KINGAZI BLOG: 02/13/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday 13 February 2017

NILAMBE HUMOHUMO -==3


CHOMBEZO: NILAMBE HUMOHUMO
MTUNZI: HUSSEIN WAMAYWA
SEHEMU YA TATU
“Eeh!’’ Akakubali kwa msisitizo. Moyo wangu ukazizima kwa furaha nikajua naweza kutumia moja wapo kati ya njia hizo, mambo yakajipa na nikaweza kummiliki Shamsa Nuhu moja kwa moja.
‘’Ila’’ Akimu akanizindua tena, “Itakubidi usubiri muhula huu wa mitihani uishe ili usichanganye mapenzi na masomo. Ukianza wewe kuvichanganya vyenyewe vitamalizia, na hupata zaidi ya hasara!’’
‘’Nitasubiri!” Nikamwambia
“Good!’’ Akashangilia baadae akaniambia lile alilokuwa akinitafutia, nami nikampa ushauri alioutaka. Mpaka tunaagana tabasamu lilikuwa bado limeupamba uso wake.
* * *
Usiku ule hali ilikuwa ngumu Sana niliufikiria mlolongo wa maisha yangu, mahusiano yangu na wanawake hatimaye Shamsa “…ndio maana nakupenda Ibra…!” Mvumo wa sauti yake tamu ukatetema akilini mwangu na kuendelea ’’…wewe sio muhuni na hupendi mambo ya kipumbavu!’’
Mambo yepi wakati mie nampenda? Hivi wakati anaongea yale alikuwa seriously au? Sasa kama aliyasema kwa dhati itakuwaje atakapopokea sms yangu ya mapenzi? Atasemaje atakapopata barua au kadi kama sio uwaridi?
Maswali yalikuwa mengi majibu yakiwa haba. Dakika kadhaa zikapita kichwa kikinichemka. Kutahamaki nikawa nimeinuka na kuikabili kabati nikaifungua na kuitwaa albamu ya picha nikarejea nayo kitandani.
Katikati ya albamu ile kulikuwa na picha nzuri ya Shamsa akiwa ufukweni ndani ya mavazi ya kuogelea. Picha hii nilimpigisha kwa wizi baada ya kumuomba mpigapicha mmoja ampige kwa siri na kuniletea picha hiyo kwa malipo ya kutakata.
Vile alipigwa bila ya kuwa na taarifa, alitoka vizuri sana! Rangi yake adimu ya chocolate iliupendezesha mwili wake na kutokeza kwa mng’aro uliovutia hasa katika yale maeneo ambayo ni aghalabu kuonekana wazi hovyo hovyo, ila pale anapoamua kubaki na chupi na sidiria tu.
Vishimo vya kuvutia vya hapa na pale katika kidevu na mashavu yake, miraba miraba mizuri yenye ukubwa wa wastani iliyoizunguka shingo yake na kuikata kata vizuri sana, achilia chuchu zilizosimama vizuri; vilikuwa ni baadhi tu ya vitu viliyoyafanya mate ya uchu yaanze kujaa mdomoni.
Wakati nikiyameza, macho yakashuka chini tumbo dogo na zuri lenye kitovu maridhawa lilikuwa likinisubiri! Mwili ukaanza kupata joto hali mheshimiwa akianza kushtuka, niliposhuka chini zaidi kwenye mapaja. My God! Shamsa!? Acheni niwe zezeta.
Image result for booty ebony
Hali niliyoiona pale chini ikayafanya mapigo yangu ya moyo yaende joshi kana kwamba yanataka kuzimika. Yule mheshimiwa kule ‘somewhere’ sasa akasimama barabara kutaka kukagua gwaride la heshima.
Nikatazama mbele ya dressing table yangu kulikuwa na kopo la Rays, sabuni ya Give na Lotion ya E9. Akili ikafanya kazi kuchagua niende bafuni na nyenzo ipi kati ya zile.
Kabla sijachagua, masikio yangu yakanasa kitu. Macho yangu yakageuka haraka kuiangalia TV iliyokuwa humo chumbani. Nikaona polisi wakifanya kuwasukuma watu kwenye Defender. Ilikuwa ile Operation maalum iliyoendeshwa na Mkuu wa Mkoa wa Dare s salaam ya kuondoa machangudoa waliozagaa huku na huko katika jiji la Dar es salaam.
Akili yangu ikapata chaji mpya.
Kumbe kuna mahala ninakoweza kupata tiba muafaka bila taabu, mahali ninakoweza kutibiwa bila kuangaliwa usoni, nikasuuzika mimi na mtima wangu hata nikaona raha na utamu wa dunia.
Bila ya kufikiria mara mbili nikachukua pesa kiasi, nikaweka ndala miguuni na kutimkia stendi. Ilikuwa saa mbili usiku. Nikaparamia daladala moja, baadae nikashuka na kupanda nyingine, niliposhuka nikatemba kidogo nikiuliza hapa na pale, nikiingia kichochoro hiki na kile, hofu ya kukabwa ikawa puani kabisa.
Kutahamaki nikawa nimeibukia nilipopataka
Uwanja wa fisi!
Harufu ya nyama choma ikanipokea, kelele za kanisa hali kadhalika. Katikati kulikuwa na uwanja mkubwa uliosheheni visichana vidogo vidogo vya wastani na wanawake kadhaa ambao mavazi, vitendo na jinsi walivyo walikuwa mwito tosha.
Macho ya wengi wao yalikuwa malegevu mithili ya mtu aliyekula kungumanga. Wengi walikuwa na ndala na miguu yao ilikuwa michafu wenye mchanganyiko wa vumbi masizi na pumba ambazo nyingi zilikuwa zikingali zimeanikwa hadi usiku huo.
“Hoyaaa…!’’ Mmoja akaita.
“Bro!” Mwingine akadakia.
Nikainua macho kuangalia huyo aitwae, mmoja akajaribu kunikonyeza. Nikajikuta nikitabasamu! Sio kwa kufurahishwa na konyezo lake, hasha! Yale macho. Alikuwa na macho mabaya ajabu.
“Twenzetu tuka…!’’ likamtoka neno baya yule wa kwanza. Yule wa pili akajaribu kutabasamu. Likaondokea kuwa tabasamu lililokosa ladha. Zaidi lililochusha na kuudhi. Kicheko kidogo kikaniponyoka.
Vibinti hivi vilikuwa viathirika vikubwa vya madawa ya kulevya. pamoja na kiu yangu kubwa ya ngono, nikavipuuza macho yangu yakasafiri tena na kufanya ziara ndefu katika maeneo anuai ya viwanja vile vilivyolaaniwa.
Muziki mkubwa uliokuwa ukitoka katika baa mbili tatu za kienyeji zilizolizunguka eneo hilo, lile kundi la wachoma nyama ambazo hazikujulikana ni za mnyama gani, walevi waliotamalaki huku na kule wakiyumba, kutukana na kucheza muziki, wacheza kamari, vile visichana vichangudoa pamoja na zile kelele za kanisa kwa pamoja zilipafanya mahala pale sio tu uwanja wa fisi hasa. Bali uwanja wa fujo! Tena fujo lililo chukizo.
Katika kuendelea kuperuzi, nikaona vijana wengi waliokuwa wakiingia na kutoka katika uchochoro mmoja uliokuwa ukipita pembezoni mwa kanisa. Wengi mno.
Pasipo kujitambua na pengine bila ushirikiano maalumu na akili yangu ambayo kwa kawaida ndio mwenyekiti wa mwili wangu, kwa maana ya mfanya maamuzi, miguu yangu ikaanza kurefuka na kupiga hatua ndefu ndefu kuelekea kule kulipokuwa na sumaku iliyokuwa ikiwavuta na kuwatema vijana.
“Sasa vipi mpenzi?” Sauti moja ikaniwahi
’’Mchumba niko hapa, njoo tuyamalize!!” Nyingine ikadakia. Sikuwasikiliza, niliendelea kupiga hatua ndefu kama ninayewahi kitu fulani
“Achana nae!’’ Mmoja akafoka
’’Anawahi kwa wahaya! Angejua kama wahaya ni spare tire! He he he halooow!” wakacheka kishangingi kwa sauti zao zilizo toka mfano wa sauti ya redio yenye betri zisizo na nguvu. Sikuwasikiliza!
Nikaingia katika uchochoro ule. Mungu wangu! nikamudu kutamka. Sekunde chache baada ya kuingia nikatokezea katika mnada wa machangudoa hasa, ilikuwa ni mitaa miwili myembamba sana yenye vyumba vidogo vilivyotazama nje.
Ukingoni mwa kila nyumba, mwanamke mmoja aliketi juu ya stuli au kigoda akiwa na kijivazi kilichoacha nje sehemu kuubwa ya mapaja yake, taa inayoyowaka ndani iliachwa iyamulike mapaja yale makubwa na mazuri na kutufanya wakware kutokwa na mate ya uchu.Mapaja wazi mtaa wote!                                      
Image result for booty ebony

Kazi yako ni kupita mbele ya nyumba hiyo huku ukichagua mapaja yaliyonona kupita yote, huku kila uliyemkaribia akikurabisha kwa tabasamu taamu, tabasamu maridhawa. Nikachoka! nisikuamni macho yangu. ‘’Eeeh Tanznia hii hii, tena Dare s salaam!” Nikawaza kwa mshangao
Nikapiga moyo konde na kupita taratibu nikitazama mapaja hayo kushoto na kulia kwangu, kundi la vijana nilioingia nao katika mtaa huo mwembamba wakipotea mmoja baada ya mwingine kwa zamu na ndani ya vyumba vile na milango kufungwa nyuma yao. 
Wakati haya yakitokea; milango mingine iliyokuwa imefungwa, inafunguliwa mmoja baada ya mwingine kwa zamu. Ndani yake wanatoka vijana kama sio wanaume wanaovuja jasho, wengine wakiwa vifua wazi.
Nikaendelea kutembea, kutahamaki nikatokea mtaa mwingine.
Huu haukuwa na vituko, mbele yangu kulikuwa na vijana fulani kama wanne hivi waliokuwa wakitafuta kitu fulani. Nami bila ya kuwaambia nikawa nimewageuza kuwa wenyeji wangu. Nikawafuata kila walipokwenda. Tutukaingia mtaa mwingine. 
Huu ulikuwa wa mijimama tipwa tipwa mikubwa yenye maumbo makubwa ya kibantu. Hawa walikuwa ni wazuri maradufu kuliko wale wa awali nikafanya kukaza moyo na kuwapita.
Mtaa uliofuata ulikuwa wa wazee! Hawa sikuwatupia macho japo marambili, nikiwa na wenyeji wangu tukaingia mtaa wa tatu, huu ulikuwa wa mashoga!! nikasikia kinyaa na kutoka mara moja nikawaacha wenyeji wangu wakishughulikiwa katika mtaa huo. 
Nikarudi kuzunguka mara ya pili na hatimaye nikajikuta nikiangukia katika mikono ya jimama moja lililokatika kibantu khaswaa ambalo lilikuwa na weupe wa papai bivu. 
‘’Mambo?’’ Nikalisalimia 
‘’Safi, vipi unataka huduma?’’ Akarembua na kutabasamu, alikuwa na mwanya alikuwa na dimples!! My God, ugonjwa wangu!.
‘’Ndiyo! Nikakubali haraka
‘’Basi karibu ndani!’’ Akafanya kunipisha niingie ndani
‘’Kiasi gani?’’
“We mgeni hapa?”
‘’Ndiyo! Hii ni mara yangu ya kwanza kufika hapa! 
’’Si siunataka mapenzi ya kawaida tu?!”
Sikujua mapenzi ya kawaida ni mapenzi gani. Ila kulingana na ukubwa wa mama huyu ambae alinizidi umri kwa kila namna, hali weupe na uzuri wake ukinitisha, nikajikuta nikitikisa kichwa kukubali.
‘’Elfu tatu tu’’ Nikajibiwa.
Nikaingiza mkono mfukoni
‘’Nimekwambia uingie ndani ebo?” Akanikaripia na kuongeza “Kama umetumwa ujue kutuchunguza, sijui kutuchoma ujue hutatoka salama! Tutakupigia kelele za mwizi, wakutwange wakutie mafuta na kukuchoma moto!’’ Akanihitimisha
Nikaogopa na kuruka ndani haraka.
Chumba kilikuwa cha wastani chenye ndoo kadhaa za maji kitanda cha wastani futi nne kwa sita, jiko la mchina beseni lenye vyombo vichache nadhifu na stuli moja tu.
Ukutani kulikuwa na picha kubwa za wanawake wa kizungu walio uchi ambao walikuwa wamelala kitandani katika namna ya kutamanisha kulikovuka mipaka, yule mheshimiwa akaanza fujo tena.
Jimama likaingia na kufunga mlango!!!
***HAYA SASA IBRA KAJIINGIZA PABAYA…..HAYAJUI MAPENZI YA KAWAIDA LAKINI KAKUBALI…..
**SHAURI ZAKE AJE KULAZIMISHWA KUILAMBA HUMOHUMO>>>>BOFYA HAPA UONE YALIYOMO<<<< 18+

Hizi Kauli 20 nzito za Kamishna wa Kupambana na Dawa za Kulevya Wakati Akitangaza Vita Mpya...!!!

Kamishna wa kupambana na dawa za kulevya, Rogers William Sianga amelipigilia msumari kuhusu vita dhidi ya dawa za kulevya.
Alikuwa akiongea leo jiji Dar es Salaam katika mkutano ulioandaliwa na mkuu wa Mkoa, Paul Makonda baada ya kukabidhiwa orodha ya tatu ya majina ya watu wanaohusishwa kwenye biashara hiyo.
Kamishna Sianga amesema hawatamuonea huruma mtu yeyote anayejihusisha kwenye biashara hiyo. Ameomba vita hiyo kuendelea nchi nzima na Dar es Saalam peke yake akidai itaendelea hadi visiwani Zanzibar.
Pia amempongeza Paul Makonda kuanzisha mapambano hayo.
Hizi ni baadhi ya nukuu kutoka kwa Kamishna Sianga kutoka kwenye mkutano huo.
1. Sisi waliotukabidhi kazi hii tutaifanya kwa bidii
2. Wauzaji wa dawa za kulevya wanasababisha HIV, kukosa uwezo wa kuzaa, ugonjwa ini na TB
3. Muuzaji wa dawa za kulevya anasabisha watu wasilime chakula, anasabibisha njaa
4. Biashara ya madawa ya kulevya inasababisha ‘inflation’ (kupanda bei kwa bidhaa)
5. Suala la madawa ya kulevya hakuna mtu ambaye yupo salama Atakapotokea muathirika nyumbani kwako ndio utajua madhara yake
6. Tumepokea orodha tuliyopewa na Mkuu wa Mkoa, tempo ni hiyo hiyo
7. Kumekuwepo na mahakimu au majaji wanaovuruga kesi zetu za madawa ya kulevya, tunaanda orodha yao
8. Kumkatisha ghafla mtu aliyeathirika na dawa za kulevya atakufa. Ukimweka jela atapata maumivu makubwa
9. Tutakutana na wamiliki wa sober houses ili kuweka utaratibu wa namna ya kuwasaiia waathirika wa dawa za kulevya
10. Mtu ambaye anafanya biashara ya dawa za kulevya au utakatishaji wa fedha huyo tunakwenda naye
11. Sheria mpya inatupa uwezo wa kukukamata hadi mali ambazo umezichuma kutokana na biashara ya dawa za kulevya
12. Tutakuelezea namna ya kukutoa kwenye dawa za kulevya. Lakini utatuambia nani anayekuuzia hayo madawa
13. Tutaanzaisha kampeni za dawa ya kulevya kuanzia shuleni hadi vyuoni
14. Vita vya dawa ya kulevya sio vya Dar tu. Alichokianzisha Makonda tunataka nchi nzima moto uwake, hatobakia mtu
15. Heroin inaharibu mwili na kisaikolijoa, uraibu wake ni mbaya zaidi
16. Mirungi inamfanya mwanaume asiwe mwanaume, mirungi inaua ndoa
17. Wafanyabiashara wa dawa za kulevya wameleta huzuni nyingi katika familia, hatutokuwa na huruma nao
18. Mtumiaji wa madawa ya kulevya hutesa familia na kuirudisha nyuma
19. Uzuri wa muuza dawa za kulevya anatamba
20. Tutakuwa na kitengo cha kuwasaidia walioathirika na dawa za kulevya

VIDEO: “Mnyama nimeamua, inabidi uwe mnyama kama Makonda” – T.I.D


Mwimbaji wa bongofleva T.I.D ni miongoni mwa waliokamatwa na kushikiliwa na Polisi kwa dawa za kulevya na mpaka kufikishwa Mahakamani, leo February 13 2017 T.I.D alizungumza LIVE kwenye TV baada ya kualikwa kwenye jukwaa alilosimama Mkuu wa mkoa Paul Makonda kuzungumzia awamu ya tatu.

V

Kimenuka..Chid Mapenzi Mme Halali wa Muigizaji Shamsa Ford Aitwa Kurepoti Polisi na Paul Makonda

Wakati Makonda Akifunga mkutano aliyoufanga leo na waandishi wa habari kuhusu Madawa ya kulevya Amewataja Chid Mapenzi na Ayoub Kuripoti polisi Central..
..
"Namtaka Chid Mapenzi Polisi leo, ikiwezekana nimkute huku Muda huu"

Rc Makonda kutangaza orodha ya tatu ya vinara wa unga leo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo anatarajia kutaja majina mengine ya vinara wanaotuhumiwa kwenye biashara ya madawa ya kulevya.
Katika awamu ya pili, watu mashuhuri wakiwemo Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, Askofu Josephat Gwajima na mbunge wa zamani wa Kinondoni, Idd Azzan walitajwa.
“Awamu ya tatu imekamilika naomba tukutane kesho katika ukumbi wa mwalimu nyerere kuanzia saa 4 asbh,” mkuu huyo wa mkoa aliandika jana kwenye Instagram.
Jana Rais Dkt John Magufuli aliwataka viongozi kuongeza nguvu kwenye mapambano ya biashara hiyo haram
KINGAZI BLOG TUKO SAMBAMBA NA WEWE KUKUHABARISHA JUU YA TUKIO ZIMA LA KUTAJWA ORODHA YA MAJINA YA WATUHUMIWA WA MADAWA YA KULEVYA.
Endelea kufuatilia.kila wakati 
www.kingazitee.com

Zitto amtaka Rais aMagufuli livunje Bunge

Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amemshauri Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli kulivunja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania endapo analiona ni kikwazo kwake.

Ushauri huo ameutoa jana ikiwa ni saa chache baada ya Rais Magufuli kukosoa uamuzi wa Bunge kumuita Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kujieleza mbele ya Kamati ya Bunge, kutokana na kilichodaiwa na wabunge kuwa ni kauli ya kulidhalilisha Bunge.

Katika hotuba yake aliyoitoa wakati wa kuapishwa kwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya, Rais Magufuli amewataka viongozi wengine kumuunga mkono mtu anayejitokeza kupiga vita dawa za kulevya badala ya kumdhalilisha.

"Tunapomuona mtu anajitokeza kupambana na haya madawa ya kulevya, badala ya kumdhalilisha tumuombee na kumtia moyo, hawa wanaweza hata kubadilisha maneno uliyoyazungumza wakabadilisha wakatengeneza kwenye clip wakatupa, na wakajitokeza wengine wakasema wameingilia mamlaka yao, wakati wao wanaingilia mamlaka ya kuwaita wengine, hii ni vita". Amesema Magufuli

Baada ya kauli hiyo ya Rais, Zitto kupitia ukurasa wake wa Facebook ameonesha kushangazwa na kile alichodai  kuwa Rais hakujua kuwa sheria ya kuundwa kwa mamlaka hiyo, ilitungwa, na kwamba anashangaa kuona Rais hakuwa akijua kuwa alipaswa kumteua Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo

Ujumbe wa Zitto unasema

"Wabunge walitoa Hoja Binafsi kuhusu Madawa ya kulevya ( Esther Bulaya na Faustine Ndugulile ) na kufuatia hoja hiyo Serikali ikaleta Muswada bungeni na Bunge likatunga Sheria ya Kupambana na Madawa ya kulevya mwaka 2015.

Serikali mpya ikaingia madarakani mwezi Novemba 2015. February 2017 Ndio Kamishna Mkuu anateuliwa tena baada ya wabunge kuhoji na kushinikiza kupitia Kamati husika na pia mbunge Esther Bulaya aliyetoa Hoja Binafsi katika Bunge la Kumi."

Ujumbe huo umeendelea kusema..

"Rais anasema hakuwa anajua kuwa sheria hiyo ipo. Lakini Rais anapogawa Wizara huwa anatoa instruments na Hizo instruments hutaja kila sheria kwa kila Waziri. Ilikuwaje Rais akasahau sheria hii nyeti kama alikuwa na nia ya dhati ya Kupambana na Madawa ya kulevya?


Rais anaona Bunge kikwazo kwa sababu Bunge linamwongoza afuate sheria. Lakini Kama anaona Bunge linamkera turudi kwenye uchaguzi tu, alivunje".

 

Gallery

Popular Posts

About Us