Diamond Afunguka Asema Zari Ndiye Model Aliyewahi Kumlipa Hela Nyingi. | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday 7 October 2016

Diamond Afunguka Asema Zari Ndiye Model Aliyewahi Kumlipa Hela Nyingi.

Mkali wa wimbo ‘Salome’ na Mkurugenzi wa WCB, Diamond Platnumz amesema katika ma Model ambao amewahi kuwalipa hela nyingi ni Zari ambaye ni mpenzi wake na Mama watoto wake pia.

Diamond Platnumz akiongea katika kipindi cha The play list cha Radio Times Fm na mtangazaji Lil Ommy baada ya kuulizwa ni model gani amewahi kumlipa hela nyingi.

“Zari ndo mtu ni mlipa hela nyingi katika video ya “Utanipenda” unajua hata kama ni Family ni mpenzi wangu lakini inapokuja kazi lazima iwe kazi japo kuwa nilicho mlipa haikuwa thamani yake japo alifanyia kidogo fever lakini nilimlipa zaidi ya Milion kumi ndo model ambaye nimewahi kutoa hela nyingi tokea nimeanza kufanya muziku” alisema Diamond.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us