JINSI BIBLIA INAAVYOSEMA KUHUSU MAMBO MBALIMBALI MAOVU YANAYOTUKIA SASA HIVI KA | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday 3 November 2016

JINSI BIBLIA INAAVYOSEMA KUHUSU MAMBO MBALIMBALI MAOVU YANAYOTUKIA SASA HIVI KA

Kitabu cha Biblia kinaeleza waziwazi huu uchafu unaofanywa
na binadamu kama matendo ya ushoga,kutembea na binamu
yako pamoja na wake za watu,kupitia vifungu vifuatavyo :
USHOGA NA ULAJI TIGO MAMBO YA WALAWI 20:13 Tena mtu
mume akilala pamoja na mtu mume,kama alalavyo na mtu
mke,wote wamefanya machukizo hakika watauwawa
KUTEMBEA NA MKE/MUME WA MTU MAMBO YA WALAWI
20:10 Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine,na
mwanamke aziniye na mtu mume hakika watauwawa
NA WALE MNAOKULA KUKU NA MAYAI YAKE [MAMA NA
MWANA] MAMBO YA WALAWI 20:12 Na mtu mume akilala na
mkwewe mwanamke wote wawili hakika watauwawa,Tena
mtu mume akimuoa mke pamoja na mama yake ni uovu mkuu
WALE WANAOTEMBEA NA WANYAMA MAMBO YA WALAWI
20:15 Tena mtu mume akilala na mnyama, na mwanamke
akimkaribia mnyama yeyote na kulala pamoja naye,mtamwua
huyo mwanamke
KUTEMBEA NA BINAMU YAKO MAMBO YA WALAWI 20:19
Usifunue utupu wa umbu la mama yako wala umbu la baba
yako

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us