KINGAZI BLOG: 04/21/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday 21 April 2017

MAMA Aliyeibiwa Mtoto Hospitali, Afunguka. mazito



Asma Juma, mzazi aliyejifungua watoto mapacha na kudai kuibiwa mtoto mmoja katika hospitali ya Temeke, amefunguka kuelezea kilichotokea.

Mzazi huyo anawatuhumu wauguzi wa hospitali hiyo kumuiba mtoto wake huyo akidai, awali wakati alipokuwa na ujauzito picha za Ultrasound alizowahi kupima zilionyesha kuwa ana ujauzito wa mapacha na hata alipokuwa hospitalini hapo alimsikia nesi aliyekuwa akimuhudumia akithibitisha kua ana watoto wawili.

Akiongea na kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM, Asma amesema, “Wakati nipo chumba cha upasuaji, baada ya kuambiwa nafanyiwa operesheni, yule nesi aliyekuwa ananihudumia akiwa na mtu mwingine nilimsikia akisema ‘viko viwili’ akimaanisha wako watoto wawili, yule nesi aliniambia nisijitingishe, baadaye walinichoma sindano nikapoteza fahamu.”

“Nilivyozinduka nikajikuta nipo chumba cha pili nikiwa nasikia maumivu makali sana, niliwaomba dawa wakaniambia nitazikuta wodini hapo hakuna dawa za maumivu. Nilifanyiwa operesheni saa nane hadi saa kumi na mbili ndipo nikapelekwa wodini, kwa muda wote huo sikupewa watoto wangu. Nimeletewa mtoto mmoja saa kumi na moja alfajiri nakumbuka wakati nipo wodini nilimsikia yule nesi aliyekuwa akinihudumia akisema ‘Ultrasound’ zinadanganya. Ilisema ana watoto wawili kumbe ni mmoja. Kwakweli hadi sasa sielewi,” ameongeza.

Serikali Yalipa Madeni Ya Fedha Za Likizo Kwa Walimu 86,234 Nchini.


Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imelipa madeni ya fedha za likizo kwa walimu 86,234 kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2015/2016 na 2016/17.

Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Mhe.Stella Manyanya wakati akijibu hoja mbalimbali za wabunge Mjini Dodoma.

“Serikali inaendelea kulipa madeni mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha za likizo kwa walimu/Watumishi katika sekta ya Elimu”,Aliongeza Mhe.Manyanya.

Amesema kuwa katika kipidi cha mwaka wa fedha 2015/16 hadi mwezi Juni, 2016 jumla ya shilingi bilioni 22,629,352,309 zililipwa kwa walimu 63814, na pia katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/17 hadi kufikia mwezi Machi, 2017 jumla ya shilingi bilioni 10,505,160,275 zimelipwa kwa walimu 22420.

Aidha katika malipo haya jumla ya shilingi 13,415,410 zimelipwa kwa ajili ya madeni ya fedha za likizo kwa watumishi wa chuo cha ualimu Korogwe.Akizungumzia upande wa upandishaji madaraja Mhe.Manyanya amesema kuwakwa sasa uhakiki wa watumishi unaendela na ukikamilika watapandisha madaraja kama inavyotakiwa.

Aidha amesisitiza kuwa Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imekuwa ikiwapandisha vyeo watumishi wake wenye sifa kila mwaka ambapo katika mwaka 2015/16 Wizara iliwapandisha vyeo watumishi 2272 kati yao watumishi 71 ni wa chuo cha ualimu korogwe.

Uhakiki wa madeni ya miaka ya nyuma unaendelea kuratibiwa na mamlaka husika na taratibu za malipo zitakamilishwa kwa wale wanaostahili.

MAGAZETI YA LEO IJUMAA APRILI 21, 2017






















MASOGANGE Matatani, Mahakama Yaagiza Akamatwe..!!!



MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imetoa hati ya kukamatwa Msanii Agnes Gerald Waya maarufu kama Masogange (28), baada ya kushindwa kufika mahakamani mara kwa mara ya pili kesi yake ilipopangwa kutajwa.

Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama hiyo, Wilbroad Mashauri ametoa amri hiyo baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa kesi hiyo ilipangwa kutajwa lakini mshtakiwa, wadhamini na wakili wa utetezi wote hawakuwepo mahakamani.

Wakili wa Serikali Adolf Nkini alidai kuwa kesi hiyo ilipangwa kutajwa lakini kwa sababu mshtakiwa na wadhamini wake hawakuwepo mahakamani kwa mara ya pili, aliomba hati ya kukamatwa mshtakiwa.

Hakimu alisema kwa sababu mara mbili mfululizo mshtakiwa ameshindwa kufika mahakamani kusikiliza kesi yake bila taarifa mahakama yake inatoa hati ya kukamatwa kwake.

Masogange anakabiliwa na mashtaka mawili ya kutumia dawa za kulevya aina ya Heroin na Oxazepam.

Katika kesi hiyo namba 77 ya mwaka 2017, Masogange anadaiwa kuwa kati ya Februari 7 na 14,2017 katika maeneo yasiyojulikana ndani ya jiji la Dar es Salaam alitumia dawa za kulevya aina ya Heroin (Diacety Imophine).

Tekno – BE | Mp3 Download] KINGAZI BLOG

Download Mp3 | P-Square - Nobody Ugly. | New Song Audio


Kimenuka!!!! NI VITA.......MANGE KIMAMBI na WOLPER waporomosheana matusi Makubwa mazito huko Insta kila upande ukijibu mashambulizi!!!! Ubuyu wotu Huu hapa

Ni bifu zito na vita ya maneno na kurushiana maneno makali matusi ya nguoni, mambo yalianza pale Mange alipopost comment ya wolper kwenye account yake ikionyesha wolper akitoa povu kwa Ney wa Mitego akimchamba baada ya Nay wa mitego kusema walioandamana wote ni mataahira, kilichomponz a Mange ni Ile post yenye comment  mambo yakaanza hivi kama uonavyo hapa chini TUMEKUWEKEA UBUYU WOTE







ONA HAPA ALICHOJIBU WOLPER

"Mange Kimambi,Usinitafute sana kwasababu mm naishi nitakavyo sio utakavyo wala watakavyo,pili Ustar wangu nahisi hauna 

mvutano wowote na ww wala haudhuru familia yako!Unajua ww unaweza ukawa sawa kwa kile unachokifanya lakini pia unaweza ukawa sawa kutokana na mawazo yako yanavyokutuma,Mimi binafsi nina maamuzi yangu na sipelekeshwi na mtu kwasababu mm ni mtu mzima na nina fikiria kila kitu kabla ya mtu yoyote!Ninapoamua kupost au kusema chochote hayo ni maamuzi yangu chuki zako ww zisipelekee kufanya kila mtu achukie usiowapenda no no no sio mm JACKLINE WOLPER MASSAWE,Nafikiri tunapishana vitu vingi sn km hivyo mm sina akili ww unazo,Sasa ww dada nikuulize kitu ulitaka mm nifanyaje nije ulaya kukusapoti tumchukie Bashite au???maana sikuoni kwenye point yani mm kila kitu kwako naona chuki 😂😂my dear people are different siwezi kumuona mtu mbaya eti kisa ww Mange umemuona mbaya haaaaaa we ni nani?????Ulikuwa na mchango wowote kwenye zile sh@h@w@ zilizompa mama mimba yangu????Kama ww vibabu vyako vya kizungu huko vinakupa M2 basi usifosi tufanane!Kingine mbona unapanic sn kwenye maisha ya watu binafsi kuliko hao watu wenyewe?Sawa najua kuchamba ni ajira yako ya pili huku insta tukiachana na ile ya kutafuta vizungu huko!Lakini sasa naona unatafuta kiki kila mtu umuweke kwa Acc yako,hiyo inaonesha wazi BASHITE ameshakushinda sasa umeona unifate mm 😂😂😂my friend sijaanza kuwekwa kwenye Acc za watafuta followers kwako 😉😉Nimeanza siku nyingi kweeeeli kwahiyo ww nakuona km Repoter tu wa huku Insta so fanya kazi yako mama,Alafu Naywamitego ndo haina gani ya gari jipya hiyo,😳😳Mm nadeal na ww leo sipo kwa ajili ya mwingine... 😆😆😆Mbona unaforce kutaka kujua mambo yangu na huku hujui,Eti nimefumaniwa nifumaniwe na nani mm mjini hapa habari isitapakae wkt unasema nimefumaniwa huna hata EVIDENCE ya chupi...Embu kanywe hata TREVO zile dawa uongeze supu supu za miguu bibi weeeeh usiniletee u SKELETON 😂😂😂Hivi unajua ww una stress za watu sn kuliko zako binafsi,😜😜😜Bashite ananitia vidole wakati huo ww unakua mshika K!s!M! Au vuz!😂😂😂Unajua ww ustake kuniambukiza stress zako na chuki zako STAKI usiniforce tufanane na usinipakazie mambo ambayo yanahusisha chuki zako.."

Visit website


 






 

Gallery

Popular Posts

About Us