KINGAZI BLOG: 04/28/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday 28 April 2017

Waziri Adai Ripoti ya Ukaguzi wa Vyeti Feki Haijawagusa Wakuu wa Mikoa an mawaziri

Mheshimiwa Angela Kairuki, Waziri wa Nchi wa Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora (akikabidhi ripoti ya Vyeti kwa Rais Chuo Kikuu Dodoma) amesema "Uhakiki huu haujafanyika kwa viongozi wa Kisiasa ambao wako serikalini kama vile Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao mamlaka ya uteuzi ndio wanajua ufanisi wa kazi zao na pia katika Siasa suala ni kujua kusoma na kuandika."

Waziri Adai Ripoti ya Ukaguzi wa Vyeti Feki Haijawagusa Wakuu wa Mikoa an mawaziri

Mheshimiwa Angela Kairuki, Waziri wa Nchi wa Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora (akikabidhi ripoti ya Vyeti kwa Rais Chuo Kikuu Dodoma) amesema "Uhakiki huu haujafanyika kwa viongozi wa Kisiasa ambao wako serikalini kama vile Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao mamlaka ya uteuzi ndio wanajua ufanisi wa kazi zao na pia katika Siasa suala ni kujua kusoma na kuandika."

Picha ...Mchumba mpya wa Flora Mbasha Huyu Hapa

Kama Basi ulisikia kuwa Flora Mbasha anaolewa tena baada ya kuachana na Emmanuel Mbasha basi inasemekana huyo hapo ndio shemeji yetu mpya wakiwa katika picha ya Pamoja,...

Maoni yako Tafadhali

Taarifa za kuitwa kazini kwa madaktari waliokuwa wamekidhi vigezo kwenda kufanyakazi nchini Kenya.




TANAPA watolea ufafanuzi taarifa zilizosambaa mitandaoni kuhusu Mwalimu wa Chuo Sinon Dar kujeruhiwa na Simba.



 

Gallery

Popular Posts

About Us