Kauli ya Vanessa Mdee kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kutoka 'Selo' | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday 16 March 2017

Kauli ya Vanessa Mdee kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kutoka 'Selo'


Vanessa Mdee amezungumza kwa mara ya kwanza tangu atoke rumande Jumatatu hii baada ya kushikililiwa na polisi jijini Dar es Salaam kuanza Jumatano ya wiki iliyopita.

Muimbaji huyo wa Cash Madame amewashukuru wote waliompa pole wakati alipokuwa ameshikiliwa na kudai kuwa ataachia wimbo mpya wiki hii.

“I love you all sooo much 😚,” ameandika kwenye Twitter.

“It is by his Grace alone 💜 Utukufu kwa Mungu wetu wa miujiza.

Thankyou for your kind tweets and posts. I got a glimpse of some of them and this kinda loooooove 😍,” ameongeza.

“AND incase you were wondering. I am doing so fine. Infact new music out THIS WEEK 😙.”

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us