MAMBO HAYA UKIYAFANYA UTAPONA VIDONDA VYA TUMBO HARAKA | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday 11 January 2017

MAMBO HAYA UKIYAFANYA UTAPONA VIDONDA VYA TUMBO HARAKA


Tatizo la vidonda vya tumbo si geni sana kwa watu kadhaa hapa nchini hata kama halijawahi kukupata wewe basi huenda rafiki yako au jirani utakuwa umewahi sikia akizngumzia.

Sasa hapa leo napenda kukwambia mambo kadhaa ambayo ukiyafanya yanaweza kukuweka mbali dhidi ya tatizo hilo au kupunguza madhara ya tatizo hilo.

1. Kuepuka kula mlo mkubwa kwa wakati mmoja na badala yake unaweza kula mara nyingi lakini kidogo kidogo. Hii itakusaidia upunguza madhara ya tatizo hilo.

2. Epuka kula muda mchache kabla ya kuelekea kulala na badala yake unapaswa kujitahidi kula angalau saa 3 hadi 4 kabla ya kuelekea kulala.

3.Acha kupuuza unywaji wa maji mengi, jaribu kunywa maji ya kutosha kila siku hii hupunguza dalili za tatizo hilo.

4. Punguza msongo wa mawazo kwani mawazo huchangia uzalishaji wa asid nyingi tumboni na baadaye kusababisha vidonda hivyo vya tumbo.

5. Acha kabisa kuvuta sigara na kunywa pombe ili kupunguza madhara ya tatizo hilo.

Kwa maelezo zaidi na ushauri tupigie kwa simu namba 0716 300 200/ 0769 400 800/ 0784 300 300 au barua pepe dkmandaitz@gmail.cm

Ushauri huu umetolewa chini ya Shirika lisilokuwa la Kiserikali la The Work Up Tanzania (WUTA) ambalo linadhamira ya dhati ya kupambana na umasikini, ujinga na maradhi kwa kuhamasiha matumizi ya lishe bora. Pia unaweza kufika ofisini kwetu Ukonga Mongolandege jijini Dar es Salam kwa ushauri zaid.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us