GWAJIMA AZUNGUMZIA ISHU YA KUTEKWA KWA ROMA, FREEMASON NA KUHUSU MDEE KUMTUKANA SPIKA WA BUNGE. SOMA ZAIDI HAPA. | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday 9 April 2017

GWAJIMA AZUNGUMZIA ISHU YA KUTEKWA KWA ROMA, FREEMASON NA KUHUSU MDEE KUMTUKANA SPIKA WA BUNGE. SOMA ZAIDI HAPA.

Askofu  wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat

Dar es Salaam. Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amezungumzia suala la utekwaji na kusema kuwa endapo watajaribu kumteka atapiga picha kwa kutumia simu yake kwanza na kutuma kwenye mitandao ya kijamii kisha ndipo ataondoka na watekaji hao.




Mwanamuziki Roma Mkatoliki.

Akizungumza kanisani kwake leo, Gwajima alisema  Mkuu wa Mkoa wa Dar es  Salaam ndiye anayejua alipokuwa mwanamuziki Roma Mkatoliki

“Nampenda sana Rais wangu, lakini huyu Bashite analeta picha mbaya. Alisema atapatikana kabla ya Jumapili maana yake unayeee,” alisema

Kuhusu ishu ya freemasom Tanzania

Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima  anaendelea na mahubiri yake ya kila Jumapili huku leo akiibua mada ya watanzania waliojiunga na Freemason.

Katika mahubiri hayo, Gwajima alisema wapo watanzania ambao umaarufu wao unatokana na dini ya Freemason huku akihusisha Freemason na imani za kichawi.

Nataka kabla hujamuimba mchungaji gwajima, urudie mara mbili, natetea wafungwa, askari, walioumizwa, walioachwa, matajiri na maskini,” alisema

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us