AGNES MASOGANGE NAYE AKAMATWA NA POLISI AKIHUSISHWA NA SAKATA LA DAWA ZA KULEVYA. | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday 15 February 2017

AGNES MASOGANGE NAYE AKAMATWA NA POLISI AKIHUSISHWA NA SAKATA LA DAWA ZA KULEVYA.

Image result for masogange agnes

Habari zilizoenea ni kwamba maarufu kwa sababu ya Umbo lake , anayefahamika kaama Agness Masogange tayari amekamatwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kujihusisha na biashara haramu madawa ya kulevya na tayari yupo kituo kikuu cha polisi ya Central kwa mahojiano ambayo yamedumu kwa saa 10 na bado akishikiliwa kwa uchunguzi na polisi.

Ikimbukwe kuwa Mrembo huyo alishawahi kukamatwa katika uwanja wa ndege wa Oliver tambo South Afrika kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya alizokutwa nazo kwenye mizigo aliyokuwa nayo na yeye kujitetea kuwa yeye hajui lolote ila huo ni mzigo aliyoagizwa na mtu asiyemfahamu kwa jina ila anamfahamu kwa  Sura. 

Kukamatwa kwake kunatokana  kampeni nzito inayoongozwa na mkuu wa mkoa wa Dar, Paul Makonda akishirikiana na Jeshi la polisi kutokomeza dawa za kulevya pamoja na biashara hiyo kwa ujumla hapa Tanzania

Hivi ndivyo makalio ya kichina yanavyotengenezwa

DOWNLOAD

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us