KINGAZI BLOG: 03/27/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday 27 March 2017

Picha na Kauli ya Nay wa Mitego baada ya kuachiwa na polisi

Mwanamuziki Nay wa Mitego ameachiwa huru kutoka katika Kituo cha Polisi cha Kati Dar es Salaam ikiwa ni saa chache tangu Rais Dkt Magufuli aliporuhusu kuchezwa redioni kwa wimbo wake uliokuwa umefungiwa na BASATA.

Agizo hilo la Rais Magufuli limetolewa leo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Mwakyembe alipokuwa akizungumza na waandishi habari mkoani Dodoma.

Waziri Mwakyembe alisema kuwa Rais Magufuli amesema wimbo huo ni mzuri, na kumshauri Nay wa Mitego aongezee mambo mengine kama  kuwataja watu ambao wanakwepa kodi, watumiaji wa dawa za kulevya.

Nay wa Mitego alikamatwa usiku wa kuamkia jana ambapo alipelekwa katika Kituo cha Polisi Mvomero na baadae alisafirishwa hadi Kituo cha Polisi cha Kati jijini Dar es Salaam.

Baada ya kutoka, Nay wa Mitego amezungumza na waandishi wa habari na kuwashukuru wale wote waliojitokeza na kumsaidia kwa namna yoyote ile.

Amewashukuru Watanzania wote lakini pia wasanii waliokwenda kumuona na kumtumia jumbe za kumpa moyo, lakini pia mawakili wake waliopambana kwa muda wote kuhakikisha kuwa haki yake inakuwepo na kulindwa.

"Asante kwa wote walioamka na kuwa upande wangu, upande wa haki, walioamini kile ambacho nimekifanya nawashukuru sana". Amesema Nay wa Mitego 



Kauli ya Nape  Baada ya Rais Magufuli Kuruhusu Wimbo wa Nay wa Mitego!!




ALIYEKUWA Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye kupitia ukurasa wake wa twitter amechapisha ujumbe wenye kutaka itumike busara na siyo nguvu katika kufanya maamuzi.

Aidha ujumbe huo ulikwenda sambamba na picha ya msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’.

Nape ameonyesha kuguswa baada ya kukamatwa kwa mwanamuziki huyo na alipoachiwa huru amepongeza uamuzi uliofanyika na kusisitiza mara zote busara inastahili kutumika.




Hii ni Kali ya mwaka!!!!PICHAZZZ.... Eti hawa ndio mastaa 10 wa kike Wenye Makalio makubwa zaidi kutoka Afrika.

10. Tracy Obonna (Nigerian)

A blend of hips, booty, pretty face and business-savvy, she’s got it all. Tracy Obonna is not just a beautiful model, she holds a Masters degree in Business and Finance. The US-based voluptuous super model is CEO of Sediore Cosmetics.
 
Model Tracy Obonna (3)

9. Omotola Jalade Ekeinde (Nigerian)

Omotola-Jalade-Ekeinde-Curves-RichestLifestyle.com_
 
Nigerian actress Omotola loves flaunting her famous curves and legs. Reason being that she has killer curves. The iconic Nollywood star’s sexiness has earned her the name Omosexy. She is regarded as the most powerful actress in Nigeria.

8. Toolz (Nigerian)

Toolz-Curves-RichestLifestyle.com_
 
 
More famous on the internet for her body, Tolu “Toolz” Oniru is a Nigerian radio and television personality. Her booty has made her one of the most buzzed African celebs online. With a degree in Business and Mass communication from London Metropolitan University, Toolz is definitely every man’s dream.

7. Vera Sidika (Kenyan)

 

Vera-Sidika-Vee-S-Beiby-Body-Curves-RichestLifestyle.com_
 
 
Vera Sidika a.k.a Vee S Beiby is dubbed “Kenya’s Kim Kardashian.” The model, entrepreneur and socialite rose to fame after appearing in a music video for Kenyan hip-hop group P-Unit. She gained international stardom after photos of her voluptuous backside were shared on social media. She has also been making headlines for skin lightening treatment she did in UK. Sidika suggested the skin lightening cost her around $170,000.

6.  Daniella Okeke (Nigerian)
Queen of derriere, Daniella is a fast rising Nigerian actress. She has the most protruding backside on the list. She has been causing quite a stir on social media; flaunting her sexy and hot body to her fans.
Daniella-Okeke-Curves

5) Peace Hyde (Ghanaian)

Peace-Hyde-on-BellaNaija-December-2013-BellaNaija-025-428x600
 
This British-Ghanaian TV host, socialite, actress, and model became a social media sensation all thanks to her curves. She has featured in almost every online African hot list. Not just a perfect body, Peace also got the brains, she graduated with honors in Psychology from Middlesex University, UK.
Peace-Hyde-on-BellaNaija-December-2013-BellaNaija-026-400x600

4) Juliet Ibrahim (Ghanaian)

African gene don’t lie. This gorgeous Ghanaian actress is of Lebanese, Liberian and Ghanaian descent. After several reports of her hips being fake hip pads, Juliet Ibrahim laughed off the reports by sharing on her Instagram a collage photo of her well-shaped body to prove it’s all natural. Aside from her stunning hips and belle physique, her face and lips are just adorable.
 
Juliet-Ibrahim-July-2014-BN-Movies-TV-BN-Music-BellaNaija.com-01

3) Corazon Kwamboka (Kenyan)

The most curvy hips in Kenya. Dubbed Kenya’s Curve Queen, Corazon Kwamboka a lawyer by profession has been one of the most talked-about Kenyan stars in the social media for her voluptuousness. She is one of the hottest voluptuous models in Kenya.

KWA

2) Joselyn Dumas (Ghanaian)

Ghanaian TV host and actress, Joselyn Dumas have got one of the most talked-about curves. Her superb hips is another prove that Africa is blessed with gorgeous women.
Joselyn-Dumas-Curves-RichestLifestyle.com_

1) NONI ZONDI (SOUTH AFRICA)

noni
 
Noni-Zondi-performs-at-HMV-Apollo-9
 
She is cool, she is feisty and she is gifted. Noni Zondi is the lady everyone should be talking about.  A London based lady, coming out of South Africa, Noni comes out as confident, courageous and of course curvaceous.

Serikali Yaagiza Nay wa Mitego Aachiwe Huru na Wimbo Wake Uendelee Kuchezwa Redion

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, ameliagiza Jeshi la Polisi kumuachia huru Msanii Ney wa Mitego ambaye alikuwa akishikiliwa na Jeshi hilo.

Waziri Mwakyembe ameishauri pia BASATA kuondoa zuio lake dhidi ya wimbo wa ‘WAPO’ na badala yake uendelee kupigwa tu kama nyimbo nyingine.

Akiongea na Wandishi wa Habari Dodoma, Dk. Mwakyembe amesema hata Rais Magufuli amefurahishwa na wimbo huo wa WAPO na kumshauri Msanii huyo kama inawezekana aendelee kutaja watu wengine kama vile wakwepa Kodi, wauza Unga, wanaotumia dawa za kulevya pamoja na watu wengine wasio na maadili mema katika jamii.

Bakwata Yatoa Tamko Kuhusu Masheikh Walioenda Kusali Kanisani kwa Gwajima Jumapili!!!




Gazeti la kenya lachapisha Katuni inayomdhihaki JPM .


Gazeti moja la nchini Kenya linalojulikana kama The Star Kenya limemchora Rais Magufuli katuni na kumuita dikteta kupitia ukurasa wake wa facebook

Kingazi blog na wadau wengine wa habari  Tunalaani kwa Kitendo hiki Ambacho Hakimtendei Haki Mhe Rais Magufuli




"Magufuli Akishinda 2020 Najiuzulu Siasa" -Freeman Mbowe


MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema Rais Dk. John Magufuli atakuwa kiongozi wa kwanza nchini kuvunja rekodi ya kutawala kwa kipindi cha miaka mitano badala ya 10 kama walivyofanya watangulizi wake.

Mbowe aliyasema hayo jana wakati akizindua tawi la wakereketwa wa chama hicho lililopo eneo la Mpakani, Kata ya Kwakifua, Wilaya ya Muheza mkoani Tanga.

Katika hoja hiyo, Mbowe alisema Rais Magufuli ataongoza kwa muhula mmoja kwa kuwa utawala wake hauthamini utu wa binadamu, na ikiwa vinginevyo, yuko tayari kuachana na siasa. “Watu wa Tanga mmechelewa sana kuiondoa CCM madarakani, tulifanya makosa kumchagua Rais wa Awamu ya Tano, matokeo yake wote tunaisoma namba. Tunaanza maandalizi mapema, maana huyu rais atatawala miaka mitano na akiendelea naacha siasa,” alisema Mbowe. #Mtanzania .
JE NI KWELI ANAYOSEMA MBOWE??? TUPIA COMMENT YAKO HAPA

Watumishi Wa umma kutopanda Madaraja bila Kupitia Kozi, Mafunzo Maalum.



Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi Angellah Kairuki akiwa kwenye kituo cha Utumishi Mkoani Mbeya.
Amesisitiza kwamba, utaratibu huo utaanza mapema iwezekanavyo na kuwataka Watumishi wa Umma kufuata utaratibu utakaoainishwa.

Chanzo: ITV

Jamii forums


Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo jumatatu ya tar 27 March 2017.


 

Gallery

Popular Posts

About Us