KINGAZI BLOG: 05/06/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday 6 May 2017

President Kagame Challenger Diane Rwigara's Nude Photos Leak ...

Image result for Diane Shima Rwigara NUDES

35-year-old Diane Shima Rwigara who a few days declared her interest to run for the presidency ahead of Rwanda’s election later in the year is the talk of social media especially WhatsApp. 

According to Social media reports, Diane allegedly has naked pics that are leaking. They say, she did a NUDE photo shoot a few years back for her yet unknown lover and now the effects of the shoot are coming back to haunt her presidential ambitions.

Here are photos being alleged to be hers.

Picha za utupu za mgombea urais Rwanda zavuja mtandaoni

Baada ya siku chache Mrembo Diane Shima Rwigara kutoka Rwanda kutangaza kugombea urais nchini humo,hatimae akutwa na skendo ya kuvujisha picha zake za utupu mtandaoni.

Mrembo Diane 35, ambae ni msomi wa Uchumi na mtoto wa aliyekuwa tajiri maarufu nchini Rwanda Asinapol Rwigara, picha zake za utupu zilianza kusambaa mapema jana nchini Rwanda hususani kwenye mitandao ya kijamii kama WhatsApp na Facebook na baadae kutapakaa Duniani kote.

Kwa mujibu wa mtandao wa Habari Pevu umeeleza kuwa picha hizo zilitumwa awali kwa njia ya E-mail na mtu aliyejiita ni Muandishi wa habari aliyejulikana kwa jina la Twahirwa Emmy huku akishinikiza kuwa mrembo huyo hafai kuchaguliwa kuwa Rais kwa vitendo vyake  vichafu vya kupiga picha za utupu.



Hata hivyo Jitihada za kumpata mrembo huyo kuzungumzia picha hizo zilizovuja ziligonga mwamba baada ya waandishi wa habari nchini Rwanda kumsaka bila mafanikio.

Uchaguzi mkuu wa Rais nchini Rwanda unatarajiwa kufanyika mwaka huu mwezi wa Augosti, na mpaka sasa kuna wagombea watatu tuu ambao ni Mpayimana Philippe ambae ni mgombea binafsi na Franck Habineza kutoka chama cha Green pamoja na Diane Rwagira wote wakitarajiwa kuleta upinzani mzito kwa Rais Paul Kagame .

BREAKING NEWS:PICHA....Inasikitisha!! WANAFUNZI 20 WAFARIKI KWA AJALI KARATU

Arusha. Wanafunzi zaidi ya 20 wanahofiwa kupoteza maisha  katika ajali ya basi iliyotokea wilayani Karatu leo asubuhi.

Habahari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa basi hilo lilikuwa likitokea Arusha Mjini kuelekea katika Mbuga za wanyama.

 Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Therezia Mahongo amethibitisha tukio hilo.

Tutaendelea kukujuza zaidi kuhusu taarifa hii.














Machangudoa Wajilipua Kwa Rais Magufuli

DAR ES SALAAM: Kama mbwai na iwe mbwai! Ndivyo wanavyosema baadhi ya wasichana wanaojihusisha na biashara haramu ya kujiuza (machangudoa) sehemu mbalimbali jijini Dar wakimaanisha liwalo na liwe baada ya kuamua kujilipua kwa Serikali ya Rais Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ na kurejea barabarani kuendelea kujiuza kama zamani. 

Uchunguzi wa gazeti hili wikiendi iliyopita maeneo ya Kinondoni, Buguruni, Temeke, Manzese na mitaa mbalimbali ya Sinza jijini Dar ulibaini kuwa, machangudoa hao wamerejea upya barabarani baada ya kujificha kwa miezi kadhaa tangu walipopigwa marufuku kuifanya biashara hiyo. 

Kikosi cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publishers kiliwashuhudia wanawake hao na kufanya nao mahojiano juu ya kurejea barabarani ambapo walikuwa na maoni mbalimbali. Baadhi ya wanawake hao walifunguka kwa OFM kuwa, licha ya kupewa kashikashi na Jeshi la Polisi kwa kukamatwa na kupelekwa mahakamani, lakini hawawezi kuiacha ‘kazi’ hiyo kutokana na ugumu wa maisha. 

Kwa mujibu wa baadhi ya wanawake walionaswa na OFM maeneo ya Sinza-Mori, Dar, walisema biashara hiyo ndiyo maisha yao lakini Magufuli amewanyoosha kwa sababu hata hivyo, dili hizo kwa sasa hazina pesa. 

“Hatupendi kujiuza lakini tutafanyaje kwa sababu Magufuli ndiyo hivyo amebana, kama ni kutukamata acha tu tukamatwe hatuna jinsi. “Nani asiyependa kulala usiku na familia yake? Ukituona barabarani ujue hali ni mbaya, Magufuli alegeze kidogo basi,” alisema mmoja wa madadapoa hao. 

“Kwa hali hii ya Magufuli, kama ni ambushi tupo tayari potelea mbali maana maisha yenyewe ndiyo hayahaya, kama vipi waturudishe vijijini maana hatuwezi kufa njaa, bila kujiuza tutakula nini? “Potelea mbali acha tu watukamate tukale ugali wa bure jela,” alisema mwingine kwa kujiamini. 

Ijumaa lilimtafuta Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Simon Sirro ili kumuuliza kama jeshi hilo limesitisha oparesheni za kuwaondoa machangudoa jijini Dar lakini simu yake iliita bila kupokelewa. Gazeti hili linalishauri Jeshi la Polisi jijini Dar kurejesha zile oparesheni ambazo lilikuwa likizifanya kwani kwa namna moja ama nyingine kasi ya biashara hiyo ilipungua.

Harmonize- Natamani kuwa na mtoto kama wenzangu wa WCB

Jina lake limeendelea kutajwa zaidi baada ya kusemekana kwamba yeye ni Baba mtarajiwa kutokana na fununu za ujauzito alionao mpenzi wake ambaye ni Mzungu….. LEO TENA ya CloudsFM imemdaka na kumuuliza maswali haya 10 na akayatolea majibu.

'Natamani kuwa na mtoto kama wenzangu wa WCB lakini kusema ukweli mimi sio baba kijacho kama inavyosemekana'-Harmonize 

'Mimi kama meneja wa Harmonize nilikuwa namshauri atulie tu maana Wolper anampenda ndio ushauri wangu kwake'-Ricardo Momo 

'Kwangu Wolper atabaki kama Mwanamke ambaye alikuwa ananishauri vitu vingi vizuri sina neno naye kabisa'-Harmonize 

'Mwanamke ambaye nataka kuwa naye kwa sasa napenda awe mzuri, mstaarabu kuhusu umri wowote tu sina tatizo'-Harmonize 

'Siko kwenye mahusiano kwa sasa ni kweli nimeachana na Wolper'-Harmonize 

'Kusema ukweli nilikuwa na malengo na Wolper lakini ndio hivyo imeshatokea siko naye tena'-Harmonize 

'Mama yangu alikuwa anajua Wolper ni mpenzi wangu lakini sikuwahi kumtambulisha nyumbani kwetu'-Harmonize 

'Sikwenda kumtambulisha Wolper nyumbani kwetu nilikuwa naenda kwenye show Mtwara'-Harmonize 

'Mimi na mshukuru sana mungu kwasababu account yangu ya youtube kwa mwezi ninalipwa zaidi ya mil 5'-Harmonize 

'Sijasema kuwa Woper amenikosea wala mimi sijamkosea sema tumeachana tu kwa amani'-Harmonize 

Dada wa kazi auawa kwa kisu, DSM

Katika hali isiyo ya kawaida dada wa kazi aliyetambulika kwa jina la  Christina Mabuga (37), amekutwa ameuawa ndani ya chumba chake, huko Moshi Baa, Gongo la Mboto, Dar es Salaam kwa kujichoma kisu kifuani.

Jeshi la Polisi katika mkoa wa kipolisi Ilala limethibitisha kutokea kwa tukio hilo, lililofanyika katika nyumba ya mwajiri wa dada huyo wa kazi, ambapo mpaka sasa haijafamika chanzo cha dada huyo kujiua.


Mwajiri wa binti huyo, Anna Kasanda alisema alipokea taarifa saa 9:00 alasiri kwamba kuna tatizo nyumbani kwake, na ndipo alipoamua  kurudi nyumbani na kukuta mfanyakazi huyo amejiua.

Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

Upelelezi wa Yule Binti aliyejitosa baharini umefikia hapa...

Wakati Polisi Zanzibar ikisema imekamilisha kumhoji msichana aliyejitosa Bahari ya Hindi eneo la Chumbe alipokuwa akisafiri na boti ya Kilimanjaro (V) kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar, mtaalamu anasema binti huyo amethirika kisaikolojia ni bora angeachwa apumzike.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Hassan Nassir Ali aliliambia gazeti hili jana kuwa, msichana huyo anayesoma kidato cha tatu Sekondari ya Glorious na watu wengine wameshahojiwa kuhusu tukio hilo la Aprili 3.

Hassan alisema miongoni mwa walihojiwa ni wanafamilia, msichana huyo na manahodha wa boti ya Kilimanjaro ambao walimuokoa.

Alisema polisi imepata taarifa kamili juu ya tukio hilo, hivyo wakati wowote jalada litafikishwa ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kwa hatua zaidi za kisheria.

Kamanda Hassan alisema kazi kubwa ya polisi ilikuwa ni kufanya utafiti wa awali juu ya tukio hilo, kujua historia ya msichana huyo.

Msichana huyo alihojiwa na polisi baada ya daktari aliyefanya uchunguzi wa afya yake katika Hospitali ya Kidongo Chekundu, kuruhusu baada ya kuridhika na hali yake kuimarika.

Hata hivyo, Mratibu wa Huduma za Afya Mjini Unguja, Suleiman Abdi Ali aliyemhudumia msichana huyo alibainisha kuwa aliathirika kisaikolojia baada ya tukio hilo, hivyo isingekuwa vyema kwa polisi au ndugu na jamaa kumhoji.

Mama mdogo wa msichana huyo, Asha Saleh Manzi akizungumza na gazeti hili jana, alisema hali ya afya ya mtoto wao si nzuri tangu tukio la kujirusha baharini.

Asha alisema kutokana na hali hiyo ya afya, wamemsimamisha kwenda shule ili apate tiba zaidi.

Alisema wametumia dawa za hospitali kama yalivyo maagizo ya daktari, lakini amekuwa akiweweseka na kuna wakati hutoka ndani na kukimbilia baharini.     

Klabu ya Man City yafungiwa Usajili Miaka miwili

KLABU ya Manchester City imefungiwa kwa miaka miwili kusajili wachezaji wa umri chini ya miaka 18 sambamba na kutozwa faini ya Pauni 300,000 na Bodi ya Ligi Kuu England kwa kuvunja sheria ya maendeleo ya vijana.

Uvunjaji huo wa sheria unahusu kufanya mazungumzo na wachezaji wawili wa akademi tofauti kwa ajili ya kuwasajili huku wakiwa wamesajiliwa na klabu nyingine. 

Adhabu hiyo ni sawa na waliyopewa Liverpool mwezi uliopita baada ya kukutwa na hatia ya 'kuiba' mchezaji mwanafunzi wa shule wa Stoke City.

Kufuatia uchunguzi wa Bodi ya Ligi Kuu, ushahidi umepatikana kwa City ambao wamevunja sheria za Ligi.

Kuwasilia na mchezaji wa akademi yoyote akiwa amesajiliwa na klabu yake ya wakati husika ni kosa, ambalo City wamefanya na sasa linawagharimu. 

"Niliamini Sitamuona Tena Roma" -Mke wa Roma


Nancy Mshana mke wa Roma amefunguka na kusema alikata tamaa juu ya mume wake, ambaye alitekwa na kupotea kwa siku kadhaa bila kufahamika alipokuwa licha ya jitihada zilizokuwa zikifanyika na watu wake wa karibu na vyombo vya usalama bila mafanikio.

Nancy Mshana akimlisha keki mume wake Roma Mkatoliki, katika siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake.

Nancy alisema hayo katika siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake na kudai hakutegemea tena kama angekuwa na mume wake huyo katika siku hiyo ila anashukuru kwa uwezo wake Mungu ambaye alitenda miujiza na kufanya mume wake kupatikana. 

"Ilifika wakati nilikata tamaa na kuamini kuwa sitakuwa na wewe katika sikukuu ya kumbukumbu yangu ya kuzaliwa ya mwaka huu!! Lakini Mungu Baba wa Mbinguni akasema 'NO'" alisema Nancy 

Mbali na hilo rapa Roma Mkatoliki ambaye sasa anaendelea vyema na hali yake kuzidi kuimarika zaidi kufuatia majeraha aliyopata wakati alipotekwa, anasema ameamua sasa kuendelea na maisha yake ya muziki kama kawaida hivyo mashabiki wasishangae kumuona stejini muda wowote kuanzia sasa.

NAFASI YA KAZI KATIKA SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM: DAR ES SALAAM STOCK EXCHANGE PLC(DSE)

Information and Communication Technology (ICT) Systems & Security Manager at The Dar es salaam Stock Exchange PLC

CAREER OPPORTUNITY

The Dar es Salaam Stock Exchange PLC (DSE) is a company limited by shares and is self-listed in the Dar es Salaam Stock Exchange.

The principal activity of the DSE is, among others, to provide a regulatory and infrastructure platform for listing of financial securities and trading of listed securities.

In order to enhance its governance and operational efficiency, DSE is looking for a qualified candidate to fill the position ofInformation and Communication Technology (ICT) Systems & Security Manager and thus inviting applications as per details below:

Reporting:
This is a Managerial position as per the DSE establishment, the ICT Systems & Security Manager will be reporting to the Chief Executive Officer.

Duties and Responsibilities:
The DSE is looking for an ICT Systems & Security Manager to be responsible and accountable for the smooth running and reliance of ICT systems within the limits of requirements, specifications, costs and timelines. In particular, the position holder will be required to:

develop and maintain IT security framework that guides DSE planning and implementation of information security control;develop and maintain adequate ICT policy documentation;ensure the existence of adequate planning of ICT systems and security;oversee maintenance of software and computer hardware systems including preparing schedules for software upgrades and hardware maintenance;assess and ensure that the performance of installed ICT infrastructure, application systems, operating systems and hardware equipment meet the accepted operational parameters;advise DSE on the appropriate technologies to adopt during the acquisition of software systems, computer hardware and other technological accessories;review work performance of ICT staff including offering users appropriate support and advice in line with organizational objectives;evaluate user needs and system functionality and ensuring that DSE’s ICT facilities meet these needs;planning, developing and implementing the ICT budget and other related resources;planning and design disaster recovery plans for the ICT and ensure business continuity;ensure DSE is keeping up to date with the latest technologies;perform such other duties as may be assigned by the Chief Executive Officer from time to time.Qualifications:
The candidate must be a Holder of first Degree in either computer science, ICT or information systems security and Master’s degree in one of these areas: computer science, information technology, ICT systems security or equivalent qualification with at least five years, three of which at a senior level, post qualifying working experience in IT related area from a reputable institution.

Remuneration:
Attractive remuneration package will be offered as per the DSE pay structure.

Mode of Application
All interested candidates are required to apply by attaching to their application: current curriculum vitae (CV), copies of academic certificates and transcripts, full addresses including contact phone number, email address and two reference letters from referees who can testify to the applicant academic abilities, working experience and character.

 Applications should be sent:

Chief Executive Officer,

Dar es Salaam Stock Exchange PLC

14th Floor, Golden Jubilee Towers, Ohio Street 

P. O. Box 70081

DAR ES SALAAM

Deadline for applications is on 26th May 2017 at 3.00 p.m.  Only short-listed candidates will be contacted for interview.

The vacancy is also available on DSE’s website: www.dse.co.tz

TOP STORIES ON TODAY'S NEWSPAPERS

BASHITE Amkanganya Waziri wa Magufuli Bungeni..Habari Vichwa vya Magazeti vya Leo Jumamoi ya Tarehe 6/5/2017..!!!



 

Gallery

Popular Posts

About Us