MASHAMBULIO MATATU YA KIGAIDI YATOKEA MAREKANI NDANI YA SAA 24 | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday 19 September 2016

MASHAMBULIO MATATU YA KIGAIDI YATOKEA MAREKANI NDANI YA SAA 24


Jumapili na Jumamosi kumetokea mashambulio matatu katika ardhi ya Marekani – bomu lililolipuka Manhattan, watu kuchomwa kisu huko Minnesota na bomu kulipuka kwenye bomba la maji huko New Jersey.
Kuna uhusiano mkubwa na tukio la kigaidi huku watu watano wakikamatwa New York. Bomu lililolipuliwa makusudi huko New York limejeruhi watu 29.
Mamlaka zimedai kuwa hakuna ushahidi iwapo matukio hayo yalikuwa na uhusiano lakini kutokea ndani ya saa 24 kumesababisha hofu za usalama, kitu ambacho tayari kimekuwa muhimu kuzingatiwa katika mchuano wa urais kati Hillary Clinton na Donald Trump.Bomu la pili liligundulika karibu na eneo hilo na polisi walifanikiwa kulitegua.Kwa upande mwingine mtu aliyewachoma kisu watu tisa kwenye mall huko Minnesota Jumamosi, aliuawa na polisi ambaye hakuwa kazini. Mtu huyo amedaiwa kuwa mwanajeshi wa kundi la Islamic state.
Jiunge na Bongo5.com sasa

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us