Uliipata hii ya Mwana FA kupigiwa simu na Rais Magufuli | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday 13 April 2017

Uliipata hii ya Mwana FA kupigiwa simu na Rais Magufuli

Rais Dkt John Magufuli ni shabiki wa muziki wa Mwana FA. Na ndio maana ameamua kunyanyua waya na kumpigia simu rapper huyo kumwambia kuwa ni msikilizaji mzuri wa ngoma zake.

Cha kuvutia zaidi, Rais amemweleza FA kuwa wimbo anaoupenda ni Dume Suruali aliomshirikisha Vanessa Mdee.

“Nimefurahi kupokea simu ya Mheshimiwa Rais @MagufuliJP kunisalimia na kuniambia yeye ni mpenzi wa kazi zangu,haswa #DumeSuruali,” ametweet Mwana FA.

“Utoe heRa kwani ina tv ndani?” (in his voice) 😀😂…,” ameongeza

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us