List of first year Continous students of University of Dar es salaam who have been allocated to loans in 2016/17 | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday 26 October 2016

List of first year Continous students of University of Dar es salaam who have been allocated to loans in 2016/17

Image result for udsm tanzania
TAARIFA KWA UMMA

Wizara ya Mikopo Chuo Kikuu Dar es salaam imekuwa ikifuatilia malipo ya fedha mbali mbali kwa wanafunzi na inawatangazia wanafunzi wote kuwa mnaombwa leo mpaka kufikia
saa 4 subuhi muwe mmeangalia mpangilio wa majina yenu na namba ya kusaini iliyopo kwenye karatasi za malipo ya Mafunzo kwa Vitendo na mgawanyo wa malipo ya fedha za kujikimu pamoja na ada kwa mwaka mzima ambazo zilibandikwa wiki iliyopita kwani muda huo ukifika tutaondoa karatasi zote na kubandika karatasi zifuatazo:

1. karatasi za malipo ya malazi na chakula kwa wanafunzi wanaoendelea.

2. Malipo ya ada kwa awamu ya kwanza na ya pili kwa Ndaki, Shule na Taasisi mbalimbali kwa wanafunzi wanaoendelea.

3. Malipo ya fedha za Mafunzo kwa Vitendo kwa wanafunzi wanaoendelea ambao hawakupata fedha zao (CoHU na SJMC).

MAJINA YOTE YANAPATIKANA

http://Updatesudsm.weebly.com

Pia, Wizara inawakumbusha wanafunzi wanaoedelea kwenda kusaini fedha za Mafunzo kwa Vitendo ambazo ziliingizwa kwenye akaunti za wanafunzi kipindi cha mafunzo hayo; Karatasi zimeshabandikwa muda mrefu sana na leo zitaondolewa ili kupisha karatasi za malipo mengine zibandikwe. Mwanafunzi yoyote ambae hatasaini karatasi za malipo hayo, atafungiwa mkopo wake mara moja na atalazimika kurudisha fedha zote alizopokea kwa kipindi chote cha nyuma mara tu baada ya kufungiwa mkopo huo.

Wizara ya Mikopo imepanga kufuatilia mambo yafuatayo siku ya kesho na tutarudisha mrejesho.

1. Malipo yote ambayo hayajafanyika mpaka sasa mfano fedha ya Mafunzo kwa Vitendo na mengine

2. Karatasi zilizobaki za wanafunzi wanaoendelea (CONTINOUS STUDENTS) za malipo yote na karatasi hazijafika kwasababu matokeo yao yalikuwa hayajapelekwa Bodi ya Mikopo kwakuwa walifanya mitihani ya sapu ama mitihani maalumu.

3. Uongezaji wa majina mengine ya mwaka wa kwanza kwani mpaka sasa bado hayajafikia lengo yaani majina ni machache

4: Karatasi za mgawanyo wa fedha za kujikimu na ada kwa mwaka wa kwanza

5. Kuhusu suala la usainishaji wa karatasi zenye malipo ya fedha za chakula na kujikimu na kutumia kitambulisho kipya, bado tunawasiliana na utawala ili tutumie vitambulisho vya zamani na vitambulisho vya muda kwa pamoja kama vitambulisho vya kusainia kwani mpaka sasa hakuna vitambulisho vipya vilivyotolewa (hili litafuatiliwa kwa haraka sana leo hii)

Pia Wizara ya Mikopo inashukuru kwa ushirikiano wenu na kuwa wavumilivu kwa kipindi kigumu kilichotokea pia shukrani sana kwa viongozi wote tulioshirikiana katika kuwatetea mwaka wa kwanza; Ofisi ya Rais DARUSO, Ofisi ya Waziri Mkuu, Ofisi ya Spika DARUSO, Muhimili wa Mahakama DARUSO na Wanafunzi wote kwa ujumla

MUHIMU
Usainishaji wa karatasi za Mafunzo kwa Vitendo utafanyika kwa KITAMBULISHO CHA ZAMANI

Imetolewa na Wizara ya Mikopo kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano, Mambo ya Nje na Jumuiya za Wanafunzi.

Kasunzu Eliud Apolinary
0658202828

Mahmud Abdul Nondo
0656366125

Makupa Erick Christian
0655191254
casfr_meals_and_accomodarion-1.pdf
Download File

casfr_meals_and_accomodarion.pdf
Download File

iks_meals_and_accomodation.pdf
Download File

pt_sjmc.pdf
Download File

ids_meals_and_accomodation..pdf
Download File

cohu meals and accomodation.pdf

coict_meals_and_accomodation_2.pdf
Download File

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us