KINGAZI BLOG: 03/07/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday 7 March 2017

Gazeti la MwanaHALISI kumuanika Paul Makonda



Screen Shot 2017-03-06 at 09.06.52.png


KILA pembe ya kijiji cha Koromije, Wilaya ya Misungwi, pamoja na viunga vya jiji la Mwanza Paul Makonda, Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam anatajwa na kufahamika kama Daudi Albert Bashite, wanaandika Waandishi Wetu.

Wanaomtaja kwa jina hilo ni wanakijiji, ndugu zake, wanafunzi aliowahi kusoma nao pamoja na watu waliowahi kumshuhudia akifanya kazi kama kondakta.

Gazeti la MwanaHALISI baada ya uchunguzi wake wa kina uliohusishwa kutuma timu ya maripota wake jijini Mwanza, wanakuletea habari kamili inayofichua ukweli wa sakata hilo huku mama na baba wa Makonda, shangazi yake na wanafunzi waliowahi kusoma naye wakiwa wamehojiwa.



Shule ya Msingi aliyosoma Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
koromije.jpeg

Chanzo: Mwanahalisi
Makonda 1.JPG
Makonda 2.JPG


 SOURCE ..JF

Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu za kiume, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika.


Image result for tendo la ndoa

SALAAM SANA WASOMAJI WANGU
Inavyoonekana siku hizi japo kweli kuna tatizo la upungufu wa nguvu za kiume haswa kwa mazingira ya mijini, Lakini hili tatizo linaonekana kukuzwa kuliko lilivyo hadi imepelekea woga mkubwa kwa baadhi ya wengi wetu.

Ndipo kwenye tafakari yangu nikaona NIANZISHE HUU UZI kwa machache tu kwa ufahamu mchache nilio nao, Ili NIWAALIKE wengi WENU kwa msaada zaidi wa mawazo kwa ndugu zetu wanaokutana na mfadhaiko huu. Nikiamini pia wengi wenu mna utaalamu na mnaoweza kuchambua haya makitu kwa ufanisi zaidi mkatatusaidia sana kwenye uzi huu. Yafaa sasa tujikite kwenye ufumbuzi kuliko kuripoti tatizo na kulaumu. Kadiri tunavyoendekeza kuripoti tatizo tunawaathiri hata wale waliokuwa wazima ambao kwa kuwa hakuna kipimo sawia kujua kipi ni kipi, nao wasiwasi unawafanya wanapoteza ujasiri wao na kujiona wana tatizo kumbe wapo imara sana kuliko mkuki.

Kwa kuanzia yafuatayo yaweza kusaidia kuboresha kulifurahia tendo la ndoa zaidi na kwa muda zaidi.

Kuuweka Mwili vizuri: Ni wazi kuwa tendo hili linachagiwa sana na mzunguko mzuri wa damu. Mwili ukiwa kwenye hali nzuri kiafya na tendo huwa linaenda ipasavyo. Na mwili ukiwa dhoofu basi tegemea tukio dhoofu pia. Hivyo ukitaka kuwa na matokeo mazuri kwenye ndoa yako, jitahidi sana kujiweka vizuri kwa kula sahihi na kufanya mazoezi mepesi mepesi tu kwa wale wanaoweza kuutumia muda vizuri wapiti pite Gym walau siku mbili na kuendelea kwa wiki.

Kufahamu kuwa kupumzika kwa uume baada ya baada kufika mara ya kwanza sio tatizo. Kwa wanaume walio wengi, baada ya mshindo wa kwanza hupumzika kidogo kabla ya kuendelea na awamu nyingine. Japo kuna ambao wana uwezo wa kuendelea moja kwa moja bila kupumzika (law ya use and misuse inahusika kwa wengine apa). Kwa hio kusinyaa kwa uume baada ya mshindo wa kwanza, isifahamike kuwa ni upungufu wa nguvu bali ni ajdustiment ya mwili wenyewe kutokana na kwamba mwanaume kabla ya tendo mapigo ya moyo huongezeka na huchangia damu kwenda kwa kasi, na kwa hali hio anakua yupo juu sana kimhemko, inapofikia anamaliza raundi ya kwanza mwili unakua unapoa /umesharudi kwenye hali yake ya kawaida, ndiko kunakosababisha hio maneno kusinyaa kwa wengi wakati mapigo ya moyo yanaporudi kawaida (MWILI KUPOA).

Maandalizi ya mwili. Wanaume tupo tayari muda wote… ila linapokua swala ya mwenza wako (kwa kuwa muda unaotumia kwa maandalizi na tendo una uhusiano wa moja kwa moja na satisfaction ya mwenzio)… unahitaji muda angalao nusu saa na kuzidi kujiandaa na mwenzi wako. Kama timu ya mpira inapoenda ugenini huhitaji muda kuzoea mazingira, ndio na mwanaume anavyohitaji muda kuzoea mazingira ya ugenini. Hili linakusaidia sana mwanaume kutoka kwenye mihemko na kurudi kwenye hali yako ya kawaida ambayo itakusaidia kuwa na muda mzuri zaidi wa kufurahia tendo. Jitahidi pia kuvuta pumzi nyingi ndani na uiachie polepole kukusaidia kukuweka kwenye utulivu mzuri.

Timing ya kuanza tendo: Kwa kuwa tendo linahusisha sana hisia za mwili, ukiwa umetumia muda unaotosha kuandaana, basi usiwe na papara mwanzoni, bali uwe na utulivu, pia jitahidi kuzungumza moja mawili wakati unaanza kuzoea mazingira mengine (core business) EPUKA UHARAKA na kuweka sana akili yako hapo, jinafikie mwenyewe kuwa its just a normal thing (mental pride)

Concetration/ Umakini uliopitiliza… Unapaswa kumfanya mkeo aweke akili yake yote hapo, na wewe unatakiwa katika kumuweka mkeo kwenye concentration uuharibu umakini wako (level of concentration). Ukiweka concentration ya juu sana kwenye tendo… haikuchukui dakika mbili umemaliza, na kuirudisha tena ile hali ya concentration uliokua nayo mwanzo itakuwia ngumu sana….. Usiweke sana akili yako hapo kama unataka kufurahia kwa muda zaidi. ila kama hutaki kudumu.. weka akili na umahini wako hapo woote.. just seconds or a minute you are done

MAZOEZI ya mwili ni muhimu sana sana sana sana sana kwetu wanaume. Kama huna muda wa kwenda jimu walau ukiamka piga ‘PUSH-UPS walau 50'' kila siku na ''SQUARTS'' . haya ni mazoezi mepesi lakini ni BORA zaidi kwa mwanaume. Kwetu sisi wanaume tunatumia sana misuli yetu wakati huu, kwa hio kuna ulazima wa kutafuta ustahimilivu wa misuli ''mussle strength n perseverance''. Hio kitu ni starehe na unatakiwa baada ya tendo uwe umekuwa refreshed na sio uwe unaumwa kila mahali na sijui joints zinauma sijui nini nini? ukijiona unakuwa hivyo baada ya tendo ujue mwili wako haujakaa fiti ipasavyo kimazoezi/kiafya

Pia Afya ya Akili inahusika sana, Japo inahitaji jitihada makhususi... lakini kila mtu ana uwezo wa kuchagua nini cha kufikiria na nini si cha fikiria(kupuuzia) na pia akienda hatua zaidi anaweza kupuuza kila kitu kwa wakati fulani kama unajua una huo uwezo na ukaamua kuutumia. Pia kuchagua kufikiri yale yaliopo kwenye uwezo na urefu wa kamba yako pekee; vitu usivyo na uwezo navyo utajisumbua tu bure na kujipa stress zaidi. Weka nguvu na jitihada zako kwenye kutafuta ufumbuzi wa changamoto zako, jifunze na acha kufikiria matatizo kwa maana hakubadilishi kitu na yataendelea kuwa hivyo n.k n.k................ Ukiwa na namna nzuri ya kuyachanganua mambo yako utasaidika sana kwenye afya ya akili yako na kuwa vizuri zaidi


Kuwa makini na baadhi ya aina ya vyakula...
Chakula humfanya mwanadamu aendelee kuishi kwani hubeba nishati na virutubisho vya madini vyenye kupelekea uboreshaji wa afya ya mwili.

Wataalamu wa masuala ya ngono na vichocheo mwilini hupendekeza aina fulani fulani za vyakula ambavyo kama mwanaume akipendelea kula basi huongeza 'libido'.

Baadhi ya vyakula hivi ni kama komamanga, parachichi, mvinyo mwekundu, chaza na pweza, tikiti maji na mbegu zake, chokoleti, pilipili, tangawizi n.k

2. Kukosekana kwa lugha ya aina moja ya kimapenzi baina ya mume na mke...
Miili huwa inaongea haswa linapokuja suala la ngono baina ya mwanaume na mwanamke...
Si watu wote wenye uwezo wa kutafsiri lugha hii ingawaje kila mmoja wetu amejaaliwa kuwa na uwezo wa kutambua.
Kwa wanaume walio na uzoefu wa kutongoza kwa ishara ni wepesi sana kuwaridhisha wanawake kuliko wale wanaume wenye kutumia vitendo zaidi.
Kwa kawaida tongozo huwa halina ukomo haijalishi wewe ni mume au mke (yes namaanisha mwanaume aliyeoa au mwanamke aliyeolewa), ngono nzuri ni ile ambayo matokeo yake ni hutokana na mume au mke kumtongoza mwenzake.

3. Mazingira ya eneo la mpambano na usafi wa mwanamke...
Mazingira ya utulivu na usafi maridhawa ni jawabu tosha la matokeo ya ngono nzuri yenye utulivu pia.
Mwanaume huwezi kuwa na mawazo straight ya kingono katika mazingira ambayo bado unajiona ni stranger hata kama ni nyumbani kwako, mathalani unahofia jirani atakuja kugonga kuomba chumvi n.k

Pia usafi na matunzo ya mwili wa mwanamke kwa kiasi kikubwa huamasisha au hufifisha matamanio ya kingono.  
               

Wanaosumbuka kurudia tendo

Kwenye uzi wa Kilometa wa Inawezekanaje kuunganisha baada ya goli la kwanza?, niliandika hivi. Kwa wanawake ni rahisi (depending on your mood, of course) kuliko wanaume kuunganisha goli la pili baada ya goli la kwanza. Wanawake wanaweza kufika mara mbili au zaidi kwa sababu hawaendi kwenye refractory period kama wanaume.

Pia mwanamke anapofika kwa mara ya kwanza bado anaendelea kuwepo kwenye plateau stage kwa dakika kadhaa, kwa maana kuwa bado anakuwa aroused hata baada ya kufika. Ndo maana baada ya kufika tuu bado mwanamke anakuwa na nguvu ya ku-kisss, n.k. wakati a man would just want to be left alone.

Kuna baadhi ya wanawake wanafika kwa kuchezewa matiti tuu au sehemu nyingine za mwili kama shingo. So baada ya kuja mwanaume anaweza kuhamia the other sensitive parts na kuendelea kumwongezea magoli. Pia kama inavyojulikana kwenye uzi husika umri nao una-matter sana. Walioko 20s and early 30s wanaweza kufika mara mbili na zaidi japokuwa wapo hata walio kwenye 40s wanakuwa na multiple-orgasms. Its just a matter of the woman or her man knowing her body.

Kwa sie wanaume wengi wetu tunadhani kuwa ku-orgasm na ku-ejaculate ni kitu kimoja. Hii ni kwa sababu huwa tuna-orgasm and ku-ejaculate kwa wakati mmoja. Sasa hapo sijui Kilometa alikuwa na maana gani kuhusu "kuunganisha mchezo baada ya goli la kwanza". Goli la kwanza kwa maana ya ku-orgasm au ku-ejaculate?

Vitendo vya ku-organism na ku-ejaculate ni vitu viwili tofauti kabisaaaa. Kwa hiyo kuna uwezekano wa mwanaume ku-organism bila ku-ejaculate and vice versa. Utawasikia baadhi ya vijana wanaji-boost humu kuwa wanapiga goli saba, kumbe walichofanya ni ku-ejaculate mara saba, huku wakiwa wame-orgasm labda mara mbili au tatu.

Pia wapo baadhi ya wanawake, kama mwanaume akiamua-ku-orgasm bila ku-ejaculate wanadhani he was faking. Some would even complain when we pull out tunapotaka ku-orgasm bila ku-ejaculate (maana tukiendelea kubakia humo uwezekano wa ku-ejaculate ni mkubwa). Hivyo basi, kitendo cha ku-orgasm bila ku-ejaculate kunamfanya mwanaume kubakia kwenye stage ya excitement na kuweza ku-orgasm tena kwa mara ya pili.

But that may be a tough thing to do na kuishia ku-ejaculate  kwenye uzi husika. Kufanikiwa inabidi kuwa na PC muscle imara ambayo itasaidia ku-control muda wa ku-ejaculate. Lakini nadhani jambo la muhimu siyo ku-set target, bali kwa pande mbili husika kufurahia hiyo occasion. Kwa wengi quality ina-matter zaidi kuliko quantity. .



Kwa mfano, kwa faida ya wengi kuna umuhimu wa kujadili kisayansi uhusiano uliopo kati ya kufanya mazoezi na kuongezeka kwa nitric oxide mwilini, uhusiano wa kula matunda matunda fulani na mbogamboga na kuongezeka kwa nitric oxide mwilini, uhusiano wa nitric oxide mwilini na mishipa ya damu, uhusiano wa nitric oxide na kuongezeka kwa nguvu za kiume na pia na faida nyingine za nitric oxide mwilini.

Siyo tuu mtu ashauriwe ale matikimaji au juice ya mkokomanga bila kuambiwa kisayansi zinasaidiaje mwilini katika kuongeza nguvu za kiume. Na madaktari wetu wengi hawafanyi mazoezi, hawali vyakula vyenye afya so don't expect them kukushauri kwenye hizo anga. Kwa mfano, kuna wataalamu wanadai kuwa mwanaume hatakiwi kula popcorn tuu wakati akitazama sinema. Inadaiwa kuwa popcorn zina faida kwa mwanaume mpaka kitandani ila hakikisha tuu huweki mafuta na chumvi nyingi.

Hii ni kwa sababu Popcorn ni baadhi ya vyakula ambavyo vinaongeza nitric oxide mwilini (kama unajua umuhimu wake kwenye mwili wa mwanaume - just think jinsi viagra na madawa mengine yanavyofanya kazi), ina-maintain testosterone na pia zinasaidia kuongeza madini kama zinc na magnesium. Ila hakikisha popcorn unazokula siyo genetically modified na usile popcorn zilizotengezwa kupitia microwave. Zile za kwenye sinema zinatengenezwaje sijui.

We need a detailed and scientific explanation juu ya faida ya kuwa na nitric oxide mwilini na jinsi ya kuipata. Kuna mdau mmoja alielezea hili kwa Kiswahili na kwa lugha rahisi hapa JF lakini nimetafuta post yake sijaipta. Hopefully, nitaipta.

Wapo wanaosharu kula chakula kama unavyokula dawa. Huli dawa hivi hivi tuu. Lazima kuwe na sababu. Hivyo hivyo kwa vyakula na vinywaji. Kabla ya kula jiulize unakula hicho chakula kwa sababu gani hasa zaidi ya kushibisha tumbo? Je, pamoja na kuwa chakula ni kitamu kinaweza kuwa na madhara yoyote mwilini mwangu? FOOD AS A MEDICINE: A PRACTICAL APPROACH TO HEALTH EATING


Kuna aina 2 ya vyakula ambavyo vimefanyiwa utafiti na kubaini kuwa ni moja ya vyakula vinavyosaidia kuongeza nguvu za kiume na havina madhara katika engezeko la nguvu za kiume, katika vyakula hivyo vyenye uwezo wa kuongeza nguvu za kiume kiasili ni:
1. TANGAWIZI
- Tangawizi ni moja ya chakula kinachoweza kurejesha nguvu za kiume, unaweza kuichemsha tangawizi na ukatumia kwa kuinywa kama chai Asubuhi, mchana na jioni pia Tangawizi unaweza ukaitumia katika mchanganyiko wa kiasili kwa kutumia habat soda,asali,kitunguu saumu na tangawizi yenyewe. JINSI
YA KUTUMIA MCHANGANYIKO HUU: Chukua tangawizi na kitunguu saumu vitwange kisha vichanganye na asali pamoja na unga wa habat soda na uwe unakunywa mchanganyiko huu kwa kutumia kijiko cha chai kimoja kutwa mara 3 kwa muda wa wiki moja na utaona mabadiliko.
2. TIKITI MAJI:
-Chakula kingine kinachosaidia katika upande wa kuongeza nguvu za kiume ni tunda la Tikiti Maji, unaweza ukachukua tikiti lako ukalikata na kutengeneza juice ya Tikiti kisha unakunywa ila sio lazima utengeneze Juice hata lenyewe tu unaweza ukalila. Ila jitahidi kutumia tunda hili hata kila siku kwani linasaidia sana kwa wenye matatizo ya nguvu za kiume.

imeandaliwa na  TITO BLOGGER BOY KWA MSAADA WA MTANDAO NA WADAU WA JAMII FORUM 
USIACHE KUTEMBELEA BLOG HII ILI UJIFUNZE MAMBO MENGI KUHUSU AFYA , MAPENZI NA MAHUSIANO PIA  WASILIANA NAYE KWA NAMBA HIZO HAPO CHINI
 

Gallery

Popular Posts

About Us