BREAKING NEWS: UPDATED HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2016. TUMEKUWEKEA HAPA LINK AMBAZO ZINAFUNGUKA HARAKA . | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday 31 January 2017

BREAKING NEWS: UPDATED HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2016. TUMEKUWEKEA HAPA LINK AMBAZO ZINAFUNGUKA HARAKA .

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2016 ambapo umefaulu wa jumla umeongezeka kwa 2.56% kutoka 67.53% mwaka 2015 hadi 70.09% mwaka 2016.

Katibu Mtendaji wa barza hilo, Dkt Charles Msonde amesema kati ya wanafunzi 408,372 waliofanya mtihani, jumla ya wanafunzi 277,283 wamefaulu, wakiwemo wasichana 135,859 sawa na asilimia 67.06 na wavulana 141,424 sawa na asilimia 73.26.

Kwa upande wa watahiniwa wa shule, Dkt Msonde amesema kuwa 244,762 sawa na asilimia 70.35 ya waliofanya matihani wamefaulu ikilinganishwa na wanafunzi 240,996 sawa na asilimia 67.91 waliofaulu mwaka 2015.

Kwa upande wa ubora wa ufaulu, amesema watahiniwa wa shule wenye ufaulu mzuri wa Daraja la kwanza hadi la tatu ni 96,018 sawa na asilimia 27.60 


>>>BONYEZA HAPA KUONA MATOKEO

 YAKO YOTE <<<..

>>>FOR QT RESULT BONYEZA HAPA..



<<<<


 Ukihitaji msaada wa kuangaliziwa matokeo yako

 kwa haraka zaidi ndani ya dakika 2 tu tuma 

meseji kwenda namba hizi 

0716528779 au 0755542721

pia whatsapp kwa namba hii 0716528779

gharama ni sh 1000/= tu

tunafanya kazi yetu kwa Uaminifu zaidi na

 umakini.


KUMBUKA!!!!! UKISHAONA JINA LAKO MWAMBIE NA 

MWENZAKO PIA AINGIE KWENYE LINK HIZO AU 

ATEMBELEE BLOG HII

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us