KINGAZI BLOG: 12/07/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday 7 December 2016

KAULI YA KWANZA YA ZARI THE BOSS LADY BAADA YA KUJIFUNGUA LIVE

Hatimaye Zari na Diamond wamefanikiwa kupata mtoto wa kiume aliyezaliwa saa 10:35 alfajiri kwa saa za Afrika Mashariki, Jumanne, December 6.

Mtoto huyo amezaliwa kwenye hospitali ya NETCARE ya Pretoria nchini Afrika Kusini.

Diamond na Zari wameonesha furaha kwa ku-share picha za mtoto kwenye mitandao yao ya kijamii...zarithebosslady: thanking everyone for your prayers, we are all doing fabulously ok








Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya Disemba 7



 

Gallery

Popular Posts

About Us