BREAKING NEWS:PICHA....Inasikitisha!! WANAFUNZI 20 WAFARIKI KWA AJALI KARATU | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday 6 May 2017

BREAKING NEWS:PICHA....Inasikitisha!! WANAFUNZI 20 WAFARIKI KWA AJALI KARATU

Arusha. Wanafunzi zaidi ya 20 wanahofiwa kupoteza maisha  katika ajali ya basi iliyotokea wilayani Karatu leo asubuhi.

Habahari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa basi hilo lilikuwa likitokea Arusha Mjini kuelekea katika Mbuga za wanyama.

 Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Therezia Mahongo amethibitisha tukio hilo.

Tutaendelea kukujuza zaidi kuhusu taarifa hii.














google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us