Diamond, Alikiba na Navy Kenzo Washinda Tuzo za Hipipo za Uganda..!!! | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday 6 February 2017

Diamond, Alikiba na Navy Kenzo Washinda Tuzo za Hipipo za Uganda..!!!


Diamond Platnumz, Alikiba na Navy Kenzo wameshinda tuzo za Hipipo 2017 zilizotolewa Jumamosi hii nchini Uganda.

Kwenye tuzo hizo, Navy Kenzo walitumbuiza.

Hizi ndizo tuzo walizoshinda wasanii hao:

East Africa Best Video – Salome by Diamond Platnumz ft Ray Vanny

East Africa Best New Act – Navy Kenzo

East Africa Super Hit – Unconditional Bae by Sauti Sol & Alikiba

Song of the Year Kenya – Unconditionally Bae by Sauti Sol & Alikiba

Song of the Year Tanzania – Aje by Alikiba

Quinquennial Africa Music Vanguard Award – Diamond Platnumz

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us