KINGAZI BLOG: 02/19/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday 19 February 2017

TUANGALIE SEHEMU ZINAZOMPA MSISIMKO ZAIDI MWANAMKE..

BOFYA PICHA HII
 BOFYA PICHA HII
SEHEMU YA 1:
NYWELE
sehemu ya kwanza yenye msisimko katika mwili wa mwanamke ni kwenye nywele, katika sehemu hii huleta msisimko kwa pande zote mbili kwa mwanaume na kwa mwanamke. Walio wengi katika mapenzi hupuuzia eneo hili kwa kutokujua kama ni muhimu husasani wawa...po ndani na wapenzi wao ila nataka nikufahamishe kua nywele huleta msisimko wa raha pindi zinapochezewa hivyo ukiwa ndani na mpenzi wako katika kumuandaa ili uweze kushirikiana nae katika tendo ni vizuri ukatumia kumlainisha kwa kumpa raha kupitia nywele zake. JINSI YA KUZICHEZEA NYWELE: Nywele za mpenzi wako unaweza kuzichezea pindi mkiwa mmekaa kitandani mnaongea mkisubiri muda muafaka wa kuenjoy yawezekana mpenzi wako kakulalia, basi taratibu anza kuzishika shika nywele zake huku ukiwa unampa maneno matamu ya kimapenzi
SEHEMU YA 2:
MASIKIO:
- eneo husika lenye raha katika kumuandaa mpenzi wako ni kwenye masikio, pindi ukiwa ndani na mpenzi wako jitahidi kutumia eneo hili katika kumlainisha umpendae, JINSI YA KUTUMIA MASIKIO YA MPENZI WAKO: Katika sehemu hii ya masikio kitu kikubwa kinachotakiwa kutumika ni ulimi wako, utumie ulimi wako katika sikio la mpenzi wako kwa kuuzungusha taratibu kwenye tundu la sikio huku ukifanya kama unamng'ata ng'ata kwa kutumia lips zako usitumie meno na sio umng'ate kweli tumia lips na ulimi pia njia nyingine ya kumletea msisimko mpenzi wako katika masikio unaweza kutumia ubunifu wa kumwambia "Dear kuna kitu nataka nikwambie ila nataka nikunong'oneze mvute msogelee karibu na sikio halafu mkiss kwenye sikio kwa sauti nyororo ya kiss huku ukilivuta najua atashtuka na atasisimka kwani itakuwa kama suprise ni kitu hakukitegemea.
SEHEMU YA 3:
SHINGO
- shingo nalo ni moja ya sehemu muhimu inayoleta msisimko kwa upande wa wanawake katika mapenzi sehemu hii ya shingo inaweza kutumika kwa kuichezea kwa njia ya ulimi, ukiwa ndani na mpenzi wako jitahidi kuuzungusha ulimi wako kwenye shingo la mpenzi wako taratibu itasaidia kumlainisha umpendae.
SEHEMU YA 4:
MAZIWA / MATITI
- wanaume walio wengi huwachezea wapenzi wao maziwa wakifaham kama ni sehemu yenye msisimko ila wengi wao hawatambui sehemu husika za kuchezea na hawajui nini kitumike, kwenye hili naomba nikwambie kuwa katika maziwa ya mwanamke unatakiwa uzichezee chuchu zake unaweza kuzichezea kwa kutumia vidole vyako kwa kufanya kama unazibinya binya taratibu au unaweza kutumia ulimi wako unauzungusha kwa juu na kuzinyonya nyonya ila faham njia zuri ni ya kutumia mdomo na ulimi wako, nyonya maziwa yake kwa ustadi huku ukizungusha ulimi kwenye chuchu zake na chini ya maziwa.
SEHEMU YA 5:
UKENI/ TUNDA
- katika sehemu zote hapo juu nilizozitaja ni muhimu ila sehemu hii ni muhimu zaidi kwani ni rahisi kwa mwanamke wa aina yoyote ile kulainika pindi anapochezewa katika uke wake hata kama alikuwa hana hisia vipi ukifika katika eneo hili ni lazima asisimke labda awe na matatizo ya kisaikolojia ya mapenzi. Katika sehemu hii ya uke eneo kubwa unalotakiwa kulichezea ni kwenye Kinembe/kiharage tumia vidole vyako katika kukichezea kinembe cha mpenzi wako kwa muda mchache baada ya hapo anza kupitisha ulimi taratibu kwenye kile kinembe tumia muda mrefu kulichezea eneo hili ukitumia ulimi wako pia njia nyingine nzuri tumia uume wako kwa kuupitisha pitisha taratibu kwa juu sehemu ya kinembe cha mwanamke, itakusaidia kumfanya asikie raha zaidi na itasaidia kuulainisha uke wake ili pindi mtakapoanza safari yenu kusitokee michubuko kwani kumchezea kwa muda mrefu kunasaidia kuulainisha uke pia njia zinakuwa zinatanuka.
SEHEMU YA 6:
KWENYE MSTARI WA UTI WA MGONGO
- uti wa mgongo nao ni sehemu muhimu katika kumsisimua mpenzi wako kwa upande wa wanawake ingawa wanaume wengi huipuuza sehemu hii, jitahidi ukiwa ndani na mwanamke wako kumbuka sehemu hii mgeuze mpenzi wako na umlaze kifudi fudi yani tumbo chini mgongo uwe juu baada ya kumlaza hivyo toa ulimi wako anza kuupitisha taratibu kwenye uti wake wa mgongo ukianzia kuutembeza ulimi wako tokea shingoni unashuka kwenye mstari mpaka kwenye ------ yake. Fanya zoezi hili la kupitisha ulimi wako katika round kama mbili pitisha mara ya kwanza rudia tena baada ya hapo endelea na hatua nyingine
SEHEMU YA 8:
NYAYO ZA MIGUU
- eneo la mwisho lenye msisimko ni kwenye nyayo za miguu hili eneo unaweza kulichezea kwa kutumia ulimi au kama huwezi unaweza kutumia vidole ila kwa upande wangu mimi ninavyoona ulimi ni bora zaidi ingawa wengi mtahisi kama ni uchafu, ila kama unataka kulitumia eneo hili kwa ulimi hakikisha miguu ya mpenzi wako misafi kama ni misafi basi unaweza kutumia ulimi wako na kama unahisi si misafi tumia tu vidole.
SEHEMU YA 7:
MAPAJA
- mapaja nayo huleta msisimko katika mwili wa mwanamke na kumfanya alainike katika tendo pindi yakitumiwa kwa ustadi wa mahaba jitahidi kuyachezea mapaja ya mpenzi wako kwa kutumia ulimi na kwa kumpapasa papasa na viganja vyako vya mkono
SEHEMU YA 9:
G.SIPORT
-Hili ni eneo lilio ndani ya uke wa mwanamke upande wa juu sentimita chache toka kilipo kisimi.mwamke anatakiwa alale chali au apige magoti maalufu kama mbuzi kagoma kwenda mwanaume tumia kidole chako cha kati ndani ya uke ingiza taratibu na hakikisha hauna kucha ndefu. ingiza hadi utakapo kigusa na kipo kama kiupele ukisha kikuta fanya kama unakuna au unaita kwa kutumia kidole kma upafanya vizuri basi mwanamke anaweza kojoa hata mara mbili kwa mpigo.
-Pia kuna njia ya katerelo hapa nitaielezea muda ujao 

WAKUBWA TU!!!!! BOFYA PICHA HII UONE KITAKACHOTOKEA!!! USIMSIMULIE MTU!!!
 BOFYA HAPA

SHILAWADU!!!Umeipata hii ya Flora Mbasha kutambulisha Wachumba Wawili Kanisani?


DAR ES SALAAM: Mwanamuziki wa Injili Bongo, Flora Mbasha amezua gumzo la aina yake baada ya kudaiwa kuwatambulisha wachumba wawili tofauti katika Kanisa la Mchungaji Paul Bendera wa Kanisa la Ufunuo, Kimara- Bonyokwa.

Chanzo makini kilichopo kwenye kanisa hilo, kimeeleza kuwa, Flora ambaye sasa anatarajiwa kuolewa na jamaa anayefahamika kwa jina la Daud Kusekwa, awali alidaiwa kumtambulisha Peter Elias kama mchumba wake hivyo kuzua tafrani kwa waumini kuhoji kulikoni atangaze uchumba kwa watu tofauti ndani ya muda mfupi.

“Unajua tatizo linakuja ni kama Flora aliamua kubadili gia angani, awali alikuja kanisani kwetu na yule Peter ambaye pia mwanzoni watu walikuwa wakijua ni mlinzi wake, ghafla tukashangaa amemleta mtu mwingine na kusema ndiye atakayefunga naye ndoa.

“Huwezi amini hili suala litakuwa limempasua sana kichwa mchungaji. Watu hawawezi kukubali kwa lengo la kujenga nidhamu watataka kusimamia haki, kama ni yule wa awali ndiyo halali kutambulika kanisani au huyu mpya,”  kilisema chanzo hicho ambacho kilijitambulisha kuwa kinasali kanisani hapo.

Mwanahabari wetu alimwendea hewani Mchungaji Bendera ambapo alikiri kuwafahamu Flora, Daud na Peter lakini akasema Peter alimtambulisha tu kama muumini hivyo hakuona sababu ya kumkataa Daud pindi alipotambulishwa na Flora kama mchumba wake wanayetarajia kuoana.

“Peter na Flora walikuja kama waumini. Lakini kama umesikia tofauti, nitawaita wote ili kuliweka sawa,” alisema mchungaji huyo.

Hata hivyo, chanzo kilichopo kanisani hapo kilizidi kumwaga ubuyu kuwa, mbali na uchumba huo kuzua tafrani kanisani hapo, kuna taarifa kuwa Flora anamtishia Peter kwamba amuache na asiingilie maisha yake na mpenzi wake wa sasa.

“Nasikia Flora anamtishia sana Peter hususan baada ya Peter kuwa anamtaka mwanaye ambaye amemnyang’anya. Sasa anamchimba kweli mkwara hadi jamaa imebidi atoe taarifa kituo  cha polisi,” kilisema chanzo hicho.

Baada ya kunyaka ubuyu huo, mwanahabari wetu alimvutia waya Peter ambapo alipopatikana alikiri kupokea vitisho hivyo na kwamba ametoa taarifa katika Kituo Kidogo cha Polisi Tabata- Kisiwani.

“Ni kweli ananitishia lakini mimi siwezi kukubali mwanangu alelewe na mtu ambaye sina imani naye. Nitaenndelea kudai haki yangu,” alisema Peter huku akimtumia mwandishi wetu RB iliyosomeka, TBK/RB/37/2017 TAARIFA.

Alipoulizwa kama ameitwa na Mchungaji Bendera ili wakazungumzie suala lake akasema hajaitwa.

Kwa upande wake Flora, alipoulizwa kuhusiana na madai hayo, alisema hataki kabisa kuzungumzia habari za Peter.

Flora ambaye ameimba nyimbo nyingi nzuri za Injili ikiwemo Jipe Moyo, kabla ya kumuacha Peter na kuingia kwenye uchumba na Daud, aliolewa na Emmannuel Mbasha ambaye walitengana mwaka 2014.

Mateja wawili wafariki dunia baada ya kukosa dawa za kulevya


Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya, Rogers Sianga amesema watu wawili wameripotiwa kupoteza maisha mkoani Mwanza kwa sababu ya kukosa dawa za kulevya mtaani kama walivyozoea.

Kamishna Sianga amesema taarifa hiyo ameipata kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, hali inayomaanisha mafanikio ya mapambano ya dawa hizo, ambapo kwa sasa usambaaji wake umepungua mtaani kwa kiasi kikubwa.

"Nimeongea na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, ameniambia kwamba kuna watu wwili wamefariki sababu walikuwa drug addict na sasa dawa hizo hazipo mtaani" Amesema Sianga

Sianga amesema mara baada ya kupokea kijiti cha mapambano kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, Mamlaka hiyo imeendelea na moto huo huo, na kwamba kwa hivi sasa timu yake hailali, ikiendelea na mapambano kila siku na kwamba hata leo, kuna mtuhumiwa mkubwa wa dawa za kulevya amekamatwa.

"Leo asubuhi tumemkamata mtuhumiwa mmoja mkubwa wa dawa kulevya, tupo naye tunaendelea kumuhoji, mengi yataibuka" amesema Kamishna Sianga

Kuhusu kuendelea kutumia mbinu iliyokuwa ikitumiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam paul Makonda ya kutaja majina hadharani,, Kamishna Sianga amesema hatatumia njia hiyo kwa kuwa kutaja majina ya watu hadharani kunaweza kuiingiza serikali katika matatizo maana kuna watu wengine wanaweza kutoa majina ya watu kwa sababu ya chuki binafsi.

Amesema njia anayoitumia ni kuwakamata na kuwahoji kimyakimnya na wakishajiridhisha hatua nyingine za kisheria zinafuata.

Katika hatua nyingine, Sianga amesema Tanzania iko makini katika kuwashughulikia wahusika wakubwa wa dawa za kulevya duaniani tangu miaka mingi iliyopita, akitolea mfano mtuhumiwa mmoja wa kike ambaye ni gwiji katika biashara hiyo au 'King Pin', ambaye hivi sasa amefungwa katika magereza ya Tanzania tangu mwaka 2010

"Tulimkamata mmoja kati ya watu waliokuwa wametajwa kama king pin wa dawa hizo nchini Marekani, alikuwa ameshindikana, na huko Marekani alikuwa na kesi zaidi ya 40, lakini alikamatwa hapa na amefungwa tangu mwaka 2010, yuko gerezani nafikiri kama siyo Keko, ni Segerea". Amesema Sianga.

Mama Afukua Kaburi la Mwanae,Kisa Kamili Hiki Hapa!!


Katika hali isiyo ya kawaida mama mmoja mwenyeji wa mkoa huu wa mbeya mji mdogo wa mbalizi, usiku wa kuamkia leo alienda kaburini alikokua kafukiwa mwanae aliyefariki dunia Siku ya jumatatu na kuzikwa jumanne ya wiki Hii na kufukua kaburi hilo na kuitoa maiti 

Kwa mujibu wa mama huyo maarufu Kama mama vumi anadai aliambiwa na mchungaji kuwa mwanae hajafa Bali Kuna sehemu anafanya kazi hivo aende akaitoe ile maiti kaburini ili iombewe irudi kuwa binadam wa kawaida,

Jana usiku yule mama ndio akaenda kuifanya kazi aliyotumwa na mchungaji wake ambapo leo asubuhi ndio raia wakagundua ishu na kwenda kukinukisha kwa yule mama, polisi walifika eneo la tukio na kumuokoa yule mama toka kwenye mikono ya wananchi wenye hasira Kali na kuondoka nae pamoja na maiti ya mtoto

SHILAWADU: Kauli ya Barnaba kuhusu ugomvi na Mama Mtoto wake


Mwimbaji wa bongofleva Barnaba Boy yupo kwenye vichwa vya habari za burudani kwa zaidi ya siku 5 sasa hivi baada ya habari zinazodaiwa kwamba ameachana na Mama mtoto wake.

Barnaba amehojiwa na The weekend chat show na kusema hayo ni maneno ya watu tu ila yeye hajagombana na mama watoto wake Mama Steven japo kila mtu ana matatizo.

Mimi na wife wangu hatuna matatizo, maneno hayo yanayoendelea uko nje achana nayo, Mimi sijawai kugombana na mama watoto wangu wala mama watoto hajawai kuondoka nyumbani na the Good Thing is mimi na familia yangu tupo karibu na Steven anaenda shule kama kawaida“

“Chukua hili neno kubwa sana MIMI NA MAMA WATOTO WANGU HATUNA MATATIZO, kila mtu anamatatizo lakini mimi sidhani kama matatizo yangu naweza kuyaleta hadharani  ila natanguliza samahani kwa watu wangu kwa sababu mimi sipendi kelele mbaya”

“kwenye muziki wangu, Mungu anisamehe huu mwezi umekuwa kama unaniandama kwa vitu vingi sana ila Namuamini Yesu na namwamini Mungu kilicho kibaya kilicho kizuri namuachia Mungu“

 

Gallery

Popular Posts

About Us