ANGALIA PICHA ZA NG’OMBE WA AJABU AZALIWA NEW ZEALAND,ANA MIGUU 8,MASIKIO 4,MIILI 2 NA KICHWA KIMOJA.. | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday 4 September 2016

ANGALIA PICHA ZA NG’OMBE WA AJABU AZALIWA NEW ZEALAND,ANA MIGUU 8,MASIKIO 4,MIILI 2 NA KICHWA KIMOJA..


 

Ndama wa ajabu amezaliwa nchini New Zealand akiwa na miguu 8,masikio 4, miilimiwili,masikiomanne
 

Mmiliki wa ndama huyo, Neil Davy,ambaye amemshika ndama huyo aliyekufa kwenye picha aliuambia mtandao wa NZ wa nchini humo kuwa kama yeye asingekuwepo wakati ndama huyo akizaliwa basi ng’ombe aliyemzaa ndama huyo naye angekufa kwani alihangaika sana wakati akizaa.


‘Ilikuwa ni vigumu kumuangalia wakati alipokuwa anazaa,kwani hali yake ilikuwa mbaya sana alikuwa akipiga kelele kutokana na maumivu aliyokuwa akiyapata kutokana na ndama mwenyewe alivyo nilihangaika naye sana hadi nikalowa jasho jingi,’’alisema Davy.

Davy aliongeza kuwa alidhani ng’ombe huyo angezaa mapacha lakini kutokana na sababu ambazo hajazifahamu kikazaliwa kiumbe cha ajabu kama hicho.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us