KINGAZI BLOG: 11/02/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday 2 November 2016

HII HAPA JOINING INSTRUCTION YA CHUO KUKUU TEOFILO KISANJI MBEYA (TEKU)

MPYA:HAYA HAPA BATCH YA TATU YA MAJINA MAPYA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO SUA-CONTINUING 2016/2017

Image result for sokoine university of agriculture

KUONA MAJINA YOTE

SERIKALI YAVIPA VYUO VIKUU SIKU 14 TU KUWASILISHA MATOKEO YA MTIHANI.

Serikali yavipa siku mbili vyuo vikuu 14 kuwasilisha matokeo ya mtihani

Serikali kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Maimuna Tarish imevitaka vyuo vikuu 14 ambavyo havijatuma matokeo ya wanafunzi wao ya mwaka uliopita kwa Bodi ya Mikopo kutuma mara moja ili kuwapatia mikopo kwa walio katika utaratibu wa kupata mkopo wa serikali.

Taarifa ambayo imetolewa na Tarish imevipa vyuo hivyo 14 siku mbili pekee kuhakikisha vinatuma majina kwa Bodi ya Mikopo na kuagiza viweke mfumo mzuri ambao utawawezesha kutuma matokeo kwa 


MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA-OUT BATCH 3&4 VIA TCU & NACTE 2016/2017

KUYAONA MAJINA YOTE >>BONYEZA HAPA<<

MPYA: MAELEZO UJAZAJI WA DODOSO NDANI YA SIKU 30 KWA WANUFAIKA WA MIKOPO ELIMU YA JUU (KWA WANAFUNZI WANAOENDELEA.




Wanafunzi wanufaika wa mkopo elimu ya juu.
"hasa wale wanaoendelea na masomo",
kuanzia jumatatu ijayo,tarehe 31/10/2016 kila
 mnufaika anapaswa
 kuingia kwenye akaunti yake binafsi ya HESLB
 ili ajazeDODOSO lililoboreshwa zaidi kwa lengo la
 kuwa na taarifa
 sahihi zaidi zinazoweza kuwa
VERIFIED na vyombovya serikali kuhusu hali ya
 kifedha ya mnufaika.
Baada ya dodoso hilo kujazwa, litahakikiwa na 
ikibainika taarifa ulizotoa ni za uongo basi mnufaika 
ATAPOTEZA SIFA 
ya kupata mkopo wake. 
Pia, kwa yoyote ambaye hatajaza DODOSO hilo pia
 naye ATAPOTEZA sifa ya kuwa mnufaika.
Kwa hiyo ni zoezi la VERIFICATION ya taarifa za kifedha
 za mnufaika.
Muda ukifika Dodoso hilo  litajieleza.
Hivyo,from next Monday every beneficiary has
 to log in to his/her account. 
Ni zoezi la muda wa mwezi mmoja tu na litaisha  mwezi
Novemba,
 hivyo kila mtu afanye hima kujaza dodoso hilo jipya.

Pia unatakiwa kuendelea kuhakiki majina yenu 
kwenye sahihi hapo chini ya video
 (Kuna ya mwaka wa kwanza na wanaoendelea).
 ili kujua kama upo chuo kihalali (kwa sifa na vigezo). 
Zoezi hilo limeanza tayari. - hii ni kwa wanafunzi wote
KUMBUKA ZOEZI NI SIKU 30 TU 

HII HAPA VIDEO YENYE
 MAELEKEZO PIA===>>>

                               BONYEZA HAPA
                               KUONA VIDEO 

TAFADHALI, ENDELEA KUTEMBELEA BLOG HII 
KWA UPDATES ZOTE ZA HABARINITAENDELEA KUKUPA UPDATE ZOTE KUHUSU VYUO 
NA MAMBO YOTE KUHUSU SEKTA YA  ELIMU

CREDIT TO http://kubalyendas.blogspot.com/

MAJINA MAPYA YA WALIOPANGIWA MKOPO CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM)

COLLABO NYINGINE NDANI YA WCB KATI YA DIAMOND PLATNUMZ NA RICH MAVOKO KUFANYIKA HIVI KARIBUNI.


Kuna kila dalili ya kufanyika collabo nyingine ambayo haijawahi tokea ndani ya Crew ya WCB  kati ya Boss wa label hiyo kubwa ya muziki hapa nchini na nje ya nchi,  Nassib Abdul "DIAMOND PLATNUMZ"  na Rich Mavoko ambaye ni moja kati ya wasanii wakubwa waliojiunga na  label hiyo. Diamond platnumz ameshafanya kolabo na baadhi ya wasanii ndani ya label hiyo akiwemo Harmonize na wimbo wa " BADO" pia Raymond au Rayvanny na wimbo Salome uliotoka miezi michache iliyopita. Tusubiri na tuone itakavyokuwa.
USISAHAU KUTOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Idadi ya watumishi hewa nchini yafikia 19,629 hadi Oktoba 25, 2016.

Watumishi Wa Umma 1,663 Wachukuliwa Hatua Za Kinidhamu Kwa Kusababisha Wafanyakazi Hewa

Watumishi wa Umma 1,663 kutoka Wizara, Idara zinazojitegemea, Wakala za Serikali, Sekretarieti za Mikoa, na Mamlaka za Serikali za Mitaa wamechukuliwa hatua za kinidhamu baada ya kubainika kusababisha watumishi hewa 19,629 hadi Oktoba 25, 2016.

Waziri ya Nchi, Ofisi ya Rais, anayeshughulikia Utumishi na Utawala Bora Angella Kairuki amesema hayo leo Bungeni mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mainda Hamad Abdallah (Mbunge wa Viti Maalum) alilohoji hatua zilizochukuliwa na Serikali dhidi ya watumishi wanarudisha nyuma maendeleo ya nchi.

Akifafanua idadi hiyo, Waziri Kairuki amesema kuwa idadi ya watumishi waliochukuliwa hatua za kinidhamu kutoka Wizara mbalimbali ni 16, Idara zinazijitegemea na Wakala za Serikali watumishi tisa, Sekretarieti za Mikoa watumishi sita na Mamlaka za Serikali za Mitaa watumishi 1,632.

Waziri Kairuki amesema kuwa watumishi hao wameisabishia Serikali hasara ya zaidi ya Sh. bilioni 19, huku Halmashauri ya Kinondoni ikiwa na watumishi hewa 107 ambao waligharimu Serikali sh. bilioni 1.29, Kishapu watumishi 73 wamesababisha hasara ya kwa kugharimu sh. milioni 543 na kuonya kuwa waajiri waendelee kuchukua hatua za haraka na kudhibiti uwepo wa watumishi hewa ili kuipunguzia Serikali kuingia hasara kubwa badala ya kuwahudumia wananchi. 

Aidha, Waziri Kairuki amesema kuwa jumla ya watumishi 638 wamefunguliwa mashtaka polisi, watumishi 50 wanafanyiwa uchunguzi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) na watumishi 975 mashtaka yao yamefikishwa kwenye Mamlaka zao za kinidhamu.

Kurejesha hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke aliye poteza hisia mahusiano

Tendo la ndoa ni tendo lenye ladha ya aina yake na furaha isiyo elezeka, lakini kuna watu ambao hufanya tendo kwa hali ya kulazimisha sababu yumo ndani ya ndoa.

mana huwa hasikii hisia wala tamaa ya tendo. ambapo huweza kusababisha ndoa kuwa chungu ana usalitiwaji wa ndoa.

SABABU

KIMWILI
1.) upungufu wa damu na madini ya chuma kutokana na kupata hedhi
2.) kutumia madawa ya kulevya
3.) magonjwa makubwa kama kisukari

KISAIKOLOJIA
a) kufanya kazi kwa muda mrefu
b) kukumbwa na wasiwasi na huzuni sana
c)kua na historia ya kubakwa au kuchukizwa na mapenzi

TIBA YAKE

KUNGU MANGA robo kilo.  KARANGA nusu.
KISHA CHANGANYA lakini kungu manga itabidi UTWANGE na karanga USITWANGE,
kisha tafuna pamoja  nusu saa au saa moja kabla ya kuanza kuingia katika jimai (TENDO LA NDOA).

utapata raha na hisia za ajabu na kufurahia tendo hilo. utadumu hivyo kwa siku 11 ukitumia tiba hii. na utapona inshaa Allah.

Habari kuu Zilizopo kwenye Magazeti ya Leo Jumatano ya Novemba 2



 

Gallery

Popular Posts

About Us