Mimi ni shabiki wa ‘kutupwa’ wa Arsenal’ – Pro. Lipumba | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday 4 May 2017

Mimi ni shabiki wa ‘kutupwa’ wa Arsenal’ – Pro. Lipumba



Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) taifa Mh. Prof. Ibrahim amesema yeye ni shabiki wa kutupwa wa Arsenal licha ya klabu hiyo ya England kutotwaa mataji makubwa kwa muda mrefu.

“Arsenal haifanyi vizuri, lakini ndio timu yangu ninayoipenda,” Prof. Lipumba amesema kwenye kipindi cha Clouds 360 cha Clouds TV leo Alhamisi Mei 4, 2017 wakati akitoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali yanayohusiana na chama chao (CUF).

Lipumba pia amesema yeye amewahi kucheza soka wakati akiwa mwanafunzi wa shule ya sekondari japo haikua kwa kiwango cha ushindani.

“Nimewahi kucheza mpira wakati nasoma sekondari, lakini sio katika ngazi ya ushindani,” amesema Pro. Lipumba.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us