Tazama Salamu zisizokuwa za kawaida nchini Cameroon | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday 13 December 2016

Tazama Salamu zisizokuwa za kawaida nchini Cameroon

 Pierre Ismael Bidoung Mpkatt akimsalimia Paul Biya

Tangu waziri wa michezo nchini Cameroon Pierre Ismael Bidoung Mpkatt ainame wakati akimsalimia rais wa nchi hiyo Paul Biya, picha hizo zilisambaa mitandaoni.

Watu nchini Cameroon wamekuwa wakiiga picha hizo na hata kuifanyia mabadiliko.

 Salamu zisizokuwa za kawaida Cameroon

Mfano mwingine ulibuniwa.

 Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Huyu naye alishuka hata chini Zaidi.

 Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Huyu jamaa naye aliamua kushuka.

 Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Je umeiona hii?

 Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

 Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Na hata mbuzi huyu alishirikishwa ambaye picha yake iliwekaa mtandao wa Facebook.

Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Wanyama pia walishiriki.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us