Shirika lingine la Ndege duniani lapiga marufuku Galaxy Note 7 Shirika la ndege la Uturuki la Turkish Airlines lapiga marufuku kwa wasafiri wake kutumia Galaxy Note 7 katika ndege zake. | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday 24 October 2016

Shirika lingine la Ndege duniani lapiga marufuku Galaxy Note 7 Shirika la ndege la Uturuki la Turkish Airlines lapiga marufuku kwa wasafiri wake kutumia Galaxy Note 7 katika ndege zake.


Shirika la ndege la Ujerumani la Lufthansa kwa upande wake lilipiga marufuku Jumanne  matumizi ya smartphones Galaxy Note 7 za Samsung katika ndege zake.

Shirika la ndege la Uturuki la Turkish Airlines limefahamisha pia kwa upande wake Ijumaa kuwa linapiga marufuku Galaxy Note 7 katika ndege zake kwa kuhofia ya kwamba zinaweza kusababisha moto kuzuka.

Hatuo hiyo imechukuliwa kutokana na hitilafu katika betri la simu aina ya Samsung Galaxy Note 7.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us