Wasouth wamkumbuka Lucky Dube leo | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday 18 October 2016

Wasouth wamkumbuka Lucky Dube leo

Aliyekuwa mwanamuziki mashuhuri duniani, Lucky Dube wakati wa uhai wake 

Siku kama ya leo, Oktoba 18 mwaka 2007, mwanamuziki mashuhuri duniani, Lucky Dube alifariki dunia. Katika kumbukizi ya kifo hicho, Waziri wa Sanaa na Utamaduni, Natji Mthethwa amewataka raia wa Afrika Kusini kumkumbuka mwanamuziki huyo kwa kumuombea.

“Leo tunatoa heshima zetu kwa mwanamuziki huyu, muziki wake uliwaguza mamilioni ya watu duniani,” amesema

Mthethewa aliendelea na kumpongeza Dube akisema kuwa muziki wake ulianza tangu kipindi cha Apartheid.

Dube aliuawa kwa kupigwa risasi eneo la Rosettenville, Johannesburg.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us