KIMENUKAA!!! Mwanamke adai amezalishwa na Askofu GWAJIMA na baadaye kutelekezwa bila msaada..! | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday 18 March 2017

KIMENUKAA!!! Mwanamke adai amezalishwa na Askofu GWAJIMA na baadaye kutelekezwa bila msaada..!


Katika hali ya kushangaza leo katika kipindi kimoja cha redio Uhuru fm mwanamama mmoja kahojiwa na mtangazaji Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima JOSEPHAT GWAJIMA na baadaye katelekezwa.
Katika mahojiano hayo kasema yafuatayo..
👉Anasema yu tayari kupima DNA
👉Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.

BOFYA HAPA KUONA VIDEO 👉👉http://www.youtube.com/watch?v=CyE_kMv0gM4[/url]

Credit: JF

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us