KINGAZI BLOG: 11/15/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday 15 November 2016

SERIKALI YAREKEBISHA TENA MFUMO HUU WA ELIMU


Waziri wa Elimu, Profesa Joyce Ndalichako. 

Dar es Salaam.Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Magufuli imeendelea kuufumua mfumo wa elimu uliopigiwa kelele na wadau wakati wa Serikali iliyopita kwamba unashusha ubora wa elimu baada ya Alhamisi iliyopita kutoa waraka mpya unaobatilisha programu za mafunzo ya ualimu.

Mabadiliko mengine ya elimu yaliyofanyika katika Serikali ya Awamu ya Tano ni kuwaondoa wanafunzi wa cheti na stashahada maalumu ya ualimu wa sayansi Chuo Kikuu cha Dodoma, kufuta GPA na kurejesha Divisheni na kufuta mtihani wa pili (paper two) kwa watahiniwa binafsi.

Katika mkakati wa hivi karibuni, Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi imetoa Waraka wa Elimu Namba 5 wa mwaka 2016, unaolipokonya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte) mamlaka ya usimamizi wa vyuo vya elimu ngazi ya cheti na stashahada na kuyarejesha wizarani chini ya uangalizi wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta).

Hivyo, Necta ndiyo itatahini na kutoa tuzo ya mafunzo ya ualimu wa cheti na stashahada kuanzia mwaka 2016/17.

Source: Mwananchi

Bodi ya Mikopo(HESLB) Yatangaza majina ya wadaiwa sugu kuanzia mwaka 1994 hadi 2014....Bofya Hapa Kuyaona

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inatangaza orodha ya majina ya Wadaiwa Sugu ambao wamehitimu katika Vyuo mbalimbali vya Elimu ya Juu kuanzia mwaka wa masomo 1994/1995. 

Wasugu hao wanapewa siku 30 kulipa madeni yao ndani ya muda huo kabla hatua za kisheria hazijachukuliwa na wahusika kulazimika kulipia gharama za kuwasaka na kuendesha kesi.

Kwa mawasiliano zaidi piga 0763 459 165 au 0767 513 208 au tembelea ofisi zetu za Makao Makuu, Dar es salaam au ofisi zetu za kanda zilizopo Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Arusha.

Kuona orodha hiyo bofya viunganishi vifuatavyo:

1.Orodha ya kwanza

2.Orodha ya Pili

3.Orodha ya Tatu

4.Orodha ya Nne

5.Orodha ya Tano

Taarifa Rasmi Ya Maafa ya Tetemeko la Kagera Kutoka Ofisi Ya Waziri Mkuu




Orodha ya vyuo 26 vilivyofutiwa usajili na NACTE leo tar 15 November


Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limevifungia vyuo vya ufundi 26 kutokana na makosa mbalimbali, ikiwamo kushindwa kuzingatia masharti yaliyowekwa katika cheti cha usajili wa vyuo hivyo, huku likisimamsisha utoaji wa programu zilizokuwa zikitolewa katika vyuo 20 ambazo hazijasajiliwa.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Kaimu Katibu mtendaji wa NACTE, Dkt. Adolf Rutayuga, alisema kuwa wamekuwa wakifuatilia vyuo vya ufundi ili kutathmini kama vinafuata viwango vya ubora wa kitaaluma vilivyowekwa na NACTE katika kutoa mafunzo.

 

Katibu huyo amesema kuwa baada ya kufanya uchunguzi huo, wamebaini vyuo 26 vilishindwa kuzingatia masharti yaliyowekwa na NACTE katika cheti cha usajili, huku vyuo 20 vikitoa mafunzo ambayo hayajathibitishwa chini ya idara isiyotambulika,wakati vyuo viwili vikiwa na vituo vya satellite/Kampasi ambavyo navyo havijathibitishwa na chombo husika.

NACTE ni bodi iliyoanzishwa kisheria chini ya Sheria ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi, kifungu cha 129, kusimamia na kuratibu utoaji wa elimu ya ufundi na mafunzo nchini Tanzania.  Chini ya sheria hiyo, ili kufikia na kudumisha hali ya mtoa mafunzo, vyuo vyote vinatakiwa viwe vimesajiliwa, vibali na kuwa mitaala iliyopitishwa na baraza. Vyuo haviruhusiwi kuanza kutoa kuanza kutoa huduma yoyote ya mafunzo bila idhini ya baraza.

 

Hapa chini ni mgwanyo wa vyuo katika makundi matatu na hatua zilizochokuliwa dhidi ya kila kundi

 

Jedwali 1: Vyuo vya Ufundi vilivyofutiwa usajili

S/NCHUO1Institute of Management and Development Studies – Iringa2Green Hill Institute – Mbeya3Institute of Business and Social Studies – Mbeya4Loyal College of Africa – Mbeya5Mbeya Training College – Mbeya6Mbengwenya College of Business and Information Technology –Mbinga7New Focus College – Mbeya8Shukrani International College of Business and Administration –  Mbeya9Majority Teachers College – Mbeya10Rukwa College of Health Sciences – Sumbawanga11MAM Institute of Education – Mbeya12Belvedere Business and Technology College – Mwanza13Geita Medical Laboratory Sciences and Nursing Training College – Geita14Global Community College – Geita15Muleba Academy Institute – Muleba16St. Bernard Health Training Institute – Katoro, Geita17Victoria Institute of Tourism and Hotel Management – Mwanza18Gisan Institute of Health Sciences – Mwanza19Dar es Salaam Institute of Business Management – Dar es Salaam20SAMFELIS College of Business Studies – Dar es Salaam21Ellys Institute of Technology – Bunda, Mara22Tanzania Institute of Chartered Secretaries and Administrators – Arusha23Emmanuel Community College – Kibaha24Modern Commercial Institute – Dar es Salaam25Marian College of Law – Dar es Salaam

Jedwali 2: Vyuo vya Ufundi vinavyotoa mafunzo ambayo hayajathibitishwa

S/NCHUOMAFUNZO1MISO Teachers College – MafingaCompetence Building Network (CBN) – a Certificate in Early Childhood Education2Tusaale Teachers College – MafingaCompetence Building Network (CBN) – a Certificate in Early Childhood Education3The St. Joseph’s College Institute of Business and Management (SJCIBM) – Morogoro4The Golden Training Institute – Dar es Salaam5Nkrumah Mkoka Teachers College – Kongwa, Dodoma6National Institute of Agriculture (Chuo cha Kilimo cha Taifa) – Arusha7Musoma Utalii Training College – Musoma8Mwanza Polytechnic Institute – Mwanza9Mwanza Polytechnic Institute – Maswa10Ruter Institute of Financial Management – Mwanza11Dar es Salaam Institute of Journalism and Mass Communication – Mwanza12Dar es Salaam Institute of Journalism and Mass Communication – Geita13Dar es Salaam Institute of Journalism and Mass Communication – Bukoba14Singni International Training Institute – Bukoba15Dar es Salaam Institute of Journalism and Mass Communication – Kahama16Dar es Salaam Institute of Journalism and Mass Communication – Simiyu17Richrise Teachers College – Geita18Twiga Training Institute – Musoma19Zoom Polytechnic Institute – Bukoba20St. Thomas Training College – Shinyanga

Jedwali 3: Vyuo vya Ufundi vyenye Vituo vya Satellite / Kampasi

S/NCHUO1MISO Teachers College – Mafinga2Rungemba Teachers College – Mafinga

MAAJABU:VIDEO HII HAPA HEBU JIONEE MTOTO ALIYEZALIWA AKIWA NA MKIA WA SAMAKI

Read:VIDEO:Cheki hii video namna huyu mrembo anavyocheza mziki ,ni hatari sana

That’s the simple math. You also want to look at whether you’re lengthening the time it will take to pay off your home and how much principal and interest you will have paid at the end of the break-even period or by the time you sell the house.

Even a “no-cost” loan has costs, though the lender fees may be replaced by a higher interest rate. “If you’re taking a zero-cost loan, you’re not getting the best rate,” says Casey Fleming, author of “The Loan Guide: How to Get the Best Possible Mortgage” and a mortgage professional in the San Francisco Bay Area. Some loans add the closing costs to the loan balance, which means you’re financing them over 30 years.

If you’re going to stay in the home, paying points (fees based on your loan size) to get an even lower interest rate might be a better deal. “If you keep the home, it’s by far the cheapest way to go,” Fleming says. “If you’re going to keep it more than about five years, it makes sense to pay as many points as a lender will allow you to get the lowest rate possible.”

And you don’t need to worry about dinging your credit since refinancing doesn’t hurt your credit score in any meaningful way.

“It doesn’t harm you in any way with the exception that you’re always restarting your amortization period,” Fleming says. “Every time you get a new loan, your score drops. Once you demonstrate you’re making payments on the new loan, it goes back up.

Cash-out refinancing, in which people refinance into larger loans as their home’s value grows, is regaining popularity as Americans add more equity, Fleming says. This can be good option for homeowners who want to remodel their home or build an addition, but it can be trouble for people who take cash out for the wrong reason – to buy a car, for example – which will be long gone before the 30 years of payments are made.

If you’re taking out cash to pay off credit card debt, experts warn you to be careful. If the debt was caused by a one-time event such as a health crisis or job loss, refinancing might be a good alternative to paying 24 percent interest. But if you ran up credit card debt because you’re spending more than you make, refinancing may be a mistake.

“If they’re refinancing to pay off credit card debt, then why are they overextended?” says Sylvia Gutierrez, a mortgage professional in Miami and the author of “Mortgage Matters: Demystifying the Loan Approval Maze.” “Some people continuously mismanage their money and refinance to catch up.”



Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne ya Novemba 15


 

Gallery

Popular Posts

About Us