KINGAZI BLOG: 03/12/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday 12 March 2017

Makonda Ateseka Ughaibuni...Habari Katika Vichwa vya Magazeti ya Leo jumapili





CCM Yawatimua Makada 12,Yupo Sophia Simba na Mwenyekityi wa CCM Dar Es Salaam,Ramadhan Madabida.


Chama cha Mapinduzi kimewafukuza makada 12 wa chama hicho wakiwemo wanachama mkongwe kama, Sophia Simba, Ramadhan Madabida na Jesca Msambatavangu.

Wakati wanachama hao wakifukuzwa wengine wanne wamepewa onyo kali,  sita wamevuliwa uongozi na kuwekwa chini ya uangalizi mkali wa miezi 30, huku mwenyekiti wa chama hicho Dodoma, Adam Kimbisa akisamehewa.

 Uamuzi huo umetolewa baada  wa kikao cha Nec kilichofanyika Dodoma leo (Jumamosi) na kuongozwa na mwenyekiti wake, Rais John Magufuli.

 

Gallery

Popular Posts

About Us