Viwango vya nauli za ndege vyatangazwa | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday 5 October 2016

Viwango vya nauli za ndege vyatangazwa


Baada ya kumalizika kwa ofa iliyokuwa imetangazwa na shirika la ndege Tanzania (ATCL), Nauli halisi zitakuwa kama ifuatavyo;-


Dar es Salaam – Mwanza kwenda ni shilingi 160,000 hivyo kwenda na kurudi ni shilingi 320,000.
Dar es Salaam – Kigoma kwenda ni shilingi 395,000 hivyo kwenda na kurudi ni shilingi 610,000.
Dar es Salaam – Arusha kwenda ni shilingi 180,000 hivyo kwenda na kurudi 360,000.
Arusha – Zanzibar kwenda ni shilingi 249,000.
Zanzibar – Dar es Salaam ni shilingi 123, 000.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us