KINGAZI BLOG: 05/05/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday 5 May 2017

Binti wa Miaka 35 Ajitokeza Kuwania Urais Nchini Rwanda


Mwanadada Diane Rwigara, ametangaza azma yake ya kuwania Urais nchini Nchini Rwanda katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti mwaka huu.

Huyu ni Binti wa mfanyabiashara maarufu wa Kinyarwanda Assinapol Rwigara aliyefariki miaka 2 iliyopita katika mazingira ya kutatanisha .

Bi Diane mwenye umri wa miaka 35 amesema, anataka kukomesha uonevu na kuleta haki na uhuru wa watu kujieleza nchini Rwanda.

Amesema, kuna suala la usalama mdogo ambapo baadhi ya watu hutoweka na wengine kuuwawa katika mazingira ya kutatanisha, na kwamba huwezi kusema uko katika nchi yenye amani na usalama wakati watu wanauawa huku wengine wakikimbia nchi.

Huyu ni Mnyarwanda wa tatu kutangaza rasmi nia ya kutaka kugombea urais nchini Rwanda wengine wakiwa ni Bwana Mpayimana Philippe aliyetangaza kuwa mgombea binafsi na Franck Habineza kutoka chama cha Green.


Ufafanuzi wa taarifa inayodai Rais Magufuli Ametengua agizo la Waziri Mwakyembe kwa vyombo vya habari kuhusu kusoma magazeti.



Hussein Machozi Asimulia Alivyofumaniwa na Mke wa Mtu na Kisha Kupewa Kichapo Nchini Kenya

Msanii Hussein Machozi ambaye sasa amerudi nchini kutoka nchini Italia amefunguka na kusimulia kisa chake cha kufumaniwa alivyokuwa Kenya na kusema kuwa kama asingekimbia huenda mambo yangekuwa mabaya kwake.
Hussein Machozi amesema hayo kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kudai kuwa yeye alikwenda Kenya kikazi na mtu ambaye alikuwa anawasiliana naye alikuwa ni binti aliyeandaa show yake Kenya, hivyo alipofika alimpokea Airport na kwenda naye hotel.
"Kwa hiyo tulipofika hotel tulikuwa tunapanga mipango ya hapa na pale, kumbe yule binti ana mshikaji wake ambaye ana wivu sana na yeye, hivyo yule jamaa alikuja na magari kama mawili yakiwa na mabaunsa kibao.
"Wakatuzunguka pale na kuanza kunipiga vibao ila nashukuru Mungu kuna baunsa mmoja pale pale alinishtua na kuniambia nikimbie, hivyo niliruka ukuta wa hotel na kukimbia. 
"Kwa hiyo wale wahudumu pale ndiyo walianza kusambaza habari kuwa nimefumaniwa ila nisingekimbia huenda ingekuwa mbaya kwangu" alisisitiza Hussein Machozi 
Mbali na hilo Hussein Machozi anasema alimua kwenda nchini Italia baada ya kuona muziki unampa mawazo hivyo Mungu akamfungulia mlango  mwingine na kuamua kusepa huko, ambako anadai anasoma na kufanya shughuli zingine zinazomuingizia kipato.

Sakata la Makonda kuivamia Clouds laibuliwa upya

SAKATA la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuvamia kituo cha televisheni cha Clouds liliibuliwa upya na wadau wa habari jana baada ya kulilaani.

Wadau hao wa habari walilaani tukio hilo jana ikiwa ni siku maalum ya Uhuru wa Habari iadhimishwayo Mei 3 kila mwaka.

Akizungumza kama mgeni rasmi katika siku hiyo jijini, Mbunge wa viti maalum wa Chama Cha Wananchi (CUF), mkoa wa Dar es Salaam, Salma Mwasa alisema si jambo jema viongozi wa umma kuonekana wanakuwa mstari wa mbele kuminya uhuru wa habari.

Alisema kitendo alichokifanya mkuu huyo wa mkoa wa Dar es Salaam ni cha kulaaniwa na kitaendelea kulaaniwa na kila mpenda amani na mpenda ustawi wa vyombo vya habari, na anayetambua umuhimu wake katika nchi.

“Viongozi wa umma na watunga sera, wanapaswa kuwa mstari wa mbele katika kulinda vyombo hivi vya habari na kuhakikisha vinafanya kazi yao kwa uhuru," alisema Mwasa.

"(Viongozi wa umma) wanapogeuka na kuonyesha wa kwanza kuviminya (vyombo vya habari) inaonyesha sifa mbaya na hawapeleki ujumbe mzuri kwa hawa wengine wanaowategemea, wanaowasikiliza na kuwaamini.

“Kiukweli kile kitendo kinatakiwa kulaaniwa na kitaendelea kulaaniwa, kwa sababu pasipo kufanya hivi, vitendo hivi vinaweza kuendelea kufanyika na huko tunakoenda hali ya uhuru wa vyombo hivyo inaweza ukawa mgumu zaidi.”

Tukio hilo la staili ya utekaji wa vituo vya habari wakati wa mapinduzi ya kijeshi, lilifanywa na mkuu huyo Machi 17 saa 5 usiku.

Mkuu huyo alionekana katika video zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii akiwa na askari wasielekea kuwa polisi, waliokuwa na bunduki.

Kwa mujibu wa taarifa ya kamati ya waziri iliyochunguza sakata hilo, mkuu huyo alivamia kituo hicho usiku huku vipindi vikiwa vinaendelea na kwamba aliwatisha na kuwalazimisha watangazaji wa kipindi cha Shilawadu kuonyesha taarifa yake.

Taarifa hiyo ya upande mmoja, ilikuwa ikimtuhumu Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kuwa amezaa na muumini wake.

Gwajima ambaye alikanusha vikali madai hayo kanisani kwake, alianzisha tuhuma za mkuu huyo kutumia cheti feki kujiunga na elimu ya juu na kwamba jina lake halisi ni Daud Bashite.

Mwasa alisema hali ya uhuru wa vyombo vya habari nchini inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyosonga na kwamba licha ya changamoto wanazokutana nazo, waandishi wa habari hawapaswi kukata tamaa.

“Tumeshuhudia baadhi ya waandishi wanapigwa na wengine hata kujeruhiwa wanapokuwa wanafanya kazi zao," alisema Mwasa. "Nataka kuwaomba wasikate tamaa."

"Watanzania wanawategemea, wakumbuke kuwa hakuna ukombozi bila mateso, tunajua wako katika wakati mgumu lakini tunaomba hali hiyo isiwakatishe tamaa.”

Alisema wao kama wawakilishi wa wananchi, wataendelea kupambana kuhakikisha uhuru huo unalindwa hata ikiwezekana kujenga hoja bungeni ili Sheria ya Vyombo vya Habari iliyopitishwa hivi karibuni irudishwe bungeni ili baadhi ya vipengele ambavyo vilionekana kuwa vina mtego kwa waandishi hao, virekebishwe.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari za Siasa (Taporea), George Maziku alisema ripoti ya hali ya uhuru wa waandishi wa habari iliyotolewa na Shirika la Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka inaonyesha kuwa katika miaka 10 iliyopita zaidi ya waandishi 800 kutoka mataifa mbalimbali duniani wameuawa wakiwa wanatekeleza majukumu yao.

Akizungumzia Sakata la Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kuvamia kituo cha televisheni, alisema ni jambo la kusikitisha kuona mpaka sasa hakuna hatua yoyote ambayo mkuu huyo amechukuliwa.

Majina wenye vyeti feki kutoka leo Jumatano

WAKATI watumishi wa umma 9,932 wakiwa wamebainika kuwa na vyeti feki mpaka sasa, idadi hiyo inatarajiwa kuongezeka Jumatano ijayo, siku ambayo Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi itatangaza majina zaidi.

Ijumaa iliyopita, serikali ilitangaza kukamilika kwa zoezi la uhakiki wa vyeti vya kuhitimu kidato cha nne, sita na ualimu kwa watumishi wa Sekretarieti za Mikoa, Tawala za Mikoa, Wakala wa Serikali, Taasisi za umma na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dk. Laurean Ndumbaro, alisema uhakiki wa vyeti unaendelea kwa watumishi wa wizara zilizosalia na taasisi mbalimbali.

Alisema uhakiki huo wa awamu ya pili na ambao utafuatiwa na awamu ya tatu, unatarajiwa kukamilika Jumatano.

Alisema baada ya matokeo ya uhakiki huo kuwekwa hadharani, uamuzi wa serikali utatolewa.

“Maamuzi ya watumishi 9,932 waliobainika kuwa na vyeti vya kugushi ilikuwa ni kuondolewa kwenye orodha ya malipo ya mishahara mara moja, na waendelee kuondolewa ili mwisho wa mwezi Mei wasipate mishahara yao,” alisema Dk. Ndumbaro.

Alisema watumishi hao wanaachishwa kazi kulingana na taratibu, sheria na kanuni za utumishi wa umma.

Ndumbaro alisema watumishi 1,538 wenye vyeti vyenye utata vinavyotumiwa na watumishi wawili, watatu au zaidi wanatakiwa kuhakiki umiliki wa vyeti vyao Baraza la Mitihani (Necta) kabla ya Mei 15.

Aidha alisema wakati watumishi hao wakiendelea kuhakiki vyeti vyao, mishahara yao itasimamishwa hadi zoezi litakapokamilika na kwa atakayethibitika ni mmiliki halali wa cheti atapewa mshahara wake.

Aidha, Dk. Ndumbaro alisema watumishi 11,596 ambao waliwasilisha vyeti pungufu pamoja na wale ambao hawajawasilisha vyeti vyao kabisa wanatakiwa kufanya hivyo kabla ya Mei 15 pia kwa ajili ya uhakiki na ambaye hatawasilisha hatua za kinidhamu zitachukuliwa.

VYETI HALALI

Katibu Mkuu huyo alisema mara baada ya taarifa ya Ijumaa kutolewa mbele ya Rais John Magufuli hapa Dodoma, walijitokeza watumishi wakieleza kuwa wanavyo vyeti au walivyo navyo ni halali.

“Watumishi wanaodai kuwa na vyeti halali wanaruhusiwa kukata rufani kwa utaratibu," alisema.

"Waandike barua kwa Katibu Mkuu Utumishi kukata rufani hiyo; barua ambayo inapitia kwa waajiri wao wakieleza uthibitisho wao wa umiliki wa vyeti ambavyo ni halali.

“Pamoja na kuandika rufani hizo, waajiri wao watatakiwa kuwasilisha vyeti au nakala ya vyeti vya kidato cha nne na sita Necta kwa njia ya mtandao ili uhakiki uende haraka.”

Aliwataka waajiri watakapopata nakala ya vyeti ambavyo wanadai ni halali watume nakala laini (scan) kwa barua pepe ya Necta ambayo ni esnecta@necta.go.tz au pshea@necta.go.tz ili viweze kuhakikiwa upya na pia nakala hiyo itumwe kwa Katibu Mkuu Utumishi kwa barua pepe ya ps@utumishi.go.tz na inatakiwa kukamilika kabla ya Mei 15 pia.

Alisema malalamiko mawili yalikuwa yamepokelewa mpaka jana kutoka kwa watumishi waliodai kuwa na vyeti halali.

“Hawa waliwasilisha vyeti au nakala ya vyeti kwa waajiri wao tofauti na vile wanavyoviwasilisha," alisema. "Sasa na hawa ni wale watumishi ambao walibadili alama za ufaulu kwenye cheti yaani mtu alipata daraja la nne lakini amebadilisha na kutumia cha daraja la tatu.”

Alifafanua katika kundi hilo, cheti ni hicho hicho chenye jina na namba hiyo hiyo lakini siku zote mtumishi alikuwa akitumia cheti chenye ufaulu wa daraja la tatu lakini alichowasilisha kina daraja la nne na ambacho ndiyo halali.

“Kwa hiyo wakifika Necta wakiangalia cheti cha daraja la nne ni sahihi lakini siku zote alikuwa hatumii, alikuwa anatumia cha kugushi chenye daraja la tatu na ndio kilimuwezesha akasome hiyo taaluma," alisema.

"Bado watumishi wa namna hii vyeti vyao ni feki.”

Alisema wale wenye vyeti halali wakate rufani na hakuna mtumishi ambaye ana cheti halali ataondolewa.

“Wale wenye vyeti halali ikithibitika watarudishwa kwenye utumishi wa umma, wasio na vyeti halali wataondolewa.”

NAFASI ZA KAZI WORLD VISION TANZANIA - MAOMBI KABLA 18 MAY 2017

Monitoring & Evaluation Project Manager

JOB DESCRIPTION

The Monitoring & Evaluation (M&E) Project Manager is responsible for ensuring that the Babati Pamoja Project monitoring and evaluation meets THRIVE, WVT, Partnership and industry standards.

Key Roles and Responsibilities:

Lead the development and execution of the project’s M&E system in line with WVT and THRIVE approach:

Developing the M&E architecture for the project.

Participating in and providing support to project design activities including development of project theories of change and strategic frameworks (Log Frame).

Providing expertise in M&E planning and methodology.

Determining and defining performance (output) and impact indicators and targets.

Reviewing and ensuring the continued relevance of the M&E system for the project.

Ensuring the functionality of the Project’s monitoring system:

Implementing monitoring systems and designing/adapting THRIVE monitoring tools.

Developing/adapting THRIVE data collection tools including collection protocols.

Monitoring project activities, outputs and progress towards anticipated results.

Working with data platforms, databases (including setting-up beneficiary database) and select technologies to capture and organize data.

Training field staff in monitoring and evaluation processes and providing ongoing coaching.

Conducting or providing support to data quality assessments.

Providing quality analysis and reporting:

Determining data analysis procedures and use of quantitative or qualitative analysis tools.

Cleaning, sorting, categorizing and organizing data.

Analyzing quantitative and/or qualitative data.

Summarizing findings.

Developing monthly, quarterly or annual reports depending on project requirements.

Disseminating M&E findings and project results to stakeholders.

Manage evaluations and special studies (value chain analysis, situational analysis etc):

Conducting program analysis or special studies.

Supporting or leading evaluation teams.

Managing external evaluation consultants and draft terms of reference.

Contribute to the Project’s knowledge management:

Contributing to institutional learning processes.

Convening communities of practice and other organizational learning practices.

Tracking best practices in monitoring and evaluation.

Any other tasks assigned by the project’s Chief Of Party.

Qualifications: Education/Knowledge/Technical Skills and Experience

The following may be acquired through a combination of formal or self-education, prior experience or on-the-job training:

Minimum Qualification required: Qualification required

Bachelor Degree in Development Studies, Economics, or BSc Degree in Agriculture & BSc in Statistics or related field with experience of 5 years in programming

Other Technical Skills & Abilities:

Skills in research skills (qualitative and quantitative) and statistics.
Good understanding of resilience and livelihood programming.
Computer skills and statistical package eg. SAS, SPSS.
Strong people skills; considerable experience of collaborative work; positive attitude. to working with non M&E specialists and appreciation of the contribution others can make.
Good planning and organizational skills.
Ability to maintain effective working relationships with all levels of staff and public.
Working Environment / Conditions:

Work environment: Office-based with frequent travel to the field.
Travel: 20% Domestic/international travel is required.
On call: 10%.

Application Deadline Date18-May-17

APPLY ONLINE
============

Training and Development Facilitator- Mbuguni

JOB DESCRIPTION

Purpose of the position:
This position aims at strengthening local institutions (e.g. savings/producer groups, producer associations etc.) by using innovative low-cost and tailored training models (e.g. financial literacy, business skills, empowered worldview, nutrition, child protection etc.) to sustainably enhance the capacity of local institutions in Mwanzo Integrated Development Project.
Main Duties/Responsibilities:
Under the supervision of business development specialist, prepare, organize and deliver appropriate trainings to savings groups, producer groups and producer associations.
Work closely with field project facilitators to build emerging entrepreneurs’ capacity by integrating market-driven approaches in projects.
Support the development of sustainable livelihoods initiatives including the World Vision Savings group model.
Facilitate the linkage of farmers to private sector engagements in the program and guide the field.
Identify, follow up and mentor empowered worldview champions as agents of sustainable change.
Promote WVT’s empowerment approach as opposed to service delivery approach through facilitation of empowered worldview and other related trainings.
Facilitate the identification, documentation and sharing of impact stories from project beneficiaries.
Work closely with VFT to mobilize, train, assess and appraise individuals and groups that are eligible for accessing different loan product.
Any other tasks assigned by the supervisor.
Qualifications: Education/Knowledge/Technical Skills and Experience
Bachelor’s Degree in Agriculture, Livestock, Agriculture Economics or Agribusiness, Business Administration or related from an accredited University
Minimum 1 year working experience in the area of local economic development /livelihood development, SME development and private sector engagement.
Experienced in community mobilization and group formation
In-depth practical knowledge of inter-disciplinary development issues
A self-starter and able to inspire and influence action
Report writing skills
Computer literacy is essential
Other Competencies/Attributes:

Must be a committed Christian, able to stand above denominational diversities.

Application Deadline Date18-May-17

APPLY ONLINE
============

Senior Accountant Disbursement- Arusha

JOB DESCRIPTION

Purpose of the position:
Providing customer focused professional services for enhanced quality ministry in improving organizational culture and capacity for effectiveness and efficiency in achieving child wellbeing outcomes, by coordinating implementation of accounting activities in the area of cash disbursement and financial management.
Communicate World Vision's Christian ethos and demonstrate a quality of spiritual life that is an example to others.
Major Responsibilities:
PAYMENT PROCESSING:
Pre-audit of financial transaction and Posting (authenticity, source accuracy and completeness of raw accounting data before payment):
Review the vouchers to ensure they have all relevant backups
Ensure proper coding of vouchers before posting
Ensure all vouchers posted in sun system are physically available
All held journals for the month are posted before closure of monthly FFR.
Ensure that all cash/bank payments and staff advances are within the internal control system and approved budgets:
Review the staff advance requests and ensure are within the internal control system and approved budgets
Review payment vouchers and ensure are within the internal control system and approved budgets
Ensure credit advice notes / payment confirmation are sent to vendors timely
Review the petty cash request and facilitate payment
Review and facilitate disbursement of a monthly projects funding
Ensure all vouchers in the systems are physically available, reviewed, approved, stamped “PAID&POSTED” and well filed and Audit Trail is conducted in a monthly basis
CASH AND BANKING MANAGEMENT:
Ensure GC Funding and Support Offices Direct Funds received are timely confirmed as required.
Ensure all received cash/funds are receipted, deposited and Deposit Voucher are raised for approval and filling, and bank charges are booked accordingly
Ensure all bank records & documents are kept safely and all banking correspondences are done in a timely manner
Ensure that petty cash requests are within approval ceiling limit and that the amount requested are in agreement with supporting documents and ensure replenishment is done timely
Ensure all vouchers are approved, stamped & filled for proper documentation, and available for audit trail.
Ensure cash movement and Cash position Analysis is prepared to make sure the office is operating with real time balances and have sufficient cash balances at all time.
Ensure that all Bank Accounts have updated signatories and Signature control list is in place.
Ensure cash target low is maintained for the whole of the financial year.
SA & PA Management
All received SA are properly coded and booked, follow up is made on the implementation to the respective deportment / project for timely clearance and accounting for.
All received pre-approvals (PA) are followed to the implementing projects/department, the cost incurred paid for and booked accordingly.
All the PA expenses are SA’d timely and sent to the respective offices with correct and accurate backups for timely approval and clearance.
Thorough reconciliation and timely cleanup of all accounts ( 240) associated with Settlement Advices (SAs)
BALANCE SHEET MANAGEMENT:
Ensure Balance sheet items are well managed, timely cleared and no hanging balances and should be monitored and validated on a monthly FFR
Accounts Allocation for all balance sheet accounts should be monitored and validated monthly.
Prepayment costs should be expensed timely, should be monitored and validated monthly.
Manage and monitor Accounts Payables (AP), validate and clear them monthly and ensure all balances crossing the month are well analysed and communicated to SSC.
Inter- office Payables & Receivables should be clean throughout the FY and used only at the year end and cleared in period one of every financial year.
PAYROLL & STATUTORY REQUIREMENT MANAGEMENT:
Ensure Payroll processing with all its schedules are accurately done in accordance with governing policies, rules & regulations and in a timely manner.
Review payroll schedules to ensure its accurately done
Ensure staff PAYE and NSSF are timely submitted.
Process the payment of staff salaries and ensure timely deposit to their respective bank accounts.
Ensure timely preparation and submission of semi-annual and annual taxi returns
Ensure staff terminal benefits are correctly calculated, coded and timely paid
STAFFING ISSUES MANAGEMENT:
Ensure the performance management is practiced within the unit to enhance performance, smooth staff relation and accountability.
Conduct capacity building to the Disbursement Team.
Measurement of performance of the team reporting to youClose supervision and meetings to discuss monthly performance, challenges and put the way forward for enhanced Team performance.
Qualifications: Education/Knowledge/Technical Skills and Experience
The following may be acquired through a combination of formal or self-education, prior experience or on-the-job training:
Minimum Qualification required Degree in Accounting or related fields.
Experience: 2 years
Preferred:, ACCA, CPA
Technical Skills & Abilities:
Excellent computer skills in Excel, Word & Sun-systems software.
Demonstrated ability in supervision.
Good planning and organizational skills.
Tact and diplomacy in dealing with staff-related to work environment needs.
Ability to maintain effective working relationships with all levels of staff.
Other Competencies/Attributes:
Must be a committed Christian, able to stand above denominational diversities.
Perform other duties as required.
Working Environment / Conditions:
Work environment: Office-based.
Travel: 5% Domestic/international travel is required.

On call: 10%. 

Application Deadline Date18-May-17

APPLY ONLINE
=============

NAFASI ZA KAZI JIRA MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA -TCRA

AFRICA AND LEAST DEVELOPED COUNTRIES (LDC) COORDINATOR (UPU/17/P5/FT-C/174)

Organizational Context:
With its 192 member countries, the Universal Postal Union (UPU), a specialized agency of the United Nations, is the primary forum for cooperation between postal sector players. It helps to ensure a truly universal network of up-to-date products and
services.
Main duties:
Under the supervision and guidance of the Director, the incumbent will be responsible for the implementation of activities related
to development and cooperation in the African Region and in Least Developed Countries (LDCs).

1. Strategy/budgetary responsibilities
1.1 Strategy
- Make proposals for the development of UPU policy on development and cooperation, and regionalization of actions on the
ground;
- Validate analyses of the status of postal services in the countries of the region and design, develop and formulate regional
development plan (RDP) for the UPU's four-year programming cycle;
- Examine interregional project proposals concerning the objectives and financial resources to be allocated;
- Foster financing partnerships with the restricted unions and designated postal operators within the framework of the RDP and
make proposals for the allocation of Voluntary Fund or other resources available for the region;
a. Least Developed Countries
- Write development policies in the postal sector specific to LDCs;
- Facilitate external mobilization resources in favour of LDCs through the development of new partnerships with donors;
- Implement these policies within the framework of the regional development plan (RDP) in all concerned regions; coordinate
dedicated action plans and projects.

1.2 Budgetary responsibilities
- Analyze the financial implications of actions proposed for the region, prepare and justify budget forecasts;
- Monitor the implementation status of allocated budgets;
- Sign financial commitments for planned activities; provide guidance as necessary.

2. Project management
- Oversee the development, formulation and implementation of RDP projects involving other International Bureau directorates;
- Oversee the implementation of projects (UPU, UPU/restricted unions, others);
- Draft documents for regional and national projects and coordinate project formulation with the Regional Expert where
appropriate;
- Approve the assignment of fellowships proposed by the Regional Expert;
- Sign requests for the procurement of equipment and issue any necessary instructions in this regard;
- Issue instructions to regional coordinators and assess their performance;
- Address member countries' questions, propose solutions.

3. Team leadership
- Create an empowering and motivating work environment
- Develop a high performing team of experts to deliver excellence.

4. Other duties
- Advise designated postal operators and other partners on cooperation matters;
- Organize and participate in regional meetings and represent the UPU at those meetings where necessary;
- Contribute to the work of the Union's bodies.
QUALIFICATION AND SKILLS REQUIRED
Education:
First-level university degree (bachelor or equivalent) or advanced university degree (master or equivalent) in economics, international relations, international finance, corporate management or a related field.
Experience:
With advanced university degree: at least 10 years of experience in one or more of the areas covering the position, at a managerial level in the services sector, with a designated postal operator, postal organization and/or an intergovernmental organization;
or
With a first-level university degree: at least 12 years of experience in one or more of the areas covering the position, at a managerial level in the services sector, with a designated postal operator, postal organization and/or an intergovernmental organization.
Technical knowledge: 
- Knowledge of project management.
- Knowledge of the region covered by the position in terms of economic development and socio-political environment.
- Knowledge of techniques relating to finance, accounting and management control.
- Knowledge of United Nations rules and procedures, cooperation mechanisms and systems.
Skills and abilities / competencies:
- Ability of strategic vision.
- Sense of strategy and ability to identify opportunities for action.
- Ability to promote innovation.
- Ability to promote partnerships across the Organization and beyond.
- Ability to work under pressure with changing priorities.
- Excellent judgement and decision-making abilities.
- Ability to work in a multicultural environment.
Language skills:
French is the official language of the UPU. English and French are the working languages of the UPU International Bureau. For this post, proficiency in English or French is required. Knowledge of the other language would be an advantage. Training will be mandatory in order to acquire the required level of the second language in a reasonable time frame.
Additional Information:
Annual salary:(Net of tax)
USD 84,721.00

Post adjustment: The percentage is to be considered as indicative since variations may occur each month either upwards or downwards without notice. As a reference, the post adjustment for the month of April 2017 is 81.1%.
_____________________________________________________________________________
Candidates must ensure that they provide relevant contact details so that they can be contacted at any time, to prevent them from
being excluded from the selection process.
The conditions of service are governed by the Staff Regulations and Rules of the International Bureau of the Universal Postal Union.
Please note that all candidates must complete an on-line application form. 
All applications must be received by the closing date as stated in the vacancy announcement. 

All applicants employed by postal entities and applying for a vacant position in the Professional (P) or Senior (D) category must be recommended and submitted through the competent postal authority.
Applications not satisfying this criterion may not be considered.

Only candidates under serious consideration will be contacted.
Applications from women and member states are particularly encouraged. 

The UPU promotes diversity and work-life balance.
For further instructions regarding the online application process, please visit the UPU internet page at: http://www.upu.int/en/resources/vacancies

HOW TO APPLY
All applications will have to be submitted to TCRA (country representative of the UPU) for recommendation as stipulated in this advert before the deadlines set by the UPU, after which your application will be dispatched to the UPU international Bureau.

NB: All applicants should be addressed to:

Director General
Tanzania Communications Regulatory Authority
Mawasiliano Towers
20 Sam Nujoma Road
P.O.Box 474
14414 DAR ES SALAAM
TANZANIA

NOTE: All applications envelopes should be marked with word "Application for UPU Vacancy Announcement Number

Source: Daily News 04 May, 2017
============

REGIONAL EXPERT AFRICA (UPU/17/P3/FT-C/169)

Organizational Context:
With its 192 member countries, the Universal Postal Union (UPU), a specialized agency of the United Nations, is the primary forum for cooperation between postal sector players. It helps to ensure a truly universal network of up-to-date products and services.
Main duties:
Under the supervision of the Coordinator for Africa and LDCs, the incumbent shall plan, organize and evaluate technical cooperation programmes and projects for countries in the Africa region. Conduct this work so as to ensure that technical assistance is provided in accordance with the UPU's objectives and strategy and the plans of the Directorate in charge of cooperation to development.

1. DCDEV ‘s strategy
1.1. Implementing the strategy
a. Contribute to the assessment of the social, economic and political situation of the region
b. Analyze the level of development of postal services in the countries of the region, their opportunities and challenges, and help to prepare a regional development plan (RDP).
c. Coordinate the formulation and implementation of RDP projects involving other internal and external partners.
d. Provide technical expert advice to the International Bureau in the area of regional postal development.
e. Respond to requests from designated operators and other partners concerning development cooperation and provide them with information and advice.
f. Propose expenditure commitments for all the activities 
1.2. Budgetary responsibilities
a. Evaluate the financial consequences of the activities proposed and prepare budget estimates.
b. Monitor the implementation status of the allocated budget and assist in the preparation of the relevant reports.

2. Management of projects
a. Supervise the design, development, formulation, implementation, monitoring and evaluation of the projects in the region 
b. Ensure field coordination with international, regional and national partners
c. Prepare requests for the recruitment of consultants, establish or revise their terms of reference, and brief consultants.
d. Examine and revise consultants' reports; draft letters for the transmission of these reports, with recommendations intended for the concerned authorities 
e. Responsible for the fellowships programes
f. Identify the equipment and materials required by the beneficiary countries and prepare the purchase request 
g. Coordinate the organization of group training activities.
h. Coordinate and monitor the work assigned to the Regional Coordinator and propose evaluations on the services rendered.

3. Other duties
a. Organize and participate in regional meetings and represent the UPU on these occasions
b. Prepare briefing documents for Directorate missions.
c. Contribute to the work of Union bodies.
d. Provide technical assistance in emergencies to countries following natural or man-made disasters.
QUALIFICATION AND SKILLS REQUIRED
Education:
First university degree (Bachelor or equivalent) in economics, business administration, international relations, political science or a related field
Experience:
5 years’ experience in project management or international cooperation activities in the Africa region.
Technical knowledge: 
- Knowledge of the economic, social and political situation of countries of the region; including regulatory frames and regional decision making forums.
- Excellent knowledge of project management skills 
- Knowledge of international cooperation mechanisms and systems.
- Knowledge of the postal sector in the region 
Skills and abilities / competencies:
- Good conceptual and analytical skills
- Acquaintance with ICT development and application to service industries
- Client orientation
- Good managerial skills
- High degree of personal initiative 
- Ability to anticipate problems, new trends
- Excellent communication skills 
Language skills:
Profficiency in French and English.

This position covers both, French and English speaking Africa.
Additional Information:
Annual salary:(Net of tax) 
58,583 USD

Post adjustment: The percentage is to be considered as indicative since variations may occur each month either upwards or downwards without notice. As a reference, the post adjustment for the month of April 2017 is 81.1%.
_______________________________________________
Candidates must ensure that they provide relevant contact details so that they can be contacted at any time, to prevent them from being excluded from the selection process.
The conditions of service are governed by the Staff Regulations and Rules of the International Bureau of the Universal Postal Union.
Please note that all candidates must complete an on-line application form. 
All applications must be received by the closing date as stated in the vacancy announcement. 

All applicants employed by postal entities and applying for a vacant position in the Professional (P) or Senior (D) category must be recommended and submitted through the competent postal authority.
Applications not satisfying this criterion may not be considered.

Only candidates under serious consideration will be contacted.
Applications from women and member states are particularly encouraged. 

The UPU promotes diversity and work-life balance.

For further instructions regarding the online application process, please visit the UPU internet page at: http://www.upu.int/en/resources/vacancies

HOW TO APPLY
All applications will have to be submitted to TCRA (country representative of the UPU) for recommendation as stipulated in this advert before the deadlines set by the UPU, after which your application will be dispatched to the UPU international Bureau.

NB: All applicants should be addressed to:

Director General
Tanzania Communications Regulatory Authority
Mawasiliano Towers
20 Sam Nujoma Road
P.O.Box 474
14414 DAR ES SALAAM
TANZANIA

NOTE: All applications envelopes should be marked with word "Application for UPU Vacancy Announcement Number

Source: Daily News 04 May, 2017

 

Gallery

Popular Posts

About Us