Daktari Apatikana na Video ya Watu Wakishiriki Ngono na Nyoka | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday 3 September 2016

Daktari Apatikana na Video ya Watu Wakishiriki Ngono na Nyoka


UINGEREZA: Daktari mmoja nchini Uingereza amepatikana na hatia ya kuwa na video za ngono, ikiwemo moja ya mwanamume akishiriki ngono na nyoka.

Cyprian Okoro, 55, kutoka Kusini Magharibi mwa London alipatikana na makosa matano ya kuwa na video za ngono ya kuchukiza zaidi pamoja na picha moja ya utupu ya mtoto.


Kwenye moja ya video hizo, kulikuwa na wanawake wakishiriki ngono na mbwa na nyingine ya mwanamke akifanya ngono na farasi.

Mshtakiwa, ambaye anatoka Cameron Place, Streatham, amekanusha mashtaka hayo na amepewa dhamana lakini atahukumiwa tarehe 30 Septemba.


Lakini, baada ya kutafakari kuhusu kesi yake kwa chini ya siku moja, baraza la wazee wa mahakama lilimpata na hatia kuhusia na mashtaka yote ila lile la watu ksuhiriki ngono na mbwa.

Mahakama iliambiwa kwamba Okoro alikuwa na picha na video hizo kwenye simu yake baada ya kuzipokea kupitia WhatsApp.

Ni mara ya pili kwa Okoro kupatikana na hatia wakati mnamo mwaka 2014, alihukumiwa kifungo cha nje cha miezi 18 baada ya mwanamke kuwasilisha tuhuma za unyanyasaji wa kingono dhidi yake.

Okoro alihitimu kama daktari Lagos, Nigeria, mwaka 1986.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us