USIPITWE NA HII!!!! WAUMINI WA KANISA WAKATWA SEHEMU ZAO ZA SIRI ILI WAMUONE MUNGU | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday 29 October 2016

USIPITWE NA HII!!!! WAUMINI WA KANISA WAKATWA SEHEMU ZAO ZA SIRI ILI WAMUONE MUNGU

Image result for Gurmeet Ram Rahim Singh
Ishu ya imani ni ya mtu binafsi na kila mtu ana uwezo wa kuamini kile anachoona ni sahihi kwa mtazamo wake na mtu anapotokea kumuamini kiongozi wake wa dini kwa asilimia kubwa hutekeleza yale anayofundishwa.Sasa hii ya leo inamuhusu mhubiri maarufu wa dini India

Image result for gurmeet ram rahim
Akiwa katika moja ya mafundisho yake
ambaye ana wafuasi zaidi ya milioni hamsini duniani.
Image result for gurmeet ram rahim

Gurmeet Ram Rahim Singh anakabiliwa na mashtaka ya kusababisha majeruhi kwa tuhuma za kuwashawishi wafuasi wake 400 kukata sehemu zao za siri ili waweze kuwa karibu na Mungu.
HII HAPA VIDEO YAKE KATIKA MOJA YA MAHOJIANO ALIYOWAHINKUFANYA NA KITUO KIMOJA CHA TELEVISION.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us