KINGAZI BLOG: 02/08/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday 8 February 2017

Haya hapa Majina yote 65 yaliyotajwa na Makonda leo Feb 8, 2017


Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam,Paul Makonda amewataja watuhumiwa 65 wa Dawa za Kulevya,katika majia hayo ametajwa Freeman Mbowe,Mchungaji Gwajima,Yusuf Manji,Idd Azzan.

Akizungumza na waandishi wa habari Ofisi kwake mapema leo jijini Dar,RC Makonda ameingia katika awamu ya pili ya kutaja majina hayo na kuyaweka hadharani,huku akieleza kuwa watuhumiwa hao watatakiwa kufika kituo cha polisi kati siku ya Ijumaa,saa tano asubuhi kwa mahojiano zaidi.

Soma zaidi majina ya watuhumiwa wa sakala hilo la Dawa za kulevya.






HABARI KWENYE MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMATANO FEBRUARI 8


 

Gallery

Popular Posts

About Us