Karoti na tangawizi vinavyoweza kukuondolea upungufu wa nguvu za kiume | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday 9 January 2017

Karoti na tangawizi vinavyoweza kukuondolea upungufu wa nguvu za kiume

Juisi ya karoti na mchanganyiko wa tangawizi huupatia mwili vitamin A, K, ambazo kwa pamoja husaidia na kulinda afya zetu.

Uwepo wa tangawizi ndani ya juisi hii umekuwa ukiifanya juisi hii kuwa suluhisho la matatizo ya kukatika kwa nywele na kuzifanya kuwa imara zaidi.Hivyo ni juisi nzuri kwa wanawake wanaopenda urembo wa nywele.

Hukinga dhidi ya saratani, matumizi ya juisi ya karoti yenye mchanganyiko wa tangawizi husaidia sana kuukinda mwili dhidi ya matatizo ya saratani za aina mbalimbali kwani husaidia kuua seli zinazoweza kuchangia matatizo ya saratani.

Huimarisha kinga za mwili, juisi hii pia husaidia kuimarisha kinga za mwili kutokana na kuwa na vitamin A ndani yake hivyo kumfanya mhusika kutozongwa na magonjwa ya mara kwa mara.

Hulinda meno na fizi, karoti pekee yake kwanza inatosha kwa kuwa mlinzi mzuri wa kinywa, hivyo matumizi ya glasi moja ya juisi ya karoti iliyochanganywa na tangawizi baada ya kula husaidia sana kulinda afya ya kinywa kwa ujumla.

Pamoja na hayo, pia huweza kuongeza nguvu za kiume kutokana na kuwa na tangawizi ndani

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us