Maajabu ya mwaka!!! Auawa Kwa Kutopiga Mswaki. | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday 5 February 2017

Maajabu ya mwaka!!! Auawa Kwa Kutopiga Mswaki.


IRIS HERNANDEZ-RIVER (20) mwanamke mkazi wa Gaithersburg, Jimbo la Maryland, Marekani, alimwua binti yake, Nohely Alexandra Martinez Hernandez mwenye umri wa miaka minne kwa kutopiga mswaki.

Mama huyo alikasirishwa na kitendo hicho jana ambapo alimpiga teke la tumboni binti yake huyo na kusababisha binti huyo kudondoka na kugonga kichwa chake ukutani.

Ilimchukua Iris muda wa saa moja kupiga namba 911 ili binti yake apatiwe msaada ambapo Nohely alifikishwa hospitali akiwa mahututi na baadaye kufariki jana hiyo hiyo.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us