Watu weusi ni 'adui',asema Gavana wa Marekani | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday 29 August 2016

Watu weusi ni 'adui',asema Gavana wa Marekani

Image result for black people

Gavana wa jimbo la Maine nchini Marekani amesema kuwa watu wa rangi ni 'adui' wa jimbo lake na kuonekana akipendekeza wapigwe risasi.
Gavana wa jimbo la Maine Paul LePage
Akizungumzia kuhusu juhudi za jimbo la Maine kukabiliana na uhalifu wa dawa za kulevya,Paul LePage amesema kuwa adui mkubwa kwa sasa ni watu wenye rangi ama wale wa Hispanic.
''Wakati unapokwenda vitani,na adui anavaa nguo nyekundu na wewe unavaa nguo za rangi buluu ,unapiga risasi waliovaa nyekundu''.

Wanachama wakuu wa chama cha Democrat wamemtaka kujiuzulu.
Bwan LePage alitoa matamshi hayo alipokuwa akitaka kusahihisha matamshi aliyotoa hapo mbeleni yaliokosolewa kuwa ya kibaguzi.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us