Picha: Raymond aonyesha mjengo anaoishi | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday 17 September 2016

Picha: Raymond aonyesha mjengo anaoishi

Nyumbani kwa Rayvany WCB

Ndoto ya wasanii wengi ni kupata maisha bora, nyumba mzuri pamoja na magari ya kifahari. Mkali wa wimbo ‘Natafuta Kiki’ Raymond ‘Rayvanny’ ameonyesha mafanikio aliyopata ndani ya muda mfupi.

Muimbaji huyo ambaye anajiandaa kwenda kwenye show nchini Burundi akiwa na wasanii wenzake wa WCB, ameonyesha nyumba anayoishi na gari ambalo atalitumia kwa sasa.

“Daaah! eti namimi leo naingia kwangu, kweli Mungu hana upendeleo,” Rayvanny aliandika ujumbe huu instagram katika hiyo picha hapo juu.

Toka Rayvanny ajiunge na WCB, ameshafanya nyimbo mbili, ‘Kwetu’ pamoja na ‘Natafuta Kiki’ ambazo zimpatimia mafanikio makubwa kwa muda mfupi.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us