MAAJABU!!!!!! MWANAMKE WA MIAKA 65 AJIFUNGUA WATOTO WATATU...HEBU MSHUHUDIE HAPA | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday 22 October 2016

MAAJABU!!!!!! MWANAMKE WA MIAKA 65 AJIFUNGUA WATOTO WATATU...HEBU MSHUHUDIE HAPA

Mwanamke mwenye umri wa miaka 65 nchini Ujerumani amejifungua watoto watatu baada ya kutunga mimba kwa njia za kupandikiza kisayansi.
Kituo cha runinga cha RTL nchini Ujerumani kimesema mwanamke huyo Annegret Raunigk, amejifungua watoto wawili wa kiume na mmoja wa kike kwa njia ya upasuaji Jijini Berlin.
Watoto hao wamezaliwa kabla ya muda wao wakiwa na wiki 26, hata hivyo madaktari wamesema wote wapo katika hali nzuri ya kuweza kuishi.
Annegret Raunigk ambaye alikuwa na watoto 13 pamoja na wajukuu saba, ameweka rekodi ya kuwa mwanamke wa kwanza duniani mwenye umri mkubwa kujifungua mapacha watatu.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us