LIVE: KUTOKA BUNGENI .... Mama Salma Kikwete Aapishwa Bungeni Dodoma, Kauli za wabunge baada ya Rais mataafu KIKWETE kutua bungeni Leo. | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday 4 April 2017

LIVE: KUTOKA BUNGENI .... Mama Salma Kikwete Aapishwa Bungeni Dodoma, Kauli za wabunge baada ya Rais mataafu KIKWETE kutua bungeni Leo.

Mama Salma akiingia Bungeni.
DODOMA: Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai,  leo amemwapisha kuwa Mbunge wa Kuteuliwa, Mh. Salma Kikwete,  ambaye ni mke wa rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete.
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete (katikati) akiwa Bungeni.
Mbunge huyo aliandamana na mumewe ambaye  alisababisha kelele za shamra kutoka kwa wabunge waliokuwa wakisema: “Tumekumiss…Tumekumiss…”
Ujumbe wa Rais Mstaafu J. Kikwete mtandaoni.
KILICHOJIRI BUNGENI LEO

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us