MAKOSA WANAYOYAFANYA WANAUME KILA SIKU WAKATI WA TENDO LA JIMAI (TENDO LA NDOA) | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday 20 February 2017

MAKOSA WANAYOYAFANYA WANAUME KILA SIKU WAKATI WA TENDO LA JIMAI (TENDO LA NDOA)

*# Moja:*

Mume kutofahamu sehemu zenye hisia kali kwa mke wake......
Inafahamika wanawake wote kwa ujumla kuna sehemu zao za hisia kali zaidi wakichezewa. Hata ivo athari ya hisia na mihemko hutokana ufahamu wa mume ktk sehem husika za mkeo na pia umaridadi wa mume anavo zishulikia sehem izo ..na kuna wengine husisimka zaidi wakishikwa sehemu fulani ukilanganisha na wengine nao sehemu zingine ndio husisimka zaidi.Hivyo ni juu yako mume kutambua na kujua sehemu zenye kumuamsha mkeo zaidi.wanasema raha ya kumpatia mwenza wako jua udhaifu wa hisia zake ziko wapi ili uziamshe.
*# Mbili:*✍🏾

Mume kutofahamu namna ya kuzichezea sehem izo zenye hisia kali..hapa nakusudia...Ifahamike baada ya kuzifaham sehemu za hisia kali kwa mkeo hapo  umaridadi wa hali ya juu unaitajika ili kuziamsha hisia zake mke na hatimae kuzitendea haki sehemu na kupata majibu chanya yenye kuashiria unampatia..Hivyo ni juu yako mume kuhakikisha unajua namna ya kuzichezea sehem izo za hisia.
*#Tatu:* ✍🏾

Mume kuharakisha kuingilia kutokana na pupa, haraka na kiu yake. Bila kutambua kuwa  mwanamke anaitaji mda wa kutosha wa kuchezewa ili awe tayari kuingiliwa na hatimae kufurahia tendo. Hivyo ni juu yako mume  kuepuka ilo kwa kuacha hara zako na badala yake tulie, jipange kutoa huduma kwa umahiri na ubunifu  wa hali ya juu.
*#Nne:*✍🏾 

Mume kuwahi kufika mshindo uku mke akiwa bado kabisa hajafanywa akatoshelezeka nae akafika kunako. Halii hii humfanya mke kukosa furaha ya tendo na kubaki njia panda huku raha ya tendo akiwa anaskia tu kama stori kwa wenzake wanao fikishwa kunako. Hivyo mume chunga ilo hakikisha mke anafika kwanza kabla yako...
*#Tano:*✍🏾

Mume kushindwa kutatua madhaifu yake fulani ambayo mara zote humfnaya asishiriki tendo kikamilifu.mfano tatizo la kuwahi kufika kabla ya mke, ukosefu wa mazoezi pia ukosefu wa mlo asilia wenye nishati nguvu ya kuuweka mwili fiti.Hivyo ni vema mume kutafuta njia stahiki ya kutatua tatizo fulani kama unalo. Kama huna basi jua namna ya kuwa maridadi kwa mkeo na namna ya kumtibu mkeo kitandani.

IMEANDALIWA KWA MSAADA WA MTANDAO
WHATSAPP GROUP : DARASA LA MAFUNZO.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us