Kauli ya kwanza Ya Nape Nnauye Baada ya kutumbuliwa ...na pia kuhusu taarifa kukamatwa kwake. | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday 23 March 2017

Kauli ya kwanza Ya Nape Nnauye Baada ya kutumbuliwa ...na pia kuhusu taarifa kukamatwa kwake.


Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli leo kutengua uteuzi wa Waziri  wa Habari, Sanaa, Utamaduni na michezo, Nape Nnauye....Mbunge huyo yupo hotel ya Protea tayari kwa kuongea na waandishi habari kuhusu kutumbuliwa.

Akiwa njian kuelekea Protea, silisambaa habari kwamba amekatwa. Taarifa hizo amezikanusha kupitia mtandao wa twitter na kudai yuko salama

Wanasambaza nimekamatwa! Niko njiani nakwenda Protea, niko salama nimetoka Arusha na ndege mchana huu! Nashauri waache UONGO, WATULIE!

— Nape Moses Nnauye (@Nnauye_Nape) March 23, 2017

Tukutane saa nane kamili Protea Hotel karibu na St. Peter ntakutana na Wanahabari. Karibuni sana!

— Nape Moses Nnauye (@Nnauye_Nape) March 23, 2017


google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us