KINGAZI BLOG: 04/12/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday 12 April 2017

Kimenuka!!! RAIS Magufuli Awajibu Wabunge Wanaolalamika Kutekwa na Wanaotaka Mikutano ya Kisiasa

#NUKUU:"Wanasiasa tuiache serikali ya CCM ifanye kazi yake, mambo mengine tukutane mwaka 2020,Tutangulize Tanzania kwanza, siasa baadaye, watanzania wanataka maendeleo, hakuna Mtanzania anayekula siasa”Rais Magufuli.

"Ukiwa dereva wa lori, hutakiwa kusikiliza watu uliowapakia wanaimba nini au wanatazama wapi, wewe endesha lori uwafikishe salama. Dereva mzuri huwa hasikilizi watu aliowapakia wanasema nini, au haangalii kule wanapoangalia wao. Hili lori la maendeleo litafika.


Tunajua tunapokwenda, asitokee mtu anayetaka kubadilisha ajenda yetu tuanze kuzungumzia mambo ambayo hayapo kwenye ilani ya chama." - Rais Magufuli #UjenziWaReliYaKisasa

Utekaji kaa la moto… habari kwenye Magazeti ya Leo Jumatano ya April 12





















Utekaji kaa la moto… habari kwenye Magazeti ya Leo Jumatano ya April 12





















 

Gallery

Popular Posts

About Us