KINGAZI BLOG: 10/28/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday 28 October 2016

MAAJABU: MWANAMKE AMTUMIA MGOMBEA WA URAIS DONALD TRUMP NYWELE ZA SEHEMU ZA SIRI KAMA MCHANGO WA KAMPENI

Image result for donald trump
Mgombea wa urais Marekani Bw. DOLDALD TRUMP


Katika hali ya kustaajabisha mwanamke mmoja wa Florida amemtumia Donald Trump nywele za sehemu za siri ikiwa ni muitikio wa barua aliyopokea ikimuomba kuchangia kampeni za Trump.
                                Image result for donald trump
 Mwanamke hyo adai kwamba ameshindwa tuu kumtumia sehemu zake za siri lakini badala yake ameamua kumtumia nywele zake za sehemu za siri Kama mchango wa kumuunga mkono mgombea huyo.

TUNAOMBA MAONI/ COMMENT  YAKO HAPO CHINI

HAWA HAPA MASTAA WA KIKE WANAOPENDA KUONYESHA MAKALIO YAO MTANDAONI
































ERICK OMONDI AMEFANYA REMIX YA WIMBO WA SALOME HII HAPA ITAZAME!!!! (inachekesha sana)

DIAMOND PLATNUMZ KUFANYA COLLABO NA STAA HUYU WA MAJUU.

Tuzo za MTV MAMA huwakutanisha wasanii wengi wa Afrika kwa wakati mmoja. Si kila anayehudhuria huwa ametajwa kuwania tuzo, bali wengine huenda kwaajili ya kutafuta connection.

Na wengine hutumia fursa hiyo kwenda kufanya video na wasanii waliowashirikisha ili kupunguza gharama za kuwasafirisha kuwapeleka SA kwaajili hiyo. Miongoni mwa watu waliotumia fursa hiyo ni rapper wa Malawi, Tay Grin aliyewahi kuweka wazi nia yake ya kutaka kufanya kazi na Diamond.

Na sasa huenda hilo limekamilika baada ya kuungana na muimbaji huyo wa ‘Salome’ jijini Johannesburg kufanya video ya wimbo unaonekana amemshirikisha Diamond pamoja na msanii wa Sweden, Mohombi.

“We out here with the boy @diamondplatnumz video shoot,” ameandika Tay Grin kwenye picha hiyo ya juu aliyoiweka Instagram. “It’s fire trust! With @mohombimusic ( I wanna boom bang bang with your body ) @iamlumino @chronicles_of_karim_cazal colin the “boss” it’s all love out here! Great things in the pipeline.”

Naye Mohombi aliweka picha akiwa na Diamond kwenye mtandao huo na kuandika: Big Things Coming !!!! #AfricaUnite with my bro @diamondplatnumz

Habari kuu zilizopo kwenye Magazeti Ya Leo Ijumaa ya Octoba 28



Basi la Hood lagongana na lori na kupinduka kwenye mlima Kitonga

Basi la kampuni ya Hood linalofanya safari zake kati ya Mbeya na Arusha jana  mchana lilipata ajali na kupinduka katika mlima Kitonga mkoani Iringa baada ya kugongana na lori la mafuta.

 

Katika ajali hiyo mtu mmoja amepoteza maisha na wengine 43 wamejeruhiwa. Kati ya majeruhi hao 25 wapo Hospitali ya Itunda Ilula na 18 wapo katika Hospitali ya Mkoa.


 

Gallery

Popular Posts

About Us