezi rahisi kufanya ni kukimbia kila jioni au asubuhi kwa umbali wa km 1 mpaka 2 zinatosha. Lakini unaweza kwenda katika kituo cha mazoezi jioni au ukanunua vifaa vya mazoezi na kufanya nyumbani kama unaweza.

3. Mpango Sahihi Wa Chakula-Chagua Kula Chakula Sahihi

Katika njia ya kwanza nimesema juu ya kiasi unachokula,hapa naelezea juu ya aina ya chakula unachotumia kinachangia uzito kuongezeka au vinginevyo.

Ulaji wa vyakula vingi vya wanga na mafuta ni chanzo kikubwa cha unene na uzito kuongezeka. Vyakula kama ugali,wali,mkate mweupe,bia na pombe za kienyeji zinazotokana na wanga (kimea) huchangia kuongezeka kwa uzito. Matumizi ya aina hii ya chakula ni muhimu kupunguzwa katika mlo wako.

Vitu Vya Kufanya Katika Mpango Wa Chakula:

Acha Kula Vyakula Vya Sukari
Sukari inayozidi mwilini toka katika vyakula hubadilishwa na kuwa mafuta. Vyakula kama chokuleti,biskuti,keki na vinyaji kama soda vina kiwango kikubwa cha sukari. Pia usitumie sukari nyingi katika chai na juisi.

Kula Mboga Mboga Na Matunda Kwa Wingi
Mboga mboga ni nzuri kwa afya kwa ujumla lakini pia haina mafuta hivyo itakufanya kuingiza mafuta kidogo mwilini.

Matunda halikadharika hayapunguzi uzito moja kwa moja bali yatakufanya ushibe na usitamani kula kila mara kwani yanakata hamu ya chakula. Hivyo utaokoka na tabia ya kula kila mara ambayo huchangia sana kuongezeka uzito.

Acha Kula Kula Ovyo Nje Ya Milo Maalumu
Uzito na kula kula hovyo ni marafiki wakubwa. Ukiona mtu ni mnene ujue anapenda kula. Ile kweli anakulakula ikimaanisha anakula kila mara na kila wakati chakula kinapokuwepo.

Anza leo kujenga tabia ya kula kidogo na katika milo muhimu mitatu.

Punguza Matumizi Ya Chumvi
Ndiyo,chumvi inaongeza uzito. Sodiamu iliyomo katika chumvi inachangia katika mchakato wa kikemikali unaopelekea kuongezeka uzito. Tumia chumvi katika kiwango kidogo.

Tumia Chai Ya Kijani
Umesikia kuhusu chai ya kijani (Green Tea), ni chai ambayo ni ya kijani na inasaidia kuondoa sumu za mwili (antioxadation). Hii inasaidia katika kusaidia mwili kuunguza mafuta katika njia inayoitwa thermogenesis.

Tumia Chai Ya Tangawizi
Tangawizi kama ilivyo chai ya kijani inafahamika kuongeza mmeng’enyo wa chakula tumboni hivyo kupunguza mrundikano wa mafuta yasiyotumika

Kunywa Maji Mengi
Maji yanachangia kuharakisha mfumo wa uvunjaji chakula tumboni na hivyo kupunguza mafuta yanayohifadhiwa.

Panga Malengo Na Anza Kuchukua Hatua
Kupungua uzito kunahusisha suala la kubadili tabia. Kila mtu anajua ugumu wa kubadirisha tabia. Lakini kama unajali afya yako ni lazima ufanya maamuzi leo na weka malengo ya kuanza kufanya haya yaliyoelezwa hapa.

Mbuyu hauangushwi kwa siku moja,ila anza kupanda mimea mingine kuuzunguka na utaanza kudhoofika. Anzisha tabia mpya nzuri itakayokusaidia kupunguza uzito. Anza na hatua moja,inaweza ikawa kula kidogo au mazoezi kisha baadae ukafanya yote. Kuanza kuchukua hatua ni jambo gumu ila muhimu sana katika kutimiza lengo la kupunguza uzito.

Kama umeipenda mada hii basi mshirikishe na mwenzio na toa maoni yako au tufahamishe njia nyingine unazotumia kusaidia kupunguza uzito wa mwili. Asante kwa kusoma na nakutakia utekelezaji mwem

 

Gallery

Popular Posts

About Us