KINGAZI BLOG: 11/13/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday 13 November 2016

Sikiliza Hapa Kionjo Cha Wimbo Mpya Wa Diamond Platnumz.


15034856_140312616444647_8315410384202760192_n
Msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ambaye Hivi karibuni ameweza kushinda Tuzo 3 za AFRIMA mwenye Hit Singer ya “SALOME” ameweza kutuonjesha kipande cha ujio wake Mpya.
Audio hii inaweza kuwaimevuja kwani yeye mwenyewe hajaweza kuipa promo kwenye akaunti yake yoyote mtandaoni ambapo si jambo lakawaida kwake.
Moja ya Mistari inayopatikana kwenye wimbo huo unasema
Tatizo sielewi nikipi nilichowakosea walimwengu, Mbona nimejawa na dhiki, Nyama mnakula nyie mimi ni Dengu,Tena kinachoniadhibu mnayosema baya mazuri hamuyaoni, Wengine rafiki wa karibuMioyoni mnaroho mbaya mnanichekea usoni
SIKILIZA HAPA

Diamond platnumz_ft_cassper nyovest.Mp3

Picha: Hivi ndivyo ilivyokuwa kwenye Mazishi ya Spika Mstaafu Samwel Sitta


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary wakitoa heshima za mwisho kwa Spika Mstaafu, marehemu Samuel Sitta kabla ya mazishi yake yaliyofanyika jana Urambo mkoani Tabora

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Y. Ndugai akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samuel Sitta wakati wa mazishi wa Spika huyo Mstaafu.

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samuel Sitta wakati wa mazishi wa Spika huyo Mstaafu. Anayefuatia ni Mkuu wa Kambi ya upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe.

CHOMBEZO: NILAMBE HUMO HUMO ===9


MTUNZI: HUSSEIN WAMAYWA
SEHEMU YA MWISHO
‘’Nitashukuru kupita kiasi!” Nikasema haraka nikiwaza hata kama Lady Jay dee ataniita mwanaume kama binti na Bushoke kuniita Mume bwege shauri yao! Nitafanyaje hali nimesha ulowanya?” Nikakubali.
Lakini kabla haya hayajafanyika inakubidi uanze taratibu za uchumba na kwa hili hatuna budi kwenda kupima afya zetu kwanza ili ulete barua ya posa wakati huo huo ukianza Driving School! Sawa mpenzi?!”
Nikasikia kama nimepigwa na nyundo kichwani! Ule msururu wa wanawake niliotembea nao toka Uwanja wa fisi, Songambele, Gobbah Sotele, Msangule, Msanga na vijiji vingine hamsini kidogo utanisalimisha kweli?
‘’Mbona hivyo Ibra?” Shamsa akanigundua “Au hukuvaa kondomu vizuri? Si umeniambia ulihakikisha unajilinda?’’
‘’Ni kweli! Nikajibalaguza, sura yangu ikavaa tabasamu bandia.
“Nilikuwa makini mno!’’ Nikaongezea.
‘’Sasa mbona unaogopa?’’
‘’Siogopi nina hofu kidogo tu! Unajua tena kuna Saloon, Hospital, Ajali na kadhalika. Kote huko unaweza kuambukizwa!’’
“Jiamini Ibra!” Akasema kwa karaha, “Kumbuka kutojiamini huko ndio kumekufanya ufeli na kuharibu ndoto zako!’’
‘’Kwa… kwa… kwani nilazima sana kupima? Si ningeleta tu hiyo barua ya posa na … na …!” Uoga ulinisumbua. Wale wanawake wa kule fisi afadhali, lakini kule katika ngoma, thubutu! Nilitumia kondomu mara chache sana!
‘’Ni lazima Ibra!” Shamsa akanikata kalmia na kuendelea.
“Mimi na wewe tunataka kufunga pingu za maisha zitakazofunguliwa na kifo, tunataka kutengeneza familia bora yenye afya furaha na amani, tunataka kuanza kuyaona maisha katika mwanga bora, na hii inaanza na kujua afya zetu Ibra. Ujue mimi na wewe tumekutana VETA, huko nyuma kila mtu amekuwa na majangusho yake, na katika majangusho hayo, lolote laweza kuwa limetokea. Hapana Ibra, kupima ni lazima dia!”
Sikuwa na jinsi. Kwa kila hali nilikuwa nimeshikwa. Kadiri nilivyotaka kuruka viunzi ndivyo alivyonibana kwa hoja hata nikakosa la kusema. Mwishoe nikaamua, “Acha niende nikajue moja kama kusuka au kunyoa,
Nikamkubalia, akafurahi na kunipongeza kwa kunikumbatia.
Hatukwenda kupima mara moja tu, zilipita siku za kutosha mpaka tukahitimu na kutunukiwa. Baadae alinipeleka kwao na kunitambulisha kwa wazazi wake kuwa nilikuwa Boy friend wake,
Wazee wake walikuwa na uwezo kweli, yale mandhari na ile nyumba yao mpaka sasa sijaiona mfano wake. Tena walikuwa wakarimu kweli. Tukajadiliana nao sana kuhusu maisha na mafanikio.
Siku iliyofuata ndio tukaenda Angaza
Tulikutana na akina dada wazuri wakatupa ushauri wa kutosha wa Ukimwi. Wenyewe wanaita ushauri nasaha. Tuliposema tumeelewa, tukaingia ndani na kupimwa!
Kabla ya kupewa majibu, tukapewa ushauri nasaha mwingine! Ushauri wa kina. Tuliposema tuko tayari, tukapewa majibu yetu. Ikawa kitu na box!! Naam! Nilikuwa nimeathirika wakati Shamsa alikuwa amesalimika.
‘’Shamsa hakuyaamini masikio yake ingawa mimi niliyatarajia hayo, akauliza mara mbili mbili kama daktari alikuwa amekosea au lah! Jibu alilopata lilikuwa lile lile! Akavunjika moyo vibaya,
Akageuka na kuniangalia kwa majonzi, machozi yakateleza juu ya mashavu yangu. Akanisogelea na kunifuta, bado yaliendelea kunitoka. Moyo ukinidhihaki kwamba huu ulikuwa mwisho wa kila kitu baina yangu na Shamsa, mwisho wa ahadi! Mwisho wa mikakati ya kuelekea katika nchi ya maziwa na asali! Kwanini machozi yasinitoke? Kwanini?!
Shamsa akaniinua taratibu, tukatoka nje huku nikiwa sina nguvu hata moja . Naam! Malipo ya ngono ni ukimwi.
Hatua chache kabla ya kutoka nje ya jengo hilo, nikashindwa kabisa kutembea! Nikauegemea ukingo wa nguzo, Shamsa akalitambua hilo, akajua ninahitaji faraja faraja ya kweli
‘’Taratibu akajivuta maungoni mwangu na kunikumbatia kwa nguvu huku maneno ya faraja yakimtoka ‘’Huu sio mwisho wa maisha Ibra!’’ akasema mara nyingi na kuongeza “Wapo watu waliokuwa na matatizo lukuki na bado wakafaulu, usife moyo…! ’’
Kana kwamba hiyo haitoshi, akaanza kunipapasa hapa na pale huku pia akiruhusu mikono yangu itembee katika kiuno chake na nyonga kwa ujumla.
Tukaendelea kuchezeana pale kwa muda huku kucha za vidole vyake zikitambaa katika shingo yangu na kunipa faraja iliyo pitiliza, kutahamaki mikono yangu ikarukia katika matiti yake, ‘
Akaguna.
Akaacha kunichezea shingoni na kurudi kunikumbatia kwa nguvu tena. Mikono yangu ikashindwa kufanya chochote maana ilibanwa barabara katikati ya kifua changu na cha Shamsa.
Nyuso zetu zilibakiza sentmita chache sana kukutana, wakati huu tulikuwa tukibadilishana pumzi. Hata mapigo ya mioyo yetu tuliweza kuyahisi. Kila mmoja aliyahisi ya mwenzake,
Nikafunua mdomo kumuomba anipe ulimi!
Akanielewa. Akasogea taratibu, ikiwa imebaki sentmita tatu hivi midomo yetu iungane na ndimi kusalimiana, Shamsa akashituka na kurudi nyuma ,
‘’I m so sorry Ibra, Samahani mpenzi! Akanong’ona akinikumbatia kwa nguvu.
‘’Najua!’’ nikasema kwa jazba ‘’Najua kama nimeathirika lakini kidogo tu!’’
‘’Haitawezekana Ibra! Unaweza kuniambukiza, kumbuka nina watu wanaonitegemea wazazi na ndugu zangu waliojikusuru na kunilipia kozi yangu yote ili nije kuwa msaada kwao . Niamini dear kama sio hilo ningekuruhusu tu unilambe humo humo mdomoni!’’
‘’Shamsa ajue mimi ni wa kufa tu kwa sasa nahitaji faraja, tafadhali mara moja tu ukimwi hauambukizwi kwa kunyonyana ndimi!’’
‘’Sio kweli Ibra, asilimia kadhaa ya virusi hivyo huishi kwenye mate pia!’’
‘’Kwa hiyo unananinyanyapaa Shamsa?” Nikafoka nikishindwa kuidhibiti akili yangu “Wote waninyanyapae, hata wewe Shamsa? Nani basi atakayenipa upendo! Nani atakaye nijali, nani atakayenifariji nani atakaye…Oooh! Mungu wangu mbona umeniacha?!!’’ Nililia kwa uchumgu msisimko wote ulioletwa na Shamsa ukitoweka.
‘’Hapana Ibra!” Alikuwa Shamsa kwa sauti thabiti, sauti yenye mamlaka, sauti inayobembeleza, kusihi na kushawishi. Sauti tamu ajabu! Akaendelea.
“Hapana mpenzi wangu! Hapana! Amini kwamba ninakupenda kwa dhati, ninakupenda ukweli wa kukupenda, tena ninakupenda kwa moyo wangu wote.
Na ili kulinda heshima yako sitaolewa wala kuwa na mpenzi mwingine maishani ila wewe tu, potelea mbali kama hatutafanya mapenzi daima nitaishi maisha ya kitawa mpaka hapo muumba atakaponichukua! Nakuahidi hilo na ninakuapia hii ni ahadi ya dhati kabisa toka moyoni hasa!”
Nikamtazama na kutabasamu, akanifuta machozi.
Nilijua hii ni kauli tu kama kauli zingine. Kauli za wanasiasa, kauli ya faraja, kauli kutoka kwa aliyesalimika, kwenda kwa aliyeathirika. Hata siku moja sikutaka kuyaamini kwamba atayatekeleza yote aliyonihubiria! Ili tu kunilindia heshima! Heshima gani niliyo nayo kwake? kwa thamani ipi? Kwa kipi cha ajabu nilichomfanyia hata anikumbuke hivyo?
‘’Nimempa nini hata ayafanye hayo eti tu kumlindia heshima mtu ambae miaka mitatu kama sio minne ijayo atakuwa chini ya ardhi futi saba huku tani kadha wa kadha za mchanga zikiwa tele juu yake.
Nikazipokea! Kumbe ningefanya nini? Na ili kutomvunja moyo nikamwambia, “Nitafurahi sana ikiwa utatimiza hayo uyanenayo!’’ Shamsa akaniangalia tena na kutabasamu.
‘’Tabasamu zuri ajabu akaniambia.
‘’Kwa uwezo wa mola Hakika nitayatimiza!’’
Akashuka ngazi kabla hatujajipakia kwenye taxi ya Sudi na kutokomea!
MWISHO.

Kibonge Sexy: Mi na Chid Benz Tumebaki Marafiki Tu...Naposti Picha Nusu Utupu Kwa Ajili ya Biashara


ALIYEKUWA demu wa staa wa Hip Hop, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’, Bhoke ‘Kibonge Sexy’ kwa mara ya kwanza amefungukia uhusiano wao kuwa kwa sasa hawako kimapenzi kama zamani.
Akichonga na Global TV Online leo, Bhoke ambaye pia ni mwanamitindo na video queen mnene kuliko wote Bongo alisema, ni muda mrefu tangu awe na Chid kimapenzi na kilichobaki kwa sasa ni urafiki tu.

“Umebaki urafiki wa karibu, wa kumjulia hali na kuzungumza naye tu lakini si wapenzi tena,” alisema Kibonge Sexy


Kibonge Sexy aliongeza tena, katika maisha yake hamuogopi mtu hivyo anavyoposti picha za nusu utupu anafanya biashara za nguo na hata kaka zake wawili wanajivunia na kutambua kitu gani anakifanya.

PICHA 4 !!! INASIKITISHA HEBU ONA MADHALA YA MAKALIO YA KICHINA KWA HUYU



Miss BumBum contestant and Brazilian TV presenter reveals the shocking damage caused by fillers injected to give her a bigger bottom and thighs

Miss BumBum contestant and Brazilian TV presenter reveals the shocking damage caused by fillers injected to give her a bigger bottom and thighs


WARNING GRAPHIC CONTENT 

A model whose bottom came second in Brazil's Miss BumBum beauty contest has revealed the terrible harm plastic surgery wreaked on her body.
Andressa Urach, 27, spent a month in intensive care and feared she would lose her leg after fillers 'rotted' her muscles and had to be removed, triggering a life-threatening infection.
These photos show the shocking extent of the damage to one of the most controversial TV presenters in Brazil - a nation which has overtaken the U.S. to become the cosmetic surgery capital of the world.



Habari kuu Zilizopo kwenye Magazeti Ya Leo Jumapili ya Novemba 13




 

Gallery

Popular Posts

About Us