KINGAZI BLOG: 03/18/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday 18 March 2017

KIMENUKAA!!! Mwanamke adai amezalishwa na Askofu GWAJIMA na baadaye kutelekezwa bila msaada..!


Katika hali ya kushangaza leo katika kipindi kimoja cha redio Uhuru fm mwanamama mmoja kahojiwa na mtangazaji Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima JOSEPHAT GWAJIMA na baadaye katelekezwa.
Katika mahojiano hayo kasema yafuatayo..
👉Anasema yu tayari kupima DNA
👉Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.

BOFYA HAPA KUONA VIDEO 👉👉http://www.youtube.com/watch?v=CyE_kMv0gM4[/url]

Credit: JF

Jike Shupa Afunguka kuhusu Picha zake Kusagana Akidendeka na Mwanamke Mwenzako.

Video Queen ambaye alishiriki katika video ya Nuh Mziwanda 'Jike Shupa' na kujipatia jina la Jike Shupa amefunguka na kusema yeye si msagaji ila pombe ndiyo zilipelekea yeye kum kiss video quen Nai na kusema kitendo hicho kinamfanya ajisikie vibaya

Jike Shupa aliyasema hayo jana kwenye kipindi cha Friday Night Live na kuwaomba msahama Watanzani wamsamehe kwa kitendo kile alichokifanya kwa mdada mwenzake.

Breaking News: Tundu Lissu Achaguliwa Kuwa Rais wa TLS Kwa Ushindi wa Asilimia 88


Wajumbe wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), leo wamefanya uchaguzi wa kumchagua rais pamoja na wajumbe wa ngazi mbalimbali za uongozi wa chama chao.

Uchaguzi huo umefanyika mjini Arusha ambako wanachama  wa TLS wamekutana kutekeleza ratiba hiyo pamoja na kupanga mipango mbalimbali ya utendaji kazi wa chama hicho.

Matokeo ni kama ifuatavyo:

 

Urais: Kura zilizopigwa 1682

    Tundu Lissu 1411  sawa na asilimia 88    Francis Stolla 64    Victoria Mandari 176    Godwin Mwapongo 64

==>Kwa upande wa nafasi ya Makamu wa Rais (TLS) mshindi ni Godwin Ngwilimi aliyekuwa Mwanasheria wa Tanesco na kutimuliwa kwa kupinga Escrow.

Council Members

    Jeremiah Motebesya    Gida Lambaji    Hussein Mtembwa    Aisha Sinda    Steven Axweso    David Shilatu    Daniel Bushele


News Alert: MKUU WA MKOA ANUSURIKA KUFA KWA KUGONGWA GARI AKIFANYA MAZOEZI ASUBUHI YA LEO


 




Watu wawili wamenusurika kifo baada ya gari dogo aina ya taxi kuwagonga wananchi waliokuwa katika mazoezi asubuhi ya leo Jumamosi Machi 18,2017 mjini Iringa huku mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza akinusurika.

Ajali hiyo imetokea nje ya lango la kamanda wa polisi mkoa dakika tatu tu baada ya kuanza mazoezi kuelekea uwanja wa Samora.

Ajali hiyo inadaiwa kusababishwa na uzembe wa dereva aliyekaidi amri ya askari wa usalama barabarani ambao walisimamisha gari hilo lililokuwa likitoka mwelekeo mmoja na wafanya mazoezi hao.

Majeruhi hao wamepata michubuko kiasi mwilini huku mkuu wa mkoa ambaye alikuwa karibu na majeruhi huyo hakuumia na gari hilo japo alikuwa karibu na majeruhi hao .

Majeruhi wamekimbizwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Iringa

Askari polisi wakiwa wamemkamata dereva taxi aliyesababisha ajali


Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza kulia akimtazama mmoja kati ya majeruhi waligongwa na gari asubuhi hui wakiwa katika mazoezi


 SOURCE:KAMANDA WA MATUKIO BLOG

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya March 18



VIDEO: Barakah Da Prince – Acha Niende [ DOWNLOAD mp4]

acha-niende-video-640x321



BOFYA HAPA CHI KUONA VIDEO HII
                    

                                                             download

Alichokisema Mange kimambi baada ya kupata taarifa kwamba anatafutwa na polisi



Katika hali inayoonesha kuwa taarifa 

zinavuja kwa kasi na ishara kuwa mange anakubalika kwa watu wengi hata ndani ya system hii leo mange amepost waraka anaodai kutumiwa na mtu toka ndani ya system.Waraka huo ulioandikwa siri unaelekeza baadhi ya maofisa wa mikoani kutoa taarifa haraka iwezekanavyo kwa vyombo husika pindi atakapoonekana maeneo ya mipakani ili akamatwe na kujibu kesi zinazomkabili.


VIDEO MPYA: PROFESSOR JAY – KIBABE

KibabeProfesa Jay ameachia rasmi video ya wimbo wake mpya ‘Kibabe’, iliyofanyika nchini na 

kuongozwa na muongozaji anayefanya vizuri katika tasnia hiyo hivi sasa, Hanscana.

Video inaonesha mazingira ya kuvutia ikiwa ni pamoja na eneo la mbuga za wanyama za

Mikumi, jimbo ambalo gwiji huyo amepewa dhamana na wananchi kuwa mbunge.



HII HAPA ITAZAME
 

Gallery

Popular Posts

About Us