VIDEO: Maamuzi ya serikali baada ya kuona ile video walimu wakimpiga mwanafunzi | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday 7 October 2016

VIDEO: Maamuzi ya serikali baada ya kuona ile video walimu wakimpiga mwanafunzi


Moja ya headline iliyochukua nafasi katika baadhi ya mitandao ya kijamii ni pamoja na tukio linaloonyesha mwanafunzi wa shule ya sekondari Mbeya Day akipigwa na baadhi ya walimu huku wakimchangia kwa pamoja, tumeona baadhi ya viongozi wa kiserikali wakitumia nafasi hiyo pia kulaani tukio hilo.
October 6 2016 Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makala amezungumza na waandishi wa habari mkoani hapo na kuelezea mazingira halisi ya tukio hilo..
Tukio lilitokea Sept 26 mwalimu Frank Msigwa alitoa jaribio kwa wanafunzi lakini baadhi ya wanafunzi hawakufanya, wanafunzi walipewa adhabu ya viboko lakini Sebastian akakataa kuchapwa ndipo walimu wakamchangia kumpiga na kutoroka‘ –Amos Makala
Licha kwamba watuhumiwa w
ametoroka tangu siku ya tukio lakini nimeagiza vyombo vya sheria kuwasaka popote pale walipo, hadi sasa walimu wote wa shule hiyo akiwemo mwalimu mkuu wanashikiliwa ktk kituo cha polisi kwa ajili ya kutoa maelezo‘ –Amos Makala
Taarifa kamili pamoja na video ya tukio hilo nimekuwekea hapa chini…

Uchini…

U

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us